AllyHapi's profile picture. Katibu Mkuu Jumuiya Wazazi CCM Tanzania (MNEC). Mkulima 🇹🇿

Ally Salum Hapi

@AllyHapi

Katibu Mkuu Jumuiya Wazazi CCM Tanzania (MNEC). Mkulima 🇹🇿

Leo nimeshiriki maziko ya marhum kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, marh. Capt Abbas Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Unguja. Allah amjaalie kauli thaabit. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.

AllyHapi's tweet image. Leo nimeshiriki maziko ya marhum kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, marh. Capt Abbas Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Unguja. Allah amjaalie kauli thaabit. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.
AllyHapi's tweet image. Leo nimeshiriki maziko ya marhum kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, marh. Capt Abbas Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Unguja. Allah amjaalie kauli thaabit. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.
AllyHapi's tweet image. Leo nimeshiriki maziko ya marhum kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, marh. Capt Abbas Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Unguja. Allah amjaalie kauli thaabit. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.
AllyHapi's tweet image. Leo nimeshiriki maziko ya marhum kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, marh. Capt Abbas Mwinyi yaliyofanyika Mangapwani, Unguja. Allah amjaalie kauli thaabit. Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.

Hongera sana Prof. Janabi.

Congratulations to Professor Mohamed Yakub Janabi for being elected the World Health Organization Regional Director for Africa, for the term 2025-2030. With decades of expertise and experience in the health sector, I have every confidence that you have all that it takes to…

SuluhuSamia's tweet image. Congratulations to Professor Mohamed Yakub Janabi for being elected the World Health Organization Regional Director for Africa, for the term 2025-2030. 

With decades of expertise and experience in the health sector, I have every confidence that you have all that it takes to…


Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun.

Taarifa ya kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa David Cleopa Msuya, kilichotokea leo katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Dar es Salaam. Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote. Apumzike kwa Amani.



Mapokezi ya vijana wa TK Movement walionialika kufungua semina yao ya viongozi wa wilaya na mikoa yote Tanzania jijini Dodoma 🇹🇿

AllyHapi's tweet image. Mapokezi ya vijana wa TK Movement walionialika kufungua semina yao ya viongozi wa wilaya na mikoa yote Tanzania jijini Dodoma 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Mapokezi ya vijana wa TK Movement walionialika kufungua semina yao ya viongozi wa wilaya na mikoa yote Tanzania jijini Dodoma 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Mapokezi ya vijana wa TK Movement walionialika kufungua semina yao ya viongozi wa wilaya na mikoa yote Tanzania jijini Dodoma 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Mapokezi ya vijana wa TK Movement walionialika kufungua semina yao ya viongozi wa wilaya na mikoa yote Tanzania jijini Dodoma 🇹🇿

Dodoma 🇹🇿

AllyHapi's tweet image. Dodoma 🇹🇿

Ally Salum Hapi reposted

Leo ni siku ya kipekee katika sekta ya kilimo na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla, ambapo nimezindua Benki ya Ushirika Tanzania. Benki hii ni sehemu ya kazi kubwa tunayoendelea kuifanya ya kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Uanzishaji wa benki hii unalenga kutimiza hitaji la…

SuluhuSamia's tweet image. Leo ni siku ya kipekee katika sekta ya kilimo na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla, ambapo nimezindua Benki ya Ushirika Tanzania. Benki hii ni sehemu ya kazi kubwa tunayoendelea kuifanya ya kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Uanzishaji wa benki hii unalenga kutimiza hitaji la…
SuluhuSamia's tweet image. Leo ni siku ya kipekee katika sekta ya kilimo na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla, ambapo nimezindua Benki ya Ushirika Tanzania. Benki hii ni sehemu ya kazi kubwa tunayoendelea kuifanya ya kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Uanzishaji wa benki hii unalenga kutimiza hitaji la…
SuluhuSamia's tweet image. Leo ni siku ya kipekee katika sekta ya kilimo na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla, ambapo nimezindua Benki ya Ushirika Tanzania. Benki hii ni sehemu ya kazi kubwa tunayoendelea kuifanya ya kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Uanzishaji wa benki hii unalenga kutimiza hitaji la…
SuluhuSamia's tweet image. Leo ni siku ya kipekee katika sekta ya kilimo na uchumi wa nchi yetu kwa ujumla, ambapo nimezindua Benki ya Ushirika Tanzania. Benki hii ni sehemu ya kazi kubwa tunayoendelea kuifanya ya kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Uanzishaji wa benki hii unalenga kutimiza hitaji la…

Ally Salum Hapi reposted

Kwa unyenyekevu na shukrani, nimepokea ujumbe wa hayati Papa Francisko kwangu, kwa nchi yetu na kwa Watanzania wote, aliouandika siku chache kabla Mwenyezi Mungu hajamwita kwake, na kumkabidhi Balozi wa Vatican hapa nchini, Askofu Mkuu Angelo Accattino. Tuendelee kumwombea kwa…

SuluhuSamia's tweet image. Kwa unyenyekevu na shukrani, nimepokea ujumbe wa hayati Papa Francisko kwangu, kwa nchi yetu na kwa Watanzania wote, aliouandika siku chache kabla Mwenyezi Mungu hajamwita kwake, na kumkabidhi Balozi wa Vatican hapa nchini, Askofu Mkuu Angelo Accattino.

Tuendelee kumwombea kwa…

Believe🇹🇿

AllyHapi's tweet image. Believe🇹🇿

If you ate today, thank a farmer🇹🇿

AllyHapi's tweet image. If you ate today, thank a farmer🇹🇿

Kwakweli ni hasara kubwa kwa wakulima wenzetu. Tunakuunga mkono Mhe. Waziri. Chukua hatua.

Hii ndio hali ambayo wafanyabiashara wetu wako nayo baada ya Serikali ya Malawi kuzuia mazao kuingia nchini kwao. Kuvumilia hili kama Serikali inayohangaika na sekta ya kilimo ni ngumu. Nafahamu kumekua na maoni mbali mbali lakini naomba niendelee kusisitiza kuwa hadi Jumatano…



Alhamdulillah 🇹🇿

AllyHapi's tweet image. Alhamdulillah 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Alhamdulillah 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Alhamdulillah 🇹🇿
AllyHapi's tweet image. Alhamdulillah 🇹🇿

Uzalishaji mali, Capsicum.

AllyHapi's tweet image. Uzalishaji mali, Capsicum.
AllyHapi's tweet image. Uzalishaji mali, Capsicum.

Nimefanya kikao kazi na Makatibu wapya wa Jumuiya ya Wazazi wilaya walioajiriwa pamoja na wakuu wa idara za Wazazi Makao makuu jijini Dodoma. Tunayo matumaini kuwa timu hii itaendeleza kasi ya mageuzi chanya ya kiutendaji ndani ya Jumuiya yetu.

AllyHapi's tweet image. Nimefanya kikao kazi na Makatibu wapya wa Jumuiya ya Wazazi wilaya walioajiriwa pamoja na wakuu wa idara za Wazazi Makao makuu jijini Dodoma. Tunayo matumaini kuwa timu hii itaendeleza kasi ya mageuzi chanya ya kiutendaji ndani ya Jumuiya yetu.
AllyHapi's tweet image. Nimefanya kikao kazi na Makatibu wapya wa Jumuiya ya Wazazi wilaya walioajiriwa pamoja na wakuu wa idara za Wazazi Makao makuu jijini Dodoma. Tunayo matumaini kuwa timu hii itaendeleza kasi ya mageuzi chanya ya kiutendaji ndani ya Jumuiya yetu.
AllyHapi's tweet image. Nimefanya kikao kazi na Makatibu wapya wa Jumuiya ya Wazazi wilaya walioajiriwa pamoja na wakuu wa idara za Wazazi Makao makuu jijini Dodoma. Tunayo matumaini kuwa timu hii itaendeleza kasi ya mageuzi chanya ya kiutendaji ndani ya Jumuiya yetu.

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Raajiuun

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo vya Mhandisi Boniface Gissima Nyamohanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), pamoja na dereva wake, Muhajiri Mohammed Haule, vilivyotokea usiku wa kuamkia leo kwa ajali ya barabarani eneo la Bunda, Mkoa wa Mara.…

SuluhuSamia's tweet image. Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo vya Mhandisi Boniface Gissima Nyamohanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), pamoja na dereva wake, Muhajiri Mohammed Haule, vilivyotokea usiku wa kuamkia leo kwa ajali ya barabarani eneo la Bunda, Mkoa wa Mara.…


Ally Salum Hapi reposted

Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo katika kumbukizi ya miaka minne ya Kiapo cha kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuungane pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuibariki nchi yetu, tudumu katika umoja, amani na…

SuluhuSamia's tweet image. Nawashukuru nyote kwa salamu nyingi za kheri na upendo katika kumbukizi ya miaka minne ya Kiapo cha kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tuungane pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuibariki nchi yetu, tudumu katika umoja, amani na…

Ally Salum Hapi reposted

Korosho 📌📌📌📌📌📌

HusseinBashe's tweet image. Korosho 📌📌📌📌📌📌
HusseinBashe's tweet image. Korosho 📌📌📌📌📌📌

Nimemuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kufunga mafunzo ya Vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika katika Chuo cha Julius Nyerere Leadership School. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi mbalimbali na ujumbe wa Chama cha cha Kikomunisti cha China-CPC.

AllyHapi's tweet image. Nimemuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kufunga mafunzo ya Vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika katika Chuo cha Julius Nyerere Leadership School. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi mbalimbali na ujumbe wa Chama cha cha Kikomunisti cha China-CPC.
AllyHapi's tweet image. Nimemuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kufunga mafunzo ya Vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika katika Chuo cha Julius Nyerere Leadership School. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi mbalimbali na ujumbe wa Chama cha cha Kikomunisti cha China-CPC.
AllyHapi's tweet image. Nimemuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kufunga mafunzo ya Vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika katika Chuo cha Julius Nyerere Leadership School. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi mbalimbali na ujumbe wa Chama cha cha Kikomunisti cha China-CPC.
AllyHapi's tweet image. Nimemuwakilisha Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kufunga mafunzo ya Vyama vya ukombozi Kusini mwa Afrika katika Chuo cha Julius Nyerere Leadership School. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi mbalimbali na ujumbe wa Chama cha cha Kikomunisti cha China-CPC.

Tupogo Tanga.

AllyHapi's tweet image. Tupogo Tanga.
AllyHapi's tweet image. Tupogo Tanga.
AllyHapi's tweet image. Tupogo Tanga.

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.