Visualizedboy's profile picture. *The talented ones are the Blessed ones*
📌Graduated at UDOM (2017-2020)
📌BedADMAN
📌SIMBA SC, MAN UTD&R. MADRID  FAN
Am here to hang around with sociable ones

Japhari L. Kibona

@Visualizedboy

*The talented ones are the Blessed ones* 📌Graduated at UDOM (2017-2020) 📌BedADMAN 📌SIMBA SC, MAN UTD&R. MADRID FAN Am here to hang around with sociable ones

Japhari L. Kibona reposted

Unaweza kuwa na mgogoro mkubwa wa kihisia na maumivu makali kiasi kwamba unatumia ngono kupambana na hisia unazoogopa kuzikabili. Hisia za ngono zinakuwa tambara unalotumia kufunika fundo gumu la hisia unazokwepa kuzizungumzia. Ngono ikishakoma kuwa tendo linalokuunganisha na…


Japhari L. Kibona reposted

Askari wa Magereza wamenizuia kuingia gereza la Ukonga leo kumwona Mwenyekiti @TunduALissu . Wamesema wana maelekezo kuwa asionane na kiongozi yoyote wa @ChademaTZ2 . Tutautaarifu umma hatua tutakazochukua kufuatia kadhia hii. #FreeTunduLissu #FreeChadema #freetanzania


Japhari L. Kibona reposted

Tukifanikiwa kuwapotezea Wasanii, Timu za Kariakoo pamoja na Wapuuzi wachache ambao wapo mitandaoni kwa sababu za kueneza propaganda, Kituo kinachofuata ni TANZANIA NJEMA..


Japhari L. Kibona reposted

Aminini nawaambieni. Siku hawa wanaoitwa wanaharakati, na hawa wanaoikosoa serikali na viongozi wakiamua wanyamaze wakae kimya wasiongee kitu, ndio mtajua thamani yao. Na zaidi mtauona umuhimu wa kukosoa!! Hakuna kikubwa wanachopata zaidi ya kupoteza vingi, Sana sana nyie…


Japhari L. Kibona reposted

Nguvu ya tuk tuks, boda bodas, na matatus katika kampeni za watawala kuchukua madaraka hugeuka tishio pale watawala wawapo katika position ya hatia. Maskini hana itikadi. Leo yupo huku; kesho yupo kule. Hili huwanyima usingizi watawala dhalimu: namna ya kuwadhibiti maskini…


Japhari L. Kibona reposted

"Ukipewa hela zihesabu kwanza. Kuzihesabu haina maana kuwa humuamini anayekupa, bali inakuweka huru wewe na yeye kwa mashaka yoyote yanayoweza kujitokeza mbeleni ikitokea kuna upungufu katika hela hizo" ~Togolani Mavura.

SikilizaTogolan's tweet image. "Ukipewa hela zihesabu kwanza. Kuzihesabu haina maana kuwa humuamini anayekupa, bali inakuweka huru wewe na yeye kwa mashaka yoyote yanayoweza kujitokeza mbeleni ikitokea kuna upungufu katika hela hizo" ~Togolani Mavura.

Japhari L. Kibona reposted

Oyaaa , Machalii wangu wa Gen Z wangu nisikilize hapa vizuri 🗣️🔥 Wateja wakuu wa show za wasanii nchini ni nyie Gen Z. Sasa kama kuna wasanii wameamua kuwa chawa, hakuna haja ya kupiga kelele kuna njia moja tu, rahisi na ya AMANI , ⛔️ Usihudhurie show zao. ⛔️ Wa-unfollow kila…


Japhari L. Kibona reposted

Breaking News!! Lucy Shayo(Binti Lissu) amekamatwa jana tarehe 30/11/2025 na Jeshi la Polisi akiwa Tanga mjini.Hadi sasa haijulikani kituo cha polisi alichopelekwa.

HaongaHon's tweet image. Breaking News!!
Lucy Shayo(Binti Lissu) amekamatwa jana tarehe 30/11/2025 na Jeshi la Polisi akiwa Tanga mjini.Hadi sasa haijulikani kituo cha polisi alichopelekwa.

Japhari L. Kibona reposted

Tumewahi jadili humu kua vyombo vyetu havijawahi kukutana na changamoto serious back to back. Siku wakikutana na matukio serious ndani ya wiki tutaona matundu ya net kila sehemu. Ifike hatua tuchague kua serious.


Japhari L. Kibona reposted

Eti AONYWA?! What the hell is that supposed to mean?! Au alitumwa kusema hayo?!Maana vinginevyo tungesikia kashtakiwa kwa UHAINI/UGAIDI… NB: Sema MCHONGO wa kutugawa kidini UMEBUMA.😎

TheRealJongwe's tweet image. Eti AONYWA?! 
What the hell is that supposed to mean?!
Au alitumwa kusema hayo?!Maana vinginevyo tungesikia kashtakiwa kwa UHAINI/UGAIDI… 

NB: Sema MCHONGO wa kutugawa kidini UMEBUMA.😎

Japhari L. Kibona reposted

Tukielekea #D9 tutoke tukiwa tumejiandaa Kuna mambo tumejifunza 👉🏽 Polisi ni kama magaidi hawana msaada kwetu ❌ wanafyatua risadi hovyo 👉🏽 Risasi ikikupata au mtu karibu yako jaribu kujiburuta au kumburuta mhusika sehemu salama - msije mkaishia wote kudhurika 👉🏽 Hifadhi hiki…

MariaSTsehai's tweet image. Tukielekea #D9 tutoke tukiwa tumejiandaa 
Kuna mambo tumejifunza 
👉🏽 Polisi ni kama magaidi hawana msaada kwetu ❌ wanafyatua risadi hovyo
👉🏽 Risasi ikikupata au mtu karibu yako jaribu kujiburuta au kumburuta mhusika sehemu salama - msije mkaishia wote kudhurika 
👉🏽 Hifadhi hiki…

Japhari L. Kibona reposted

FURSA KWA WATAFITI Watanzania mlioko katika sekta ya Elimu... Kuna hii fursa. If you passionate about enhancing school leadership to promote educational quality, equity, and system resilience across Africa, ESSA wanatoa up to $15,000 for Descriptive Action Research and $35,000…


Japhari L. Kibona reposted

Kama una kamjomba kako au kadogo kako kamekuja Dar first Year kape namba yangu nikape pamba kali kasionekane kakuja ☎️ 0623533526 Bolt: The Mandevu Store Location :Mabibo Mwembeni

ze_mandevu's tweet image. Kama una kamjomba kako au kadogo kako kamekuja Dar first Year kape namba yangu nikape pamba kali kasionekane kakuja

☎️ 0623533526
Bolt: The Mandevu Store
Location :Mabibo Mwembeni

Japhari L. Kibona reposted

"Kuwapa maarifa wengine hakukupunguzii maarifa yako uliyonayo bali huyaongeza. Maarifa unayoyatoa kwa wengine yanaachia nafasi katika ubongo wako wa kuruhusu maarifa mapya. Usipoyatoa kwa wengine, hayo uliyonayo yanachakaa." ~Togolani Mavura.

SikilizaTogolan's tweet image. "Kuwapa maarifa wengine hakukupunguzii maarifa yako uliyonayo bali huyaongeza. Maarifa unayoyatoa kwa wengine yanaachia nafasi katika ubongo wako wa kuruhusu maarifa mapya. Usipoyatoa kwa wengine, hayo uliyonayo yanachakaa." ~Togolani Mavura.

Japhari L. Kibona reposted

Kabla ya kuwa na DINI ulianza kuwa Mtanganyika Kabla ya kuwa Mwanachama uTanganyika ulianza Kabla ya Uanaharakati, uTanganyika ulianza Usikubali kutolewa relini Mkuu, hudai Haki kisa Fulani anadai, ila unadai Haki kwasababu wewe ndio muhanga namba moja. 🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️


Japhari L. Kibona reposted

“Unajua nacheka nini? Hii ni maajabu” 😂

spana_Konki's tweet image. “Unajua nacheka nini? Hii ni maajabu” 😂

Japhari L. Kibona reposted

Nilimwambia itatokea namna hii ili ikitokea msifikirie ni kwa nguvu zenu. Wala kwa akili zenu. Wala uwezo wenu. Ni mkono wa Mungu utakuwa umefanya. Mjue mmpewa na Mungu. Na nikitoka hapa upepo utaanza kuvuma, ambao hujawahi kuona. You will see a miracle. #Code


Japhari L. Kibona reposted

Mwanadamu hutamani kujua ni lini, lakini MUNGU hatoi Exactly siku au tarehe, ila atakupa ISHARA! Marko 16:17 "Na ISHARA hizi zitafuatana na wale WAAMINIO..." Keep holding, God is under control. Na siku ifika ATASHTUKIZA kama ambavyo alifanya nyakati zilizopita.

Very soon.



Japhari L. Kibona reposted

Canada ni nchi ambayo kila kitu kimepangiliwa na mifumo iko wazi. Kama una haki ya kupata kitu fulani, watakupa. Taarifa yoyote utakayo utaipata online au unaweza kupigia simu mamlaka husika na wanapokea. Unaweza kuwatumia barua viongozi hata waziri mkuu na ofisi zao zitakujibu.


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.