JudiciarySystem's profile picture. The government of the people is for the people and act accordingly only to the people.

BE HONEST, BE REALISTIC, BE HUMBLE
AND BE HAPPY.

Judiciary System

@JudiciarySystem

The government of the people is for the people and act accordingly only to the people. BE HONEST, BE REALISTIC, BE HUMBLE AND BE HAPPY.

Judiciary System reposted

Watu wengi kama mchanga…

Baada ya Mhe Tundu Lissu kushindwa kufika Iringa jana jioni kutokana na wananchi kusimamisha msafara wake kwenye maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea Iringa. Hii ni leo asubuhi saa nne umati huu umejitokeza kumdhamini... Narudia hii ni asubuhi...#NiYeye2020

HecheJohn's tweet image. Baada ya Mhe Tundu Lissu kushindwa kufika Iringa jana jioni kutokana na wananchi kusimamisha msafara wake kwenye maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea Iringa.
Hii ni leo asubuhi saa nne umati huu umejitokeza kumdhamini...
Narudia hii ni asubuhi...#NiYeye2020
HecheJohn's tweet image. Baada ya Mhe Tundu Lissu kushindwa kufika Iringa jana jioni kutokana na wananchi kusimamisha msafara wake kwenye maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea Iringa.
Hii ni leo asubuhi saa nne umati huu umejitokeza kumdhamini...
Narudia hii ni asubuhi...#NiYeye2020
HecheJohn's tweet image. Baada ya Mhe Tundu Lissu kushindwa kufika Iringa jana jioni kutokana na wananchi kusimamisha msafara wake kwenye maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea Iringa.
Hii ni leo asubuhi saa nne umati huu umejitokeza kumdhamini...
Narudia hii ni asubuhi...#NiYeye2020
HecheJohn's tweet image. Baada ya Mhe Tundu Lissu kushindwa kufika Iringa jana jioni kutokana na wananchi kusimamisha msafara wake kwenye maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea Iringa.
Hii ni leo asubuhi saa nne umati huu umejitokeza kumdhamini...
Narudia hii ni asubuhi...#NiYeye2020


Judiciary System reposted

Mhe. @Kasesela naomba kujua mkutano wa machinga kama umefanyika. Cc. @TunduALissu @MsigwaPeter

noor_abdul's tweet image. Mhe. @Kasesela naomba kujua mkutano wa machinga kama umefanyika. Cc. @TunduALissu @MsigwaPeter

Judiciary System reposted

Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na wananchi wa Mbeya mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.

bavicha_taifa's tweet image. Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na wananchi wa Mbeya mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.
bavicha_taifa's tweet image. Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na wananchi wa Mbeya mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.
bavicha_taifa's tweet image. Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na wananchi wa Mbeya mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.
bavicha_taifa's tweet image. Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu na Mgombea Mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na wananchi wa Mbeya mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.

Judiciary System reposted

Happy birthday Mhe. @LazaroNyalandu Mwenyezi Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka tele.

John_Pambalu's tweet image. Happy birthday Mhe. @LazaroNyalandu Mwenyezi Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka tele.

Judiciary System reposted

Hatimaye nimeuona Muujiza Unaoishi.Mgombea Wa Uraisi Kwa tiketi ya Chadema @TunduALissu na Makamu Wake Salumu Mwalimu. Wakisalimiana na Wananchi Wa Mafinga alipokuwa anatoka Iringa Mjini Kwa zoezi maalumu la Kuomba Udhamini #Niyeye2020 #SasaBasi #PeoplesPower

MhangaTalanta's tweet image. Hatimaye nimeuona Muujiza Unaoishi.Mgombea Wa Uraisi Kwa tiketi ya Chadema @TunduALissu na Makamu Wake Salumu Mwalimu. Wakisalimiana na Wananchi Wa Mafinga alipokuwa anatoka Iringa Mjini Kwa zoezi maalumu la Kuomba Udhamini
#Niyeye2020
#SasaBasi 
#PeoplesPower
MhangaTalanta's tweet image. Hatimaye nimeuona Muujiza Unaoishi.Mgombea Wa Uraisi Kwa tiketi ya Chadema @TunduALissu na Makamu Wake Salumu Mwalimu. Wakisalimiana na Wananchi Wa Mafinga alipokuwa anatoka Iringa Mjini Kwa zoezi maalumu la Kuomba Udhamini
#Niyeye2020
#SasaBasi 
#PeoplesPower
MhangaTalanta's tweet image. Hatimaye nimeuona Muujiza Unaoishi.Mgombea Wa Uraisi Kwa tiketi ya Chadema @TunduALissu na Makamu Wake Salumu Mwalimu. Wakisalimiana na Wananchi Wa Mafinga alipokuwa anatoka Iringa Mjini Kwa zoezi maalumu la Kuomba Udhamini
#Niyeye2020
#SasaBasi 
#PeoplesPower

Judiciary System reposted

Hivi Mufti alishawahi wazungumzia Mashehe wa Uamsho mahala popoote palee ?? 😏

HamisKittumma's tweet image. Hivi Mufti alishawahi wazungumzia Mashehe wa Uamsho mahala popoote palee ?? 😏

Judiciary System reposted

Iringa Tanzania Asubuhi hiiii Wajukuu wa Mkwawa Arthi ya Shujaa Mkwawa

VitusNkuna's tweet image. Iringa Tanzania Asubuhi hiiii 
Wajukuu wa Mkwawa Arthi ya Shujaa Mkwawa
VitusNkuna's tweet image. Iringa Tanzania Asubuhi hiiii 
Wajukuu wa Mkwawa Arthi ya Shujaa Mkwawa

Judiciary System reposted

Mama huyu alimtegemea Mwanae kwa kila kitu. Pindi ambapo mwanawe alishikiliwa serikali ya Raisi @MagufuliJP kwa mashitaka yanayodaiwa kuwa ya uhujumu uchumi, mama Huyu alibaki bila msaada wa huduma Muhimu za Afya, kitu kilichopelekea afya yake kuzorota na hatimaye akaaga dunia

AnethStanley's tweet image. Mama huyu alimtegemea Mwanae kwa kila kitu.
Pindi ambapo mwanawe alishikiliwa serikali ya Raisi @MagufuliJP kwa mashitaka yanayodaiwa kuwa ya  uhujumu uchumi, mama Huyu alibaki bila msaada wa huduma Muhimu za Afya, kitu kilichopelekea afya yake kuzorota na hatimaye akaaga dunia

Judiciary System reposted

#Uchaguzi2020 Kiongozi wa chama cha @ACTwazalendo @zittokabwe ametoa wito kwa vyama vya upinzani nchini viache ubinafsi kwa kuwa Tanzania ni kubwa kuliko vyama na kwamba Watanzania hawatowasamehe kama hawatoamua kuwa na mgombea mmoja katika nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

eastafricatv's tweet image. #Uchaguzi2020 Kiongozi wa chama cha @ACTwazalendo @zittokabwe ametoa wito kwa vyama vya upinzani nchini viache ubinafsi kwa kuwa Tanzania ni kubwa kuliko vyama na kwamba Watanzania hawatowasamehe kama hawatoamua kuwa na mgombea mmoja katika nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

Judiciary System reposted

Ningekuwa Rais wa Tanzania ningemualika @TunduALissu ikulu, nikampa pole, kumkaribisha Tena nyumbani na kumtia moyo. Ningeweza fanya sherehe ya kitaifa kumshukuru Mungu. Ni kama vile Rais @MagufuliJP alivyomfariji moyo @HKigwangalla alipopata ajali. Nawaza tu!


Judiciary System reposted

#BALAA LA #LISSU #AWAMU2 hii ni Leo huko MikumiJimbo la Prof.Jay wakisalimiwa na Lissu.


Judiciary System reposted

Uchaguzi mkuu mwaka huu ntahudhuria mikutano ya Vyama vitatu tu. 1. CCM - ili kuona wasanii 2. CHAUMA - ili kula ubwabwa 3. CHADEMA - ili kuskiliza sera bora kwa ustawi wa Taifa letu. #NiYeye


Judiciary System reposted

#Tanpol nimewaona mstari wa mbele kumlinda mgombea wetu wa urais @TunduALissu huu ndio usawa tunaohubiri


Judiciary System reposted

Happy birthday Mhe. @LazaroNyalandu Mwenyezi Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka tele.

HildaNewton21's tweet image. Happy birthday Mhe. @LazaroNyalandu Mwenyezi Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka tele.

Judiciary System reposted

UMATI huu unamsubiri MBEBA MAONO muda huu eneo la MLIMA NYOKA nje ya jiji la MBEYA... #TukutaneOktoba28#TutashindaNaTutatangwazwa #SasaBasi#NIYEYE2020

TheRealJongwe's tweet image. UMATI huu unamsubiri MBEBA  MAONO muda huu eneo la MLIMA NYOKA nje ya jiji la MBEYA... #TukutaneOktoba28#TutashindaNaTutatangwazwa #SasaBasi#NIYEYE2020

Judiciary System reposted

Shikamoo Iringa na samahani sana kwa kuwakwaza kwa kuchelewa kwetu leo. Rev. Peter Msigwa amenipatia briefing juu ya nyomi la leo Mwembe Togwa. Nimekwishaingia Mjini na kesho tutakuwa pamoja Mwembe Togwa. Nawatakieni usiku mwema na Mungu awabariki sana.

TunduALissu's tweet image. Shikamoo Iringa na samahani sana kwa kuwakwaza kwa kuchelewa kwetu leo. Rev. Peter Msigwa amenipatia briefing juu ya nyomi la leo Mwembe Togwa. Nimekwishaingia Mjini na kesho tutakuwa pamoja Mwembe Togwa. Nawatakieni usiku mwema na Mungu awabariki sana.

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.