GetrudaNestory's profile picture. Living the dream,one step at a time.

Getruda

@GetrudaNestory

Living the dream,one step at a time.

Getruda reposted

Kuna kitu kinaitwa Neema. Ikikukuta, haikagui vyeti vyako, CV yako wala kabila lako — inabadilisha tu story ya maisha yako katika namna ambayo hukuwahi kufikiria. Kama unasoma tweet hii, Neema ya Bwana ikukute mahali ulipo. Claim it by retweeting this tweet.


Getruda reposted

Katika utafutaji wetu tunatafuta tunacho kitaka ila tunapata tunacho sitaili .✍


Getruda reposted

Mungu yuko nawe nyakati zote.

ElionaKimaro's tweet image. Mungu yuko nawe nyakati zote.

Getruda reposted

Nukuu ya Jumapili

Chris_Mauki's tweet image. Nukuu ya Jumapili

Getruda reposted

Sometimes in life , it reach a point where You sit down & wait For a miracle!!! 📍Kuna muda kwenye maisha, unakaa Chini na kusubiri muujiza Tu🥺

charmymussah's tweet image. Sometimes in life , it reach a point where  You sit down & wait For a miracle!!!

📍Kuna muda kwenye maisha, unakaa Chini na kusubiri muujiza Tu🥺

Getruda reposted

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Kumb.Na.JA.9/259/01/B/14 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza…

ortamisemitz's tweet image. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kumb.Na.JA.9/259/01/B/14     

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza…
ortamisemitz's tweet image. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kumb.Na.JA.9/259/01/B/14     

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza…
ortamisemitz's tweet image. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kumb.Na.JA.9/259/01/B/14     

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza…
ortamisemitz's tweet image. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kumb.Na.JA.9/259/01/B/14     

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza…

Getruda reposted

Katyuni

masoudkipanya's tweet image. Katyuni

Getruda reposted

PITIA HAPA KWANZA UJIFUNZE KITU Vitu ambavyo mwanaune hutakiwi kuumiza akili 1. Maisha mazuri ya watu mtandaoni au hata marafiki zako Ukitaka kujitoa uhai endekeza kuchotwa na maisha ya watu mitandaoni ukajiona umefeli 2. Mipicha na video za ngono Kwenye mitandao Mambo hayo…


Getruda reposted

Chunga sana marafiki zako na company yako. Inaweza kukupotezea mahusiano au ndoa yako na ukajuta, ingawa sasahivi unawaona ni wathamani, ngoja upoteze cha thamani ndio utaijua tofauti #ChrisMauki

Chris_Mauki's tweet image. Chunga sana marafiki zako na company yako. Inaweza kukupotezea mahusiano au ndoa yako na ukajuta, ingawa sasahivi unawaona ni wathamani, ngoja upoteze cha thamani ndio utaijua tofauti #ChrisMauki

Getruda reposted

Nukuu ya leo

Chris_Mauki's tweet image. Nukuu ya leo

Getruda reposted

Nukuu ya Ijumaa

Chris_Mauki's tweet image. Nukuu ya Ijumaa

Getruda reposted

Kwa kukosa hekima utawafukuza watu wa maana kwenye maisha yako na kuwabakiza wajinga wanaokusifia tu na wasiokupeleka popote. Jichunguze #ChrisMauki

Chris_Mauki's tweet image. Kwa kukosa hekima utawafukuza watu wa maana kwenye maisha yako na kuwabakiza wajinga wanaokusifia tu na wasiokupeleka popote. Jichunguze #ChrisMauki

Getruda reposted

Nukuu ya Alhamis

Chris_Mauki's tweet image. Nukuu ya Alhamis

Getruda reposted

Wapo watakao kufanya uhangaike na uteseke lakini yupo mmoja ambaye anahangaika na kuteseka kwa ajiri yako


Getruda reposted

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko (pichani kulia) amesema Watu wawili akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumlawiti Mwanafunzi wa awali katika Shule ya Mount Moriah na kumuharibu sehemu zake za siri ambapo taratibu za kisheria…

millardayo's tweet image. Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko (pichani kulia) amesema Watu wawili akiwemo Mwalimu Emmanuel Mbigili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumlawiti Mwanafunzi wa awali katika Shule ya Mount Moriah na kumuharibu sehemu zake za siri ambapo taratibu za kisheria…

Getruda reposted

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, leo amewasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma ambapo moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Taifa. “Kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa…

millardayo's tweet image. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere, leo amewasilisha ripoti kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma ambapo moja ya aliyoyazungumzia ni deni la Taifa.

“Kufikia June 30,2023 deni la Serikali lilikuwa…

Getruda reposted

Mkazi wa Kijiji cha Kimamba A Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kwa tuhuma za kumuua Mke wake kisha kumfukia katika nyumba waliokuwa wanaishi, RPC wa Morogoro SACP Alex Mkama amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema Mke huyo ambaye kwa…

millardayo's tweet image. Mkazi wa Kijiji cha Kimamba A Wilaya ya Kilosa  Mkoani Morogoro anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kwa tuhuma za  kumuua Mke wake kisha kumfukia katika nyumba waliokuwa wanaishi, RPC wa Morogoro SACP Alex Mkama amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema Mke huyo ambaye kwa…

Getruda reposted

Ikawe siku ya kheri kwa kila mpambanaji. Tukitoka nyumbani, tusirudi mikono ikuwa mitupu. Asubuhi njema✋


United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.