#scopemedia search results

"Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii, Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii,

Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha

#ScopeMedia

Kumbe @yangasc hesabu ZENU za kufuzu Robo fainali ni rahisi kiasi hiki na hamsemi..? 😂 Haya Dogo wa YANGA ametupa hesabu zake za vidole kwa timu yake kutinga Robo fainali ya CAFCL msimu huu sema katuambia RB Leipzig sasa sijui ndio CR Belouzidad hiyo 😁. #ScopeMedia


"Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa". #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI

Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa".

#ScopeMedia

Shabiki wa @SimbaSCTanzania Mchome Mapovu alitabiri kuwa timu yake itafungwa na Wydada kwa sababu Wydad Wana quality ya kuwafunga Simba muda wowote. Haya ni mahojiano ya kabla ya Mechi. #ScopeMedia


Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90. Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90.

Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha.

#ScopeMedia

Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Mamelodi 1-0 Wydad ⚽ Shalulile 45+12' Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Mamelodi 1-0 Wydad
⚽ Shalulile 45+12'

Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad

#ScopeMedia

Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Game on Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad ⚽ Peter Shalulie 45+3' ⚽ Modiba 53' Aggregate: 3-2 #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Game on
Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad
⚽ Peter Shalulie 45+3'
⚽ Modiba 53'

Aggregate: 3-2

#ScopeMedia

Mzee Magoma amesema kuwa yeye ndie aliependekeza Aziz Ki akasajiliwa Yanga baada ya kumuona kwenye mechi na Simba SC. #ScopeMedia


Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1). #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1).

#ScopeMedia

Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake. Umiliki wa Mpira Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2% Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake.

Umiliki wa Mpira

Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2%

Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza.

#ScopeMedia

Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. 

#ScopeMedia

Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa. Game on Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa.

Game on
Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns

Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi

#ScopeMedia

Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023. Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo. Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023.

Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo.

Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba.

#ScopeMedia

Esperance de Tunis wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa Nusu fainali ya AFL kwa 1-0 vs Wydad, Matokeo haya kwa Esperance ni sawa na yale waliyoyapata kwenye mechi ya kwanza ya Robo fainali dhidi ya Tp Mazembe. Full Time Wydad 1-0 Esperance de Tunis ⚽ Boussefiane 60' #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Esperance de Tunis wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa Nusu fainali ya AFL kwa 1-0 vs Wydad, Matokeo haya kwa Esperance ni sawa na yale waliyoyapata kwenye mechi ya kwanza ya Robo fainali dhidi ya Tp Mazembe.

Full Time
Wydad 1-0 Esperance de Tunis
⚽ Boussefiane 60'

#ScopeMedia

Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara . #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili  @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja  na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara .

#ScopeMedia

Shabiki wa Simba SC Sam anasema ni ngumu kwa Simba SC kutwaa Ubingwa wa ligi msimu ujao kwa sababu Wachezaji waliosajiliwa wanahitaji muda zaidi mpaka waweze kuelewana. Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi Kwenye YouTube channel yetu ya Scope Media. #scopeboii #ScopeMedia


Shabiki wa Yanga amejikuta kwenye mtego wa kuchapwa viboko viwili ikiwa kama sehemu ya kutimiza ahadi yake aliyoitoa kuwa Azam FC wasipoifunga APR achapwe FIMBO mbili. #ScopeMedia


Mzee Shaban Kamwe ambae ni baba mzazi wa Ally Kamwe anasema Bora aende Marekani kwa P Diddy kuliko kuhamia Yanga. Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi kwenye YouTube channel ya Scope Media. #ScopeMedia


"Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti." Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti."

Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania.

#ScopeMedia

Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na Yanga. Manara aliwa Polisi leo saa 4 asubuhi,ila tayari umeondoka baada ya kupata dhamana. #scopeboii #ScopeMedia


Mzee Shaban Kamwe ambae ni baba mzazi wa Ally Kamwe anasema Bora aende Marekani kwa P Diddy kuliko kuhamia Yanga. Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi kwenye YouTube channel ya Scope Media. #ScopeMedia


Shabiki wa Yanga amejikuta kwenye mtego wa kuchapwa viboko viwili ikiwa kama sehemu ya kutimiza ahadi yake aliyoitoa kuwa Azam FC wasipoifunga APR achapwe FIMBO mbili. #ScopeMedia


Mzee Magoma amesema kuwa yeye ndie aliependekeza Aziz Ki akasajiliwa Yanga baada ya kumuona kwenye mechi na Simba SC. #ScopeMedia


Shabiki wa Simba SC Sam anasema ni ngumu kwa Simba SC kutwaa Ubingwa wa ligi msimu ujao kwa sababu Wachezaji waliosajiliwa wanahitaji muda zaidi mpaka waweze kuelewana. Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi Kwenye YouTube channel yetu ya Scope Media. #scopeboii #ScopeMedia


Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. 

#ScopeMedia

"Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii, Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii,

Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha

#ScopeMedia

Shabiki wa @SimbaSCTanzania Mchome Mapovu alitabiri kuwa timu yake itafungwa na Wydada kwa sababu Wydad Wana quality ya kuwafunga Simba muda wowote. Haya ni mahojiano ya kabla ya Mechi. #ScopeMedia


Kumbe @yangasc hesabu ZENU za kufuzu Robo fainali ni rahisi kiasi hiki na hamsemi..? 😂 Haya Dogo wa YANGA ametupa hesabu zake za vidole kwa timu yake kutinga Robo fainali ya CAFCL msimu huu sema katuambia RB Leipzig sasa sijui ndio CR Belouzidad hiyo 😁. #ScopeMedia


"Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa". #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI

Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa".

#ScopeMedia

Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1). #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1).

#ScopeMedia

Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Game on Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad ⚽ Peter Shalulie 45+3' ⚽ Modiba 53' Aggregate: 3-2 #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Game on
Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad
⚽ Peter Shalulie 45+3'
⚽ Modiba 53'

Aggregate: 3-2

#ScopeMedia

Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Mamelodi 1-0 Wydad ⚽ Shalulile 45+12' Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Mamelodi 1-0 Wydad
⚽ Shalulile 45+12'

Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad

#ScopeMedia

Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara . #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili  @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja  na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara .

#ScopeMedia

Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023. Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo. Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023.

Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo.

Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba.

#ScopeMedia

"Yanga wanacheza sana kitimu, kwahiyo Mimi nawahofia zaidi kama timu kuliko mchezaji mmoja mmoja." Maneno ya Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania @ahmedally_ amezungumza hayo wakati akihojiwa kupitia @ufmradiotz . #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Yanga wanacheza sana kitimu, kwahiyo Mimi nawahofia zaidi kama timu kuliko mchezaji mmoja mmoja."

Maneno ya Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania @ahmedally_ amezungumza hayo wakati akihojiwa kupitia @ufmradiotz .

#ScopeMedia

Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake. Umiliki wa Mpira Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2% Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake.

Umiliki wa Mpira

Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2%

Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza.

#ScopeMedia

Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa. Game on Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa.

Game on
Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns

Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi

#ScopeMedia

Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90. Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90.

Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha.

#ScopeMedia

"Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti." Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti."

Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania.

#ScopeMedia

"Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti." Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya #KariakooDerby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti."

Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania.

#ScopeMedia

Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa. Game on Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Beki wa @AlAhly Ali Maaloul anakosa penati dakika ya 12 baada ya Golikipa wa Mamelodi Sundowns L.Wiliams kuitoa.

Game on
Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns

Aggregate: Al Ahly 0-1 Mamelodi

#ScopeMedia

SIMBA SC imeondolewa rasmi kwenye michuano ya AFL kwa faida ya goli la ugenini. Full Time AL AHLY 1-1 SIMBA SC Agregates: AL AHLY 3-3 SIMBA SC #Scopemedia

Scopemediatz's tweet image. SIMBA SC imeondolewa rasmi kwenye michuano ya AFL kwa faida ya goli la ugenini.

Full Time

AL AHLY 1-1 SIMBA SC
Agregates: AL AHLY 3-3 SIMBA SC

#Scopemedia

Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara . #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Picha inayowaonyesha wasemaji wa timu mbili  @SimbaSCTanzania @ahmedally_ na @YoungAfricansSC @AliKamwe wakiwa bungeni pamoja  na mtangulizi wao ambae pia amewahi kuhudumu kwenye idara hiyo hiyo ya habari kwenye vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Haji Manara .

#ScopeMedia

"Yanga wanacheza sana kitimu, kwahiyo Mimi nawahofia zaidi kama timu kuliko mchezaji mmoja mmoja." Maneno ya Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania @ahmedally_ amezungumza hayo wakati akihojiwa kupitia @ufmradiotz . #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Yanga wanacheza sana kitimu, kwahiyo Mimi nawahofia zaidi kama timu kuliko mchezaji mmoja mmoja."

Maneno ya Meneja wa habari na mawasiliano wa @SimbaSCTanzania @ahmedally_ amezungumza hayo wakati akihojiwa kupitia @ufmradiotz .

#ScopeMedia

Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023. Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo. Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Ahmed Arajiga amechaguliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Kariakoo Derby kati ya @SimbaSCTanzania dhidi ya @yangasc November 5,2023.

Aidha Mohamed Mkono na Kassim Mpanga watakuwa waamuzi wasaidizi kwenye mchezo.

Ramadhan Kayoko ni mwamuzi wa akiba.

#ScopeMedia

Mabingwa wa Ligi ya Afrika Kusini Mamelodi imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya African American Football League baada ya kuiondosha Atletico Petro de Luanda kwa jumla ya Mabao 2-0 kwenye michezo 2 ya AFL. @Masandawana watakutana na @AlAhly Nusu Fainali #Scopemedia

Scopemediatz's tweet image. Mabingwa wa Ligi ya Afrika Kusini Mamelodi imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya African American Football League baada ya kuiondosha Atletico Petro de Luanda kwa jumla ya Mabao 2-0 kwenye michezo 2 ya AFL.

 @Masandawana watakutana na @AlAhly Nusu Fainali 

#Scopemedia

Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Mamelodi 1-0 Wydad ⚽ Shalulile 45+12' Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mwamba Peter Shalulile amerudi kazini na kuipatia Mamelodi goli la kuongoza kwenye mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Mamelodi 1-0 Wydad
⚽ Shalulile 45+12'

Aggregate: Mamelodi 2-2 Wydad

#ScopeMedia

Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL. Game on Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad ⚽ Peter Shalulie 45+3' ⚽ Modiba 53' Aggregate: 3-2 #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mamelodi wanapata goli la pili kupitia kwa Modiba Mokoena na sasa ubao unasoma 2-0 mchezo wa pili wa Fainali ya AFL.

Game on
Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad
⚽ Peter Shalulie 45+3'
⚽ Modiba 53'

Aggregate: 3-2

#ScopeMedia

"Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii, Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Sina taarifa za kutosha kuwahusu Kagera lakini nina fahamu ni timu nzurii,

Tunaziheshimu timu zote ambazo tunapaswa kucheza nazo ni lazima tushinde kesho ili kutengeneza mazingira mazuri kuelekea mchezo dhidi ya Wydad" -Kocha Mkuu wa @SimbaSCTanzania A. Benchikha

#ScopeMedia

Uwanja wa Mohamed V umeamka sasa Esperance De Tunis wamefungua njia na Wydad wanajipatia bao la kuongoza kupitia kwa Boussefiane dakika ya 60' Game on Wydad 1-0 Esperance De Tunis ⚽ Boussefiane 60' #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Uwanja wa Mohamed V umeamka sasa Esperance De Tunis wamefungua njia na Wydad wanajipatia bao la kuongoza kupitia kwa Boussefiane dakika ya 60'

Game on

Wydad 1-0 Esperance De Tunis
⚽ Boussefiane 60'

#ScopeMedia

Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake. Umiliki wa Mpira Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2% Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mechi ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns ni mapumziko na hakuna timu ambayo imeona lango la mwenzake.

Umiliki wa Mpira

Al Ahly 52.8% Mamelodi 48.2%

Al Ahly wamekosa penati kwenye kipindi Cha kwanza.

#ScopeMedia

"Nilikataa kwenda Mamelodi Sundowns kwa sababu tungeanza kugawana mechi na striker wao Peter Shalulile nikaona nichague Pyramids." Mayele ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Ayoma TV. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Nilikataa kwenda Mamelodi Sundowns kwa sababu tungeanza kugawana mechi na striker wao Peter Shalulile nikaona nichague Pyramids."

Mayele ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Ayoma TV.

#ScopeMedia

Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90. Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Wydad AC wametinga hatua ya Fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Esparence Tunis kwa penati 5-4 baada ya kutoka sare ya goli 1 -1 kwa dakika 90.

Aliekosa penati kwa upande wa Esparence ni Rodrigo Rodriguez ambae ndie Mfungaji wa bao la kusawazisha.

#ScopeMedia

Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1). #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Klabu ya Mamelodi Sundowns imetwaa ubingwa wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE baada ya kuichapa Wydad Athletic club kwa jumla ya magoli 3-2 kwenye michezo miwili ya Michuano hiyo ya AFL iliyozinduliwa October 20,2023 ikijumuisha timu nane (Kila Kanda ilitoa timu walau 1).

#ScopeMedia

Kocha Mkuu wa klabu ya Olympique Lyon (Ufaransa) Fabio Grosso amepigwa mawe baadae ya basi la TIMU hiyo kuvamiwa na mashabiki wa Marseille wakati wakiwa njiani kuelekea uwanjani kwenye mchezo wa Ligue 1 unaozikutanisha timu hizo leo. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Kocha Mkuu wa klabu ya Olympique Lyon (Ufaransa) Fabio Grosso amepigwa mawe baadae ya basi la TIMU hiyo kuvamiwa na mashabiki wa Marseille wakati wakiwa njiani kuelekea uwanjani kwenye mchezo wa Ligue 1 unaozikutanisha timu hizo leo.
#ScopeMedia

Esperance de Tunis wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa Nusu fainali ya AFL kwa 1-0 vs Wydad, Matokeo haya kwa Esperance ni sawa na yale waliyoyapata kwenye mechi ya kwanza ya Robo fainali dhidi ya Tp Mazembe. Full Time Wydad 1-0 Esperance de Tunis ⚽ Boussefiane 60' #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Esperance de Tunis wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa Nusu fainali ya AFL kwa 1-0 vs Wydad, Matokeo haya kwa Esperance ni sawa na yale waliyoyapata kwenye mechi ya kwanza ya Robo fainali dhidi ya Tp Mazembe.

Full Time
Wydad 1-0 Esperance de Tunis
⚽ Boussefiane 60'

#ScopeMedia

Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Kinda wa miaka 20 Chijioke Mbaoma anaekipiga kwenye klabu ya Enyimba ameendelea kuwa na msimu mzuri ndani ya ligi Kuu ya Nigeria ambapo mpaka sasa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji akiwa amefanikiwa kufunga magoli 13 mpaka sasa. 

#ScopeMedia

Mechi ya Ligi kuu ya Ufaransa kati ya Marseille dhidi ya Lyon imehairishwa baadae ya Kocha Mkuu wa Lyon Fabio Grosso kupigwa mawe na Mashabiki wa Marseille baadae ya basi la Lyon kuvamiwa na mashabiki wa Marseille wakati wakiwa njiani wakielekea kwenye mechi hiyo. #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. Mechi ya Ligi kuu ya Ufaransa kati ya Marseille dhidi ya Lyon imehairishwa baadae ya Kocha Mkuu wa Lyon Fabio Grosso kupigwa mawe na Mashabiki wa Marseille baadae ya basi la Lyon kuvamiwa na mashabiki wa Marseille wakati wakiwa njiani wakielekea kwenye mechi hiyo.

#ScopeMedia

"Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa". #ScopeMedia

Scopemediatz's tweet image. "Kufungwa ni jambo la kawaida kwenye mpira wa Miguu kinachokera ni kuwa tumefungwa na MALIMBUKENI

Najua mnapata kero mkikutana nao wanawakera sababu ya ulimbukeni wao sisi Simba si wa kwanza kufungwa".

#ScopeMedia

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.


United States Trends