EdsonMwonge's profile picture. Runner | MU Alumni | Trucker

Edson B. Mwonge

@EdsonMwonge

Runner | MU Alumni | Trucker

Edson B. Mwonge reposted

Mtwara Jumamosi tarehe 13 Tukusa Festival itakuwa huko kama ambavyo bango linajieleza 📌

NiiteSonga's tweet image. Mtwara Jumamosi tarehe 13 Tukusa Festival itakuwa huko kama ambavyo bango linajieleza 📌

Edson B. Mwonge reposted

Baada ya miaka 4 kupita bila kufika Arusha hatimaye nipo tena na wanangu wa TUKUSA,tukutane tarehe 6 jumamosi hii kwenye TUKUSA FESTIVAL itayofanyika Ubalozi wa Ufaransa pale kama ambavyo bango linajieleza 📌

NiiteSonga's tweet image. Baada ya miaka 4 kupita bila kufika Arusha hatimaye nipo tena na wanangu wa TUKUSA,tukutane tarehe 6 jumamosi hii kwenye TUKUSA FESTIVAL itayofanyika Ubalozi wa Ufaransa pale kama ambavyo bango linajieleza 📌

Edson B. Mwonge reposted

Kuwa Mpole, lakini Usiwe Mjinga. Kuwa Mkarimu, Lakini Usikubali Kutumiwa. Kuwa Mnyenyekevu, Lakini Usikubali Kudharauliwa

Fundi_machejo's tweet image. Kuwa Mpole, lakini Usiwe Mjinga. Kuwa Mkarimu, Lakini Usikubali Kutumiwa. Kuwa Mnyenyekevu, Lakini Usikubali Kudharauliwa

Edson B. Mwonge reposted

#HipHopfamily uwezo wa @NikkiZohan Kwanini tusimpemaua angalia hai. Akifa ndo clips kamahizi zitaanza kutamba mitandaoni kwawanafiki wasaka likes 🙂‍↕️👮🏿‍♂️


Edson B. Mwonge reposted

#HipHopfamily sikia hii kutoka kwa @onetheincredibl ✊🏿👮🏿‍♂️


Edson B. Mwonge reposted

" Maneno ni ya ki Maalim , Flow nazo ni Sugu sababu Kinywa ni Complex tukirap we don't do Casual " @dizastavina , kwenye Uandishi huu Hapa wametajwa Maalim Nash, Mr Two Sugu na Marehemu Complex. 🙌


Edson B. Mwonge reposted

Hip Hop family nani anatamani kizazi hichi cha tatu Kwa Rap bongo kijirudie✊🏿👮🏿‍♂️


Karibu sana Dodoma....Maalim👊👊

Ndugu zangu wa Mbeya na Dodoma ratiba inaonesha mnafuata katika Ziara hii, nna wana wengi pale Mbeya na Dodoma pia, naomba sana michango yenu ili kufanikisha Ziara hii,tukishindwa watasema Wana Hip Hop wenyewe hawapeani ushirikiano,sasa tuwaoneshe kwa vitendo Dhidi ya Maneno.

Nashemcee's tweet image. Ndugu zangu wa Mbeya na Dodoma ratiba inaonesha mnafuata katika Ziara hii, nna wana wengi pale Mbeya na Dodoma pia, naomba sana michango yenu ili kufanikisha Ziara hii,tukishindwa watasema Wana Hip Hop wenyewe hawapeani ushirikiano,sasa tuwaoneshe kwa vitendo Dhidi ya Maneno.


Edson B. Mwonge reposted

ZIARA YA MISTARI NA UJUMBE. 2024. Mshabiki na Mkereketwa wa harakati nazozifanya, Naomba mchango wako ili kufanikisha Ziara hii yenye lengo chanya la kusambaza ujumbe wenye maadili mema kwa jamii kupitia Utamaduni wetu wa HIP HOP.

Nashemcee's tweet image. ZIARA YA MISTARI NA UJUMBE.
2024.

Mshabiki na Mkereketwa wa harakati nazozifanya, Naomba mchango wako ili kufanikisha Ziara hii yenye lengo chanya la kusambaza ujumbe wenye maadili mema kwa jamii kupitia Utamaduni wetu wa HIP HOP.

Edson B. Mwonge reposted

Nawashukuru tumefanikisha Ziara ya Mwanza,sasa nawaomba sana michango iendelee kwa nguvu tuna safari ya, Chunya,Mtwara,Tunduma na Dodoma. Safari zote zinahitaji nguvu yetu ya pamoja ili kufanikisha maandalizi yote. 🙏🏿

Nashemcee's tweet image. Nawashukuru tumefanikisha Ziara ya Mwanza,sasa nawaomba sana michango iendelee kwa nguvu tuna safari ya, Chunya,Mtwara,Tunduma na Dodoma.
Safari zote zinahitaji nguvu yetu ya pamoja ili kufanikisha maandalizi yote.

🙏🏿

Edson B. Mwonge reposted

Huwezi kufanikiwa kwa mind inayothamini kuwa entertainment all the time Utavuna unachopanda. Huu ndo wakati wa kupanda vitu sahihi.Usipobadili direction utakuwa unaelekea downfall in every area of your life bila taarifa. Fanya AUDIT jioni ya leo✍️


Ujerumani ndo litawakuta jambo 😃😃😃

Leo baya lazima liwakute 🤣



Edson B. Mwonge reposted

Another Day Another Blessings


Edson B. Mwonge reposted

Bayer Leverkusen wamecheza mechi 49 bila kupoteza game yoyote this season na huwezi kusikia wanalishana Cake wala kuweka Mabango!


Edson B. Mwonge reposted

Alhamdulillah. Album yangu ya mwisho kutoka ilikuwa mwaka jana mwezi kama huu na sasa ni imetimiza mwaka mmoja, Mhadhiri ni Album iliyosheheni kila aina ya ladha.Bado inapatikana kwa njia ya, Email, Telegram nk. Bei ni Elfu 25 tu. Kama unataka kuinunua text WhatsApp 0769522346

Nashemcee's tweet image. Alhamdulillah.
Album yangu ya mwisho kutoka ilikuwa mwaka jana mwezi kama huu na sasa ni imetimiza mwaka mmoja, Mhadhiri ni Album iliyosheheni kila aina ya  ladha.Bado inapatikana kwa njia ya, Email, Telegram nk.
Bei ni Elfu 25 tu.
Kama unataka kuinunua text WhatsApp 0769522346
Nashemcee's tweet image. Alhamdulillah.
Album yangu ya mwisho kutoka ilikuwa mwaka jana mwezi kama huu na sasa ni imetimiza mwaka mmoja, Mhadhiri ni Album iliyosheheni kila aina ya  ladha.Bado inapatikana kwa njia ya, Email, Telegram nk.
Bei ni Elfu 25 tu.
Kama unataka kuinunua text WhatsApp 0769522346

Edson B. Mwonge reposted

FO KARIBU NA ZIRO FOUNDATION.


Uza mahindi maji baridi misosi Mingi.../ Jua la utosi usihofu we force kingi...

Drop your favorite line that SONGA has ever said.. Tusikilize humu nyimbo👉 mdundo.com/a/972

MuhindiPateli's tweet image. Drop your favorite line that SONGA has ever said..
Tusikilize humu nyimbo👉 mdundo.com/a/972


Edson B. Mwonge reposted

Dear men si kilamwanamke unatakiwa kumtaka Ebu sisi wengine mtuache nafasi mlizotuweka kama ni rafk basi ibaki hvo. Ahsante Nb: mtapoteza madini kisa tamaa za muda mfupi🥂😊


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.