Dj Sally87 reposted

@masoudkipanya⁩ 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 You are so good that you are BAD! 🤣🤣🤣

fatma_karume's tweet image. ⁦@masoudkipanya⁩ 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 You are so good that you are BAD! 🤣🤣🤣

Dj Sally87 reposted

Kama humpi pesa demu wako siye tutampa, hatuwezi kuona msichana mzuri ateseke kwa uzembe wako.


Dj Sally87 reposted

Ndugu yangu Kibajaji Lusinde safiri salama na urejee salama ili utekeleze maagizo uliyopewa ya kunishambulia. Niguse ninuke!


Dj Sally87 reposted

“Hate no one no matter how much they have wronged you. Live humbly no matter how wealthy you have become, think positively no matter how hard life is. Give much even if you have been given a little, and forgive who has wronged you”- Imam Ali (A.S)


Hii nahis mpiga picha camera iliyumba.#nakupendaTanzania

Mh Waziri @HKigwangalla Hii Ni Sanamu Ya Nyerere Huyu huyu Baba Wa Taifa Tunayemjua Au Nyie Mna Nyerere Mwingine Huko Chato?

OleMtetezi's tweet image. Mh Waziri @HKigwangalla Hii Ni Sanamu Ya Nyerere Huyu huyu Baba Wa Taifa Tunayemjua Au Nyie Mna Nyerere Mwingine Huko Chato?


Dj Sally87 reposted

Go Ethiopia go 💪🏽💪🏽 Bado sisi sasa 🤣🤣 Tutafika tu, eti? #ChangeAfrica #ChangeTanzania

Septemba mwaka huu Ethiopia inatarajia kuzindua Satelaiti yake ya kwanza iliyobuniwa na kuwekewa vipengele na vitu muhimu na raia pamoja na wanasayansi wa Ethiopia. Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya nchini humo inatajwa kuhusika kwa kiasi kikubwa ktk ubunifu huo #KwanzaHabari

MwanzoTvPlus's tweet image. Septemba mwaka huu Ethiopia inatarajia kuzindua Satelaiti yake ya kwanza iliyobuniwa na kuwekewa vipengele na vitu muhimu na raia  pamoja na wanasayansi wa Ethiopia. Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya nchini humo inatajwa kuhusika kwa kiasi kikubwa ktk ubunifu huo #KwanzaHabari


Dj Sally87 reposted

JIWE LA WIKI @kigogo2014 GONGA LIKE NA TUMA NENO MOJA KWA MWANAJESHI KIGOGO...@HildaNewton21 @halimamdee @MariaSTsehai @Advocate_Jebra @fatma_karume @SuphianJuma 💪💪💪💪👌🙌🙌🙌

Kiliman73435229's tweet image. JIWE LA WIKI @kigogo2014 GONGA LIKE NA TUMA NENO MOJA KWA MWANAJESHI KIGOGO...@HildaNewton21 @halimamdee @MariaSTsehai @Advocate_Jebra @fatma_karume @SuphianJuma 💪💪💪💪👌🙌🙌🙌

Dj Sally87 reposted

Wazee wetu wa zamani ilikua uBrotherMen hautimii kama hauna tattoo ya NANGA (⚓) kwenye mkono 😩.


Dj Sally87 reposted

Jiepushe kusoma vitu ambavyo vinaweza kukuongezea UJINGA.


Dj Sally87 reposted

Huwezi kuwa na furaha ikiwa huthamini hata kidogo ulichonacho.


Dj Sally87 reposted

Uzoefu wangu wa SIASA za UPINZANI na hili litathibitishwa na RAIA wengi waliowahi kumbana na mkono wa JESHI letu la POLISI, ni ukweli ulio WAZI kabisa wengi (SIO WOTE,kuna walio smart sana) hutumia NGUVU na SI AKILI. Kuna HAJA ya kufanyia MAPITIO vigezo vya KUJIUNGA na JESHI.

Septemba mwaka huu Ethiopia inatarajia kuzindua Satelaiti yake ya kwanza iliyobuniwa na kuwekewa vipengele na vitu muhimu na raia pamoja na wanasayansi wa Ethiopia. Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya nchini humo inatajwa kuhusika kwa kiasi kikubwa ktk ubunifu huo #KwanzaHabari

MwanzoTvPlus's tweet image. Septemba mwaka huu Ethiopia inatarajia kuzindua Satelaiti yake ya kwanza iliyobuniwa na kuwekewa vipengele na vitu muhimu na raia  pamoja na wanasayansi wa Ethiopia. Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya nchini humo inatajwa kuhusika kwa kiasi kikubwa ktk ubunifu huo #KwanzaHabari


Dj Sally87 reposted

Mungu akinijaalia nikapata gari yangu, sitoacha kuwabeba watoto wa shule wanaoelekea niendako wakati huo, These kids are struggling.


Dj Sally87 reposted

Bila kujitambua, chama ambacho kiko ktk sintofahamu kubwa kuliko yote ni chama kilichopo madarakani - what unites them? Kwa vyama mbadala kuna uniting force they are purpose driven albeit weakened. Ni ukweli hawataki kuikubali but it is a #fact #Shikamoo2020 #ChangeTanzania


Dj Sally87 reposted

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imempa siku 7 mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wachapishaji wa gazeti hilo kuwasilisha majibu dhidi ya madai ya Bernard Membe. Waziri huyo mstaafu wa Mambo ya Nje anataka kulipwa Sh 10 bilioni kwa kuchafuliwa na gazeti tajwa.

swahilitimes's tweet image. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imempa siku 7 mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wachapishaji wa gazeti hilo kuwasilisha majibu dhidi ya madai ya Bernard Membe. Waziri huyo mstaafu wa Mambo ya Nje anataka kulipwa Sh 10 bilioni kwa kuchafuliwa na gazeti tajwa.

Dj Sally87 reposted

Kwa vile hakuna ujinga unao shindikana kwa sasa,ni bora kufuta mfumo wa Vyama vingi kuliko kuliingiza Jeshi la Polisi ktk siasa.Kauli ya RPC Arusha ktk mkutano wa ccm hivi karibuni ni kauli mbaya inayoleta mpasuko ktk jamii.Kuliingiza Jeshi ktk siasa ni kuleta machafuko ktk jamii


Dj Sally87 reposted

Hamjiulizi najuaje?!!

Nnauye_Nape's tweet image. Hamjiulizi najuaje?!!

Dj Sally87 reposted

Ukiwa na stresi ukipita mahali ukaona hata mbuzi au ng’ombe wawili wanakuangalia unahisi wanakusema.


Dj Sally87 reposted

Palamagamba kapewa TZS 1 bil China juzi Serikali ikapiga vigelegele. USA ilitupa TZS 1 trill kupeleka umeme vijijini. Serikali ikawaita MABEBERU na ikasema hatuna haja na hivyo vipesa. Kwanini? Eti hawataka kupewa masharti ya kuheshimu DEMOKRASIA iliopo kwenye Katiba yetu. 🤣🤷🏽‍♀️


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.