Noman investors
@EmoTech4
Nomanland investments
قد يعجبك
Kampuni ya China ya SAIC-GM-Wuling kushirikiana na kampuni ya Autopax ya Kenya wameanza kutengeneza magari ya umeme "Air Yetu" Magari haya yatakuwa yanatengenezwa (assembled) Thika, Nairobi - Kenya 🇰🇪 . Kenya wako na Air Yetu EV, Tanzania tuna nini ?
Wanafunzi mnaosoma masomo ya IT vyuoni jitahidi kwenda mbali zaidi ya unavyovisoma darasani, jifunze mambo mbalimbali ukiwa chuoni kabla hujaingia mtaani, Ukiwa mtaani unaweza usipate kabisa mda wa kujifunza. Mtandaoni kuna kila kitu, Extra skills ina faida nyingi sana.
At college, I learned super important knowledge, like uhh … 🤔
Ni Kidonge Kipi Ambacho Aiwezi Kupita Siku Ujakitumia?
Lei ni siku ya mwisho ya mwezi July. Tupende kusupport vya kwetu. Haya POST BIASHARA yako, nami nipo Kuretweet. Haya twende kazi...🫡
Tz Customers: "How will i buy some computer Accessories at best price" Professor: "That's where Achraf Hakimi's mother shop in Tz Mwaka computer Accessories come in"
⚡Zinapofeli Biashara za mtandaoni Kuna umuhimu wa biashara kuwa na uwepo Mtandaoni, lakini umuhimu huu unapotea pale unapotangaza biashara mtandaoni ila unachelewa kufanya Mawasiliano na wateja. Mteja anapotuma ujumbe anategemea kupokea jibu ndani ya muda usiozidi dakika 5.
R.I.P Gordon Moore, Mwanzilishi wa kampuni Intel, na ni mmoja ya Wanaharakati walioanzisha Silicon Valley, anatajwa kama mmoja wa wanamapinduzi wa Teknolojia. Alianzisha Intel mwaka 1968, aliamini na kusema Teknolojia itabadilisha maisha ya watu. Amefariki akiwa na miaka 94.
Jinsi matumizi ya ChatGPT yatakavyoua ajira ya huduma kwa wateja 🧵🧵🧵 Teknolojia ni nzuri inarahisisha utendaji wa kazi ,lakini pia inaondoa uhitaji wa binadamu kwenye baadhi ya kazi mfano wafanyakazi wa ma benki NMB,CRDB na mitandao ya simu #ElimikaWikiendi
More Knowledge
Wafundishe Wanao Kujitegemea na Kujipigania since day one. Haya mambo 10 yatawafanya watoto wako wapevuke kiakili na kujitegemea mapema. UZI... 🧵
Huna sababu ya kuzima mshumaa wa mwingine ili wako uonekane..iache iwake yote ili mwanga uwe mkubwa zaidi !!
Ikitokea kwa bahati mbaya umefunga/close file la Microsoft Word bila ya ku-save, usipate mawazo kwamba umepoteza document yako, nenda kwenye file explore kwenye “My/This PC” andika .ASD kisha search, Utaona file au document yako uliyoifuta. Good morning.
Moulding🤗😉Tv showcase 😊 Unahitaji kukarabati Nyumba yako niko hapa #doctorhouse unahitaji Tv showcase? modern Tv cabinet?skimming?finishing? Nyumba nzima,fens uliyeko mkoani usijali nafika popote,ulieko nje ya Tz usijali hata huko nafika. Just retweet kwaajil ya wengi😉
🧑💻 JIFUNZE KUWA HACKER FROM AMATURE TO PROFESSIONAL!! Wengi tunapenda hacking lakini hatujui wapi pa kuanzia…yani usome nini na usome wapi. Hii ni ngumu sana kwa mazingira yetu hapa bongo. Baada ya kimya kirefu cha masomo haya ya Ethical hacking nimerudi rasmi!
Happy international Women day with @EmoTech4 #InternationalWomensDay #EmbraceEquity #IWD2023
Not really. It’s just moving us from Information Age to Insight Generation Age. We currently have a lot of information than our ability to make sense of it. What ChatGPT (and generative AI in general) does is save people time in combing through texts and links.
ChatGPT is making people stupider than they already are.
United States الاتجاهات
- 1. Penn State 19.2K posts
- 2. #twitchrecap 12.6K posts
- 3. #TADCFriend 1,643 posts
- 4. Romero 22.9K posts
- 5. Pat Kraft 2,259 posts
- 6. Slay 20K posts
- 7. Paul Dano 1,216 posts
- 8. Zion 9,739 posts
- 9. #GivingTuesday 31.8K posts
- 10. Fulham 45.4K posts
- 11. #LightningStrikes N/A
- 12. Tarantino 7,838 posts
- 13. Larry 62.8K posts
- 14. Sabrina Carpenter 43.5K posts
- 15. Lewandowski 28.2K posts
- 16. Franklin 67.4K posts
- 17. Adam Thielen 4,155 posts
- 18. Somali 171K posts
- 19. Sleepy Don 5,998 posts
- 20. Pedri 60.3K posts
Something went wrong.
Something went wrong.