Mr. 'MFUKUNYUA'
@HernandezJr2016
Professional Director of My Life, CEO of Unemployment sectors & A member of Street parlianment.
Was dir gefallen könnte
Al-jumaa ya 'LEO' iwe ni chanzo kikuu cha vuguvugu la mafanikio yako katika 'MAISHA'. MUNGU atuinue tufikie malengo yetu.. 🙏🙏🙏
Kosa la 'USALITI' ulilolifanya kwa mpenzi wako, limechangia kwa kiasi fulani kwenye Jamii kuongezeka kwa 'UNYAMA', 'UKATILI', 'TABIA', na 'MIENENDO' isiyofaa kwenye 'MAHUSIANO'
Mtanzania umenyongwa kwa miaka 59 tangu tupate 'UHURU' , kisha anakuja mgombea aliyekuwa kwenye mfumo wa chama hicho anajiita 'RAIS wa WANYONGE' na wewe unamkenulia meno utadhani Unyonge ni HESHIMA vile.. Fyuuuuuuuuuh
Watanzania tuache ushabiki wa kishamba kwenye 'MAISHA YETU'. @ccm_tanzania wametawala tangu 'UHURU' hadi leo, lakini bado 'Mfumo mzima wa ELIMU ni CHANGAMOTO zilizokosa utatuzi kwa Muda mrefu mno'.. Tuchague #MABADILIKO ✌✌✌ @TunduALissu @zittokabwe
Watanzania tuache ushabiki wa kishamba kwenye 'MAISHA YETU'. @ccm_tanzania wametawala tangu 'UHURU' hadi leo, bado 'UPATIKANAJI wa DAWA' kwa wagonjwa kwenye mfumo mzima wa AFYA ni Kitendawili.. Tuchague #MABADILIKO. ✌✌✌ @fatma_karume @HildaNewton21
Watanzania tuache ushabiki wa kishamba kwenye 'MAISHA YETU'. @ccm_tanzania wametawala tangu 'UHURU' mpaka leo lakini bado hatuna 'UMEME wa UHAKIKA' kwenye Taifa letu.. Tuchague #MABADILIKO. ✌✌✌ @kigogo2014 @RealHauleGluck
Watanzania tuache ushabiki wa kishamba kwenye 'MAISHA YETU'. @ccm_tanzania wametawala tangu 'UHURU' mpaka leo lakini bado maeneo mengi ya nchi hii hayana uhakika wa' MAJI SAFI na SALAMA'.. Tuchague #MABADILIKO. ✌✌✌ @MariaSTsehai @halimamdee
Ilimradi tuna uwezo wa kuingia tweeter na kuona yanayoendelea, 'MUNGU' bado anatuhitaji kwenye 'DUNIA' yake hivyo tunapaswa 'KUMSHUKURU'. Siku hii iwe njema kwenu 🙏🙏🙏
Kama vifua vyetu vingefunguka na tungeona 'DHAMIRA' za watu wote waliyotuzunguka, pengine tungepoteza ndugu, jamaa, na marafiki 'WENGI MNO'..
Wajumbe mnoishi kwenye content ya 'WAPWA TUINUANE' wengi wenu hamna DHAMIRA ya kuinuana ila mnataka KUINULIWA.. Ndio maana 'Followers' na 'Following' kwenu havikaribiani kabisa.
Mara zote 'JAZBA' hupunguza 'UFANISI' wa 'FIKRA PAMBANUZI' katika kufanya 'MAAMUZI YAKINIFU' Niwatakie JUMAPILI yenye 'FURAHA' na 'AMANI' kwenu Jamhuri ya watu wa twitter..
Kwani kukua kwa UCHUMI kunaenda sambamba na hali ya Maisha kuzidi kuwa ngumu?? Wataalam wa Uchumi tunaomba ufafanuzi maana kabla hatujaingia kwenye 'Uchumi wa KATI' maisha yalikuwa na unafuu kidogo kuliko ilivyokuwa sasa.!! @BabaMwita @HASHIMRUNGWE_1
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
#TANZIA Jaji Mstaafu Mark Bomani ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Tanzania amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Septemba 11, 2020, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Mgombea Urais wa Chama hicho Dkt JOHN MAGUFULI ametoa Salamu za Rambirambi Kufuatia kifo cha Jaji Mstaafu MARK BOMANI. Pole hizo zimetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole Kwa Niaba ya Dkt MAGUFULI.
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
Jaji Mstaafu Mark Bomani ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Tanzania amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo September 11, 2020, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, DSM. #RIPMzeeBomani🙏🏼
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
Mwenyezi Mungu amjalie Mzee wetu Bomani pumziko jema! Pole sana kwa familia; Mama yetu Rahma Mwapachu Bomani, Heri, Clement na Andrew. Pamoja na wote ambao wameguswa na msiba kwa namna moja au nyingine. Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie.....!
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi. MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
Rest in Peace Judge Mark Bomani I am privileged to have known you na nimepata madini mengi kutoka kwako! Ulisimamia kwa dhati ujenzi wa mifumo ya haki Tanzania 🇹🇿 Tumeondokewa na hazina kubwa sana ya Taifa 🙏🏽
R.I.P Jaji Mstaafu Mark Bomani, ukibahatika kukutana na Baba wa Taifa hayati Mwl. JULIUS K. NYRRERE huko huendako mwambie tunahitaji DUA zake nyingi MAANA tulipofikia leo; 'MZALENDO' anaitwa 'MCHOCHEZI' na 'MPIGANIA HAKI' wamempa jina la 'MVURUGA AMANI' 😔
Jaji Mstaafu Mark Bomani ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa kwanza wa Serikali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Pumzika kwa Amani Jaji Bomani.
United States Trends
- 1. Ole Miss 76,5 B posts
- 2. Carson Beck 26,2 B posts
- 3. #TheTraitorsUS 14,2 B posts
- 4. Hail Mary 4.313 posts
- 5. Malachi Toney 8.338 posts
- 6. #CFBPlayoff 14,4 B posts
- 7. Chambliss 12,5 B posts
- 8. Natty 21 B posts
- 9. #FiestaBowl 10,8 B posts
- 10. National Championship 32,7 B posts
- 11. Michael Irvin 6.927 posts
- 12. The U 853 B posts
- 13. Porsha 2.253 posts
- 14. #ThePitt 20,8 B posts
- 15. Mario Cristobal 3.291 posts
- 16. Portland 172 B posts
- 17. maya hawke 9.474 posts
- 18. Lane Kiffin 14,2 B posts
- 19. I Just Might 43,6 B posts
- 20. Pete Golding 3.089 posts
Was dir gefallen könnte
-
•dr•unju• 🦜
@bennypeter73 -
TRAVELLER_0115
@TrevorSix1 -
obi
@obby2468 -
SungweCost
@sungweone -
Steiger
@Wanchope_13 -
hamtheeco__
@BrysonLito -
Anko neddi
@ankoneddi -
CHILIMO
@ERChilimo -
1 วσнη 4:20🇹🇿🇸🇴
@Gwandumithespy_ -
Misungwi
@henritho -
laurent
@lawrent25 -
Norman Kusalula
@call_me_Normy -
king lameck
@king_lameck -
🇦🇼🇮🇳🇹🇺
@ntumvavugwa -
The don
@NassirMosley1
Something went wrong.
Something went wrong.