ForoteoJr's profile picture.

...

@ForoteoJr

Pinned

Absence of evidence is not the evidence of absence...Alamsik


Dkt.Lazaro Komba✅

BREAKING NEWS : Kikao cha Kamati Kuu CCM Kimefanyika leo Zenji, kilikua na agenda 2, Mwenendo wa Rais Samia na Mwinyi, na kujadili Mgombea Ubunge Peramiho. 1 - Wamempongeza SSH na Mwinyi kwa kuwatumikia wananchi. 2 - Jina la GETRUDE HAULE limepitishwa kugombea Ubunge Peramiho.

Sisimizi3's tweet image. BREAKING NEWS : Kikao cha Kamati Kuu CCM Kimefanyika leo Zenji, kilikua na agenda 2, Mwenendo wa Rais Samia na Mwinyi, na kujadili Mgombea Ubunge Peramiho.

1 - Wamempongeza SSH na Mwinyi kwa kuwatumikia wananchi.

2 - Jina la GETRUDE HAULE limepitishwa kugombea Ubunge Peramiho.


... reposted

Hakuna kutajirika as a group! Don’t be an idiot. GM.


... reposted

computer shortcut keys

HorifyingPeople's tweet image. computer shortcut keys

... reposted

UKIMWI ni ugonjwa wa kawaida ukiwa hujaupata, play safe.


Wacha tuupe muda nafasi kaka, tutakumbushana

Swala hapo sio nani anafanya maamuzi bali kama mhimili wa nchi ilikuwa ni cheap language na inachukuliqa kama maelekezo, na kama nitakukumbusha kuwa yalikuwa maelekezo na dogo atakuwa Mbunge. Tuishie hapa



... reposted

Huduma yoyote ya kulipia ambayo si ya lazima ni anasa. Fukara Netflix ya nini?


... reposted

Majirani na marafiki tulishakukanya sana Amigo.


... reposted

Mambo mengi yametokea ambayo sikuwaza kama yangetokea, nimefanya vitu ambavyo niliwahi kuapa sitokuja kufanya kamwe that's why I will never judge anyone for their choices or their mistakes. Life has no manual. We are all doing the best we can and learning a lot along the way!


... reposted

Nusu ya uzuri wa mtu ni ulimi wake


... reposted

Achana na hiyo kuna ile unalia af unagusa mfukoni unakuta simu hamna🤣🤣🤣


... reposted

Bro to bro ,Nuksi na mikosi hazivaliwi kinga wanangu .Kuwa na mwanamke mmoja anatosha.


... reposted

Tangu nimekuwa , na nikagundua kwamba unaweza kufanya Kazi na Usifanikiwe , basi nimejifunza kuomba Neema na Utangulizi wa Mungu katika kila ninachokifanya .


... reposted

you are entitled to your opinion no matter how dumb it is


... reposted

Kipindi unafeli kuna kitu unajifunza.


... reposted

Jinsi ya kujiheshimu Mwenyewe 1. Mtangulize Mungu kwa kila Jambo 2. Punguza kujieleza kupita kiasi 3 . Weka mipaka yako bila kuomba radhi 4. Timiza ahadi zako 5 . Dhibiti hisia zako hadharani 6 . Usiombe umuhimu kwa watu 7. Punguza matarajio kwa watu 8. Heshimu muda wako


... reposted

Kipindi mtoaji anapofilisika, mpokeaji atasema mtoaji hakuwa na matumizi mazuri ya fedha. Watoaji, kuweni makini


... reposted

Ukiona unatumia nguvu nyingi, Sio Hapo!


... reposted

"Maneno yote mazuri yanayokuja baada ya kufanya kosa, yanahesabika ni utetezi." ~ Ben Mkapa

Labella_Mafia95's tweet image. "Maneno yote mazuri yanayokuja baada ya kufanya kosa, yanahesabika ni utetezi." ~ Ben Mkapa

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.