你可能会喜欢
Kinachowaponza watoto wa mjini ni tamaa na mikumbo Macho huonja kabla ya ulimi na yana njaa zaidi ya tumbo @FidQ

NANUNUA GOOGLE PLAY CONSOLE KWA BEI RAFIKI KAMA HUNA ACC TAFUTA MWENYE NAYO ALAFU AKIKUBALI KUNIUZIA NITAKUPATIA SH ELFU 50 KAMA GANJI KWA KILA ACC MOJA NITAKUPATIA SH 50 KWAIO THE MORE UNAPATA WAUZAJI NDIVYO UTAKAVYOKUWA UNAPOKEA 50 ZAKO
HAPPY BIRTHDAY MNYAMA MKALI KEMOSABE @FidQ ISHI UENDELEE KUTUPA MZIKI MZURI "UKIJIKUNA TAKO USIKATE KUCHA KWA MENO" NGOSHA✅

Ukimpata mtu mwenye console account Kuna 50k. Na mwenye adsense account Kuna 10k

VEGETABLES GRATER - [kitchen Master] ✔️Mbogamboga ✔️14 in 1 ✔️Plastic Tsh 36,000 + Free Delivery #PayLessExpectMore
![Thereal_Kabote's tweet image. VEGETABLES GRATER - [kitchen Master]
✔️Mbogamboga
✔️14 in 1
✔️Plastic
Tsh 36,000 + Free Delivery
#PayLessExpectMore](https://pbs.twimg.com/media/GTfWO9yXMAArB7f.jpg)
Mchongo mwingine nitaanza kuwasogezea bidhaa mbali mbali kutoka @BxHomeStore Humu lazima tupeane machimbo yenye bei sawa na bure ili sote kwa pamoja tufaidi vilivyo bora NB: Ukivutiwa na bidhaa yeyote fika kwa mnunuzi mpe hii Tweet upate punguzo la bei. Muhimu ni support tu.

Imagine upo umekaa zako sebleni Alafu unamuona mwanao wa kike chuchu zimeshuka KULIKO hata uchumi wa nchi au viewers wa Wakazi Unajiskiaje😂?? @raphyrodrick @spana_Konki
Kwa trend ya ajira ninavyoiona Naona kabisa Nina hati hati za kuwa mchungaji Sasa ningependa kupata watu wafuatao Ili hapo mbeleni mambo yawe sawa 1. MUWEKA HAZINA 2. MZEE WA KANISA awe anajua kuushawishi umma KUTOA michango 3. WATU SABINI WATAKAOTOA USHUHUDA REPOST NIWAGET✅
UKIPATA FURSA YA KUFANYA MAAMUZI YOYOTE YANAYOHUSISHA MAFANIKIO YAKO KIMAISHA YAFANYE KWA UWELEDI MKUBWA SANA NA PINDI UNAPOFANYA HAKIKISHA HAURUDI NYUMA WE FIGHT AND DIE LIKE REAL MEN NO NEED OF AIRBAG

Maumuvu ya mapenzi kipindi hauna mishe alafu jobless kabisa na hela hakuna yapo na yale maumivu ya mapenzi kipindi una mishe na hela zipo ni vitu viwili tofauti sana. Hali moja huwa inatesa zaidi 😂😂
Just because unamchukia mtu basi ukadhani dunia itasimama kwake no. Hata Mungu hatoacha kumbariki sababu tu eti wewe haumkubali. Tena wewe unayemchukia ndiye unayeteseka na kumuwaza mwenzako ambaye hata hana muda na wewe.
EPUKA MATAPELI MNUNUZI NI MIMI TUH. HAO WENGINE HATERs✅ Je hauna pesa na unahitaji mchongo? Ok Tafuta mtu mwenye account ya google play console ikitokea amekubali kuniuzia nitakupatia sh elfu 60 instantly Na pia kama unayo njoo tuelewane bei
Mimi nae nikisha ona mtu kaandika "swala" badala ya "suala" huwa siendelei kusoma, huwa inanikata sana kuna maneno ya Kiswahili tunakosea lakini hili huwa too much.
Wadau najua wengi mnakwama kupata namba za ku verify za njee dm ✍️
United States 趋势
- 1. Happy Birthday Charlie 80.1K posts
- 2. #BornOfStarlightHeeseung 39.3K posts
- 3. #csm217 N/A
- 4. #tuesdayvibe 4,675 posts
- 5. Alex Jones 18.2K posts
- 6. Sandy Hook 5,055 posts
- 7. Pentagon 82.9K posts
- 8. #NationalDessertDay N/A
- 9. Good Tuesday 37.9K posts
- 10. #PortfolioDay 4,812 posts
- 11. Shilo 3,095 posts
- 12. Monad 211K posts
- 13. Dissidia 8,217 posts
- 14. Masuda 2,005 posts
- 15. Victory Tuesday 1,343 posts
- 16. Riggins N/A
- 17. Time Magazine 22.8K posts
- 18. Martin Sheen 7,402 posts
- 19. Sly Cooper N/A
- 20. Larry Fink 7,021 posts
Something went wrong.
Something went wrong.