mhabukat's profile picture. Hata ukisema ukweli watakuona mbaya wapate sababu yakukudhuru.

Thadei Mhabuka

@mhabukat

Hata ukisema ukweli watakuona mbaya wapate sababu yakukudhuru.

Thadei Mhabuka reposted
NamdiAzikiwe's tweet image.

Thadei Mhabuka reposted

Huo ndio ukweli wenyewe na inaonyesha jinsi gani nchi yetu imepotea na kuchukuliwa na genge la watu wachache ambao hawajachaguliwa na wananchi. HUO NI UHAINI.

Wasajili chama ili tujue ni washindani baadala ya kutumia nguvu.



Thadei Mhabuka reposted

Leo ndo mkesha kusuburia #D25 Tuandae mabango, picha, maji na bendera na tukumbuke hii ni kwa ajili ya ndugu zetu waliouwawa na kwa ajili ya Tanzania mpya na bora Maandamano bila kikomo maana yake anytime, anywhere and every day! #SamiaMustGo #J1

MariaSTsehai's tweet image. Leo ndo mkesha kusuburia #D25 
Tuandae mabango, picha, maji na bendera na tukumbuke hii ni kwa ajili ya ndugu zetu waliouwawa na kwa ajili ya Tanzania mpya na bora 
Maandamano bila kikomo maana yake anytime, anywhere and every day! 
#SamiaMustGo #J1

Thadei Mhabuka reposted

Namfuatilia baba yangu CLEMENCE MWANDAMBO kwa karibu sana tangu arudi kutoka MATEKA ni kama kawa mara 10 ya alivyokuwa awali. Zamani mzee alikuwa anaongea kwa MAFUMBO sana, alikuwa anakosoa kwa kuweka Code nyingi sana. Ila baada ya KUTEKWA na kurudi uraiani kaanza kunyoosha…


Thadei Mhabuka reposted

Jaji mstaafu , Waziri Mkuu mstaafu Sinde Warioba anasema watanzania waliokufa kwenye vita ya KAGERA ni wachache kuliko waliokufa #MO29. Idadi ya watanzania waliokufa Vita ya KAGERA ni 373, huku idadi ya watanzania waliokufa #MO29 inakadiriwa kuwa zaidi ya watanzania ELFU KUMI.…


Thadei Mhabuka reposted

Niliongea mara kadhaa kuhusu mgawanyiko kwenye vyombo vya usalama, watu wakadhani naongea ili watu wapate motisha ya kuandamana….. Kuna jambo linakuja……… Huwezi kuua wananchi kinyama vile ukadhani maisha yataendelea tu


Thadei Mhabuka reposted

Igp wambura, achilia huyu mtanzania

MwauraRobert2's tweet image. Igp wambura, achilia huyu mtanzania

Thadei Mhabuka reposted

Thadei Mhabuka reposted

Yet, yule msemaje wa serikali alikunanga wewe for asking Tanzanians to contact you with evidence, alafu sasa wanajaribu kufanya ulichofanya. Problem is hakuna mtu atawatumia chochote coz it’s a trap.


Thadei Mhabuka reposted

Kwa wale mnaonilaumu why sifungui account ingine instagram, ni hivi siruhusiwi kuwa kwenye platform yoyote ya meta kwa sasa. Hata nikifungua account ingine itafungwa hapo hapo. Yani ni lazma wanirudishe wenyewe. Trust me, it breaks my heart kuona kazi niliyoifanya, day & night…


Thadei Mhabuka reposted

Waziri mkuu, Jaji mtu mwenye rekodi kubwa amefanya kazi na mwalimu Nyerere anazungumza… Alafu wewe unatoka kumshambulia badala ya kujibu hoja zake. Kuna wapinzani wa ccm kwa mamia kwenye vituo vya polisi.. watu wamepigwa, wameuwawa, wamevunjwa na polisi na wengine…


Thadei Mhabuka reposted

Aliona jambo ambalo halifundishwi mashuleni wala vyuoni. Kwamba mtu anaweza kuwa mkatili na mwenye huruma kwa wakati mmoja. Alifahamu kuwa uhalifu hauui ubinadamu kabisa. Alipotoka jela aliandika kwmb jela ilimfundisha kuwa binadamu akivuliwa hadhi, bado hubaki na njaa ya maana.


Thadei Mhabuka reposted

Miaka ya gerezani ilimvunjavunja kimwili. Aliugua, alidhoofika, alikaribia hata kufa mara kadhaa. Lakini kiakili, akili yake ilizidi kuwa kali zaidi. Alipoachiwa huru, Fyodor Dostoevsky hakutoka kama mwandishi aliyefanikiwa. Bali kama mtu aliyefunuliwa ukweli mchungu wa maisha.


Thadei Mhabuka reposted

Jaji Sinde Warioba Haya ndio matunda ya Nyerere

lifeofmshaba's tweet image. Jaji Sinde Warioba 

Haya ndio matunda ya Nyerere

Thadei Mhabuka reposted

WAKATI MAWAZO YANAPOKUWA KOSA. TUNDU LISSU SIO MHAINI #UZI Historia inajirudia kwa namna tofauti. Mnamo 1849, Fyodor Dostoevsky alifungwa si kwa kuua, si kwa kuiba, BALI kwa kufikiri na kuandika kwa uhuru. Leo, Afrika bado inaishi kipindi hicho kwa majina tofauti....

Eng_Matarra's tweet image. WAKATI MAWAZO YANAPOKUWA KOSA.

TUNDU LISSU SIO MHAINI

#UZI
Historia inajirudia kwa namna tofauti. Mnamo 1849, Fyodor Dostoevsky alifungwa si kwa kuua, si kwa kuiba, BALI kwa kufikiri na kuandika kwa uhuru. Leo, Afrika bado inaishi kipindi hicho kwa majina tofauti....
Eng_Matarra's tweet image. WAKATI MAWAZO YANAPOKUWA KOSA.

TUNDU LISSU SIO MHAINI

#UZI
Historia inajirudia kwa namna tofauti. Mnamo 1849, Fyodor Dostoevsky alifungwa si kwa kuua, si kwa kuiba, BALI kwa kufikiri na kuandika kwa uhuru. Leo, Afrika bado inaishi kipindi hicho kwa majina tofauti....
Eng_Matarra's tweet image. WAKATI MAWAZO YANAPOKUWA KOSA.

TUNDU LISSU SIO MHAINI

#UZI
Historia inajirudia kwa namna tofauti. Mnamo 1849, Fyodor Dostoevsky alifungwa si kwa kuua, si kwa kuiba, BALI kwa kufikiri na kuandika kwa uhuru. Leo, Afrika bado inaishi kipindi hicho kwa majina tofauti....

Thadei Mhabuka reposted

Thabiti Kombo alimwambia Samia anakwenda kupambana kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri amerudi na suti mpya na kuongezeka shavu tu Aliyesaidia sana ni Hamza Johari kujifanya yeye ni AG akaanza kutuma mabarua kila kona anataka watanzania wa kuua, Huyu Johari atasaidia sana…

lifeofmshaba's tweet image. Thabiti Kombo alimwambia Samia anakwenda kupambana kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri

amerudi na suti mpya na kuongezeka shavu tu

Aliyesaidia sana ni Hamza Johari kujifanya yeye ni AG akaanza kutuma mabarua kila kona anataka watanzania wa kuua, 
Huyu Johari atasaidia sana…

Thadei Mhabuka reposted

MSIKILIZE BONIFACE JACOB MJUMBE WA KAMATI KUU YA CHADEMA


Thadei Mhabuka reposted

Haya Albert Msando ana ushahidi wa mauaji ya Goba Centre - mdau anasema asikosekana kwenye orodha ya ICC apeleke ushahidi! Jamani tutafakari - kuna tofauti gani kati ya hawa wauaji na magaidi wengine kama Al Shabab? Ushenzi si kuua tu bali kilichofuata baada ya mauaji halaiki Ndo…

MariaSTsehai's tweet image. Haya Albert Msando ana ushahidi wa mauaji ya Goba Centre - mdau anasema asikosekana kwenye orodha ya ICC apeleke ushahidi!
Jamani tutafakari - kuna tofauti gani kati ya hawa wauaji na magaidi wengine kama Al Shabab? Ushenzi si kuua tu bali kilichofuata baada ya mauaji halaiki
Ndo…

Thadei Mhabuka reposted

Taarifa muhimu kutoka “mabeberu” na jibu la Rubio kwa mapicha ya Kombo Kumbe kale ka msaada hamkupata? Ila endeleeni tu soon #tutaelewanatu mbona? Tunasubiri majibu na ufafanuzi wa kiwaki kutoka serikali haramu Sisi tunaendelea kusema #SamiaMustGo #D25 #J1

MariaSTsehai's tweet image. Taarifa muhimu kutoka “mabeberu” na jibu la Rubio kwa mapicha ya Kombo
Kumbe kale ka msaada hamkupata? Ila endeleeni tu soon #tutaelewanatu mbona? 
Tunasubiri majibu na ufafanuzi wa kiwaki kutoka serikali haramu
Sisi tunaendelea kusema #SamiaMustGo 
#D25 #J1

Thadei Mhabuka reposted

ALERT: Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Kamanda @ExMayorUbungo atazungumza na Watanzania leo hii. #SamiaMustGo #TanzaniaMassacre

Liberatus80's tweet image. ALERT: Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Kamanda @ExMayorUbungo atazungumza na Watanzania leo hii.

#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.