ExaverySimukuk2's profile picture. librarian(rtd)

Exavery Simukuka

@ExaverySimukuk2

librarian(rtd)

Exavery Simukuka reposted
CCMmtandaoni's tweet image.
CCMmtandaoni's tweet image.
CCMmtandaoni's tweet image.

Exavery Simukuka reposted
ArmedForcesPak's tweet image.

Exavery Simukuka reposted

Waisrael wana Makazi yao yanayoitwa Kibbutz ambayo yanafanana na Vijiji vya Ujamaa. Kwenye Kibbutz watu wanaishi kwa Kufanya Kazi na Kugawana kwa Usawa kinachopatikana. Wanajenga huduma zao za Kijamii Kama Shule, Hospitali nk. Faida wanayopata wanaiwekeza tena ndani ya Kibbutz.

ayubu_madenge's tweet image. Waisrael wana Makazi yao yanayoitwa Kibbutz ambayo yanafanana na Vijiji vya Ujamaa. Kwenye Kibbutz watu wanaishi kwa Kufanya Kazi na Kugawana kwa Usawa kinachopatikana. Wanajenga huduma zao za Kijamii Kama Shule, Hospitali nk. Faida wanayopata wanaiwekeza tena ndani ya Kibbutz.

Exavery Simukuka reposted

Footage of operations carried by Islamic Resistance against Zionist bases.


Exavery Simukuka reposted

“There is something about safari life that makes you forget all your sorrows and feel as if you had drunk half a bottle of champagne — bubbling over with heartfelt gratitude for being alive.”#sophytours #DadaMuhifadhi Travel with sophytours 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫶❤️❤️

sophyandtzhotel's tweet image. “There is something about safari life that makes you forget all your sorrows and feel as if you had drunk half a bottle of champagne — bubbling over with heartfelt gratitude for being alive.”#sophytours #DadaMuhifadhi Travel with sophytours 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫶❤️❤️
sophyandtzhotel's tweet image. “There is something about safari life that makes you forget all your sorrows and feel as if you had drunk half a bottle of champagne — bubbling over with heartfelt gratitude for being alive.”#sophytours #DadaMuhifadhi Travel with sophytours 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫶❤️❤️
sophyandtzhotel's tweet image. “There is something about safari life that makes you forget all your sorrows and feel as if you had drunk half a bottle of champagne — bubbling over with heartfelt gratitude for being alive.”#sophytours #DadaMuhifadhi Travel with sophytours 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫶❤️❤️
sophyandtzhotel's tweet image. “There is something about safari life that makes you forget all your sorrows and feel as if you had drunk half a bottle of champagne — bubbling over with heartfelt gratitude for being alive.”#sophytours #DadaMuhifadhi Travel with sophytours 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫶❤️❤️

Exavery Simukuka reposted

WITO KWA WAKAZI WA MBEYA

NIDA_Tanzania's tweet image. WITO KWA WAKAZI WA MBEYA

Exavery Simukuka reposted

Papa Francis amesema akifariki asizikwe ndani ya Kanisa la Mtakatifu Petro huko Vatican, Kama ilivyo desturi ya Mapapa, bali azikwe kwenye Kanisa la Maria Maggiore lililopo Roma. Francis atakuwa Papa wa Kwanza kuzikwa nje ya Vatican katika kipindi cha zaidi ya Miaka 100 iliyopita

ayubu_madenge's tweet image. Papa Francis amesema akifariki asizikwe ndani ya Kanisa la Mtakatifu Petro huko Vatican, Kama ilivyo desturi ya Mapapa, bali azikwe kwenye Kanisa la Maria Maggiore lililopo Roma. Francis atakuwa Papa wa Kwanza kuzikwa nje ya Vatican katika kipindi cha zaidi ya Miaka 100 iliyopita

Exavery Simukuka reposted

ما هو أعلى مقام وصلت إليه السيدة فاطمة الزهراء عليها السلام؟


Exavery Simukuka reposted

مِنَ الْمُؤْمِنِينَ رِجَالٌ صَدَقُوا مَا عَاهَدُوا اللَّهَ عَلَيْهِ فَمِنْهُمْ مَنْ قَضَى نَحْبَهُ وَمِنْهُمْ مَنْ يَنْتَظِرُ وَمَا بَدَّلُوا تَبْدِيلاً "عاش مقاوما ومات شهيدا." من تشييع شهيد المقاومة محمد شيث في بلدته كفركلا الحدودية في جنوب لبنان


Exavery Simukuka reposted

#HABARI Waziri wa Mambo ya Nje @JMakamba amesema kuwa kijana wa Kitanzania Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel, ambaye alikuwa akitafutwa tangu Oktoba 7, 2023 mara baada ya wanamgambo wa Hamas kuishambulia Israel, imebainika kwamba aliuawa mara tu baada ya kutekwa na…

eastafricatv's tweet image. #HABARI Waziri wa Mambo ya Nje @JMakamba amesema kuwa kijana wa Kitanzania Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel, ambaye alikuwa akitafutwa tangu Oktoba 7, 2023 mara baada ya wanamgambo wa Hamas kuishambulia Israel, imebainika kwamba aliuawa mara tu baada ya kutekwa na…

Exavery Simukuka reposted

VIDEO: Kikawaida ni ngumu kuthubutu, ngumu kucheza na moto na ni ngumu kuamini kama gari linaweza kupita juu ya tiles na zisipate hata mchubuko.......... haya yote nimeyasema baada ya Kampuni ya ABC kuziingiza Tanzania tiles ambazo ni mkataba wa kudumu kutokana na ubora wake…


Exavery Simukuka reposted

Israeli soldiers filming themselves inside a mosque singing Hanukkah songs trampling with their shoes inside, is a call to all Muslim Leaders to stand up against them, cut all sorts of relations, and hit them where it hurts the most.


Exavery Simukuka reposted

Ruzuku ni kwa mujibu wa kura walizopata, hata hao wabunge ni kwa mujibu wa kura za urais


Exavery Simukuka reposted

Uhalali hawana walipaswa kujiuzulu


Exavery Simukuka reposted

Ishu ya Wabunge haihusiani na Ruzuku


Exavery Simukuka reposted

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba @jmakamba amesema wamejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, Kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma nchini Israel, na ambaye walipoteza mawasiliano nae tangu tarehe October 07, 2023, na…

millardayo's tweet image. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba @jmakamba amesema wamejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, Kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma nchini Israel, na ambaye walipoteza mawasiliano nae tangu tarehe October 07, 2023, na…

Exavery Simukuka reposted

Kina Halima Mdee waliiambia Mahakama kuwa hawakupewa nafasi ya Kusikilizwa na CHADEMA. Mahakama baada ya kujadili hoja hiyo imeridhika waombaji walipewa nafasi ya kusikilizwa na CHADEMA lakini hawakutaka kuitumia. Kilichobaki ni maamuzi ya Mahakama.

ayubu_madenge's tweet image. Kina Halima Mdee waliiambia Mahakama kuwa hawakupewa nafasi ya Kusikilizwa na CHADEMA. Mahakama baada ya kujadili hoja hiyo imeridhika waombaji walipewa nafasi ya kusikilizwa na CHADEMA lakini hawakutaka kuitumia. Kilichobaki ni maamuzi ya Mahakama.

Exavery Simukuka reposted

📍Songea ▪️Aliyekuwa Mpambe -ADC wa Rais Jakaya Kikwete na Rais John Magufulu Meja Jenerali Mkeremi ala Nondozzz Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy leo hii tarehe 14 Disemba 2023 ametunikiwa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa (Doctor of Philosophy-PhD) kutoka Chuo…

Hakingowi's tweet image. 📍Songea

▪️Aliyekuwa Mpambe -ADC wa Rais Jakaya Kikwete na Rais John Magufulu Meja Jenerali Mkeremi ala Nondozzz

Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy leo hii tarehe 14 Disemba 2023 ametunikiwa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa (Doctor of Philosophy-PhD) kutoka Chuo…

Exavery Simukuka reposted

Israel inasaidia dunia kupigana na Ugaidi, na imekuwa ukuta kuwazuia Magaidi kuenea kwa Kasi

AbroadTanzania's tweet image. Israel inasaidia dunia kupigana na Ugaidi, na imekuwa ukuta kuwazuia Magaidi kuenea kwa Kasi

Exavery Simukuka reposted

“CHADEMA itakachokifanya ni kuwa Itawatoa wale Wajumbe waliokuwepo kwenye Kamati kuu halafu pia Wakakuwepo kwenye Baraza kuu. Halafu Kisha Baraza Kuu lifanye Maamuzi tena” Dickson Matata, Wakili wa CHADEMA.

ayubu_madenge's tweet image. “CHADEMA itakachokifanya ni kuwa Itawatoa wale Wajumbe waliokuwepo kwenye Kamati kuu halafu pia Wakakuwepo kwenye Baraza kuu. Halafu Kisha Baraza Kuu lifanye Maamuzi tena” Dickson Matata, Wakili wa CHADEMA.

United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.