Kamigakiku ๐น๐ฟ//๐ฎ๐ฑ
@MichongoTu
Backup Account ya @Kamigakikumbise
Anda mungkin suka
Mwangaza Wa Siku.โ Nao watakaa humo salama; naam, watajenga nyumba, na kupanda mashamba ya mizabibu, na kukaa salama; nitakapokuwa nimetekeleza hukumu zangu juu ya watu wote, wanaowatenda mambo ya jeuri pande zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wao. "EZEK 28:26"
Kisha Mwenyezi-Mungu akatuambia sisi sote, โHao watoto wenu mnaoogopa kwamba watakuwa nyara za adui zenu, naam hao walio wadogo ambao hawajui bado kupambanua kati ya mema na mabaya, hao ndio watakaoingia huko, nami nitawapa wao nchi hiyo iwe yao. (Kumbu 1:39|BHN
"Angalieni msikialo; kipimo kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa, na tena mtazidishiwa. Kwa maana mwenye kitu atapewa, naye asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyangโanywa." (Mk. 4:21-25)
Kumcha Mungu kunatufanya tujuwe thamani halisi ya maisha yetu kunatupa sababu ya kuishi na ujasiri wa kukabiliana na kila jambo tunalokutana nalo ktk hii dunia bila woga Tumche Mungu ndugu zangu Na iwe J2 njema kwetu sote NAWAPENDA WOTE โค๏ธโค๏ธโค๏ธ
story time: Kuna daktari mmoja alikuwa anasoma SUA(Vet), jina lake ni Frank. Kwa mujibu wa wanawake waliomuona live au kwenye picha wanasema ni bonge la handsome. mimi kwangu alikuwa ni mshikaji sana, mcheshi na mtoa support kwa wana. Frank alikulia mazingira ya kishua flani.
Mungu ni mwema Account yangu imerejea salama. Asanteni sana nyote. ๐๐พ๐ค๐พ๐ค๐พ
Napenda sana kuwashukuru nyote mliokuwa nami katika Account hii kwa muda. Mungu ni mwema AC yangu imerudi. Turudi sasa nyumbani tuendeleze gurudumu @Kamigakikumbise ๐๐พ๐๐พ๐ค๐พ๐ค๐พ๐ค๐พ
Napenda sana kuwashukuru nyote mliokuwa nami katika Account hii kwa muda. Mungu ni mwema AC yangu imerudi. Turudi sasa nyumbani tuendeleze gurudumu @Kamigakikumbise ๐๐พ๐๐พ๐ค๐พ๐ค๐พ๐ค๐พ
Habari, Account yangu ya @Kamigakikumbise imekuwa Temporary Restricted. Sasa hivi natumia hii kwa muda hadi mambo yatakapotengamaa. Tafadhali nifollow. @Eric_Bernard94 @gracemella95
๐.... ๐ : instagram.com/hikas_shoes #hikasshoes
๐โฝ๏ธ
๐น๐ฟ Hello our Tanzanian friends! ๐๐ฟ ๐๐
Natamani siku nipate japo nafasi wasafi Fm niwe nachambua sheria mbili tatu ambazo ni muhimu kwa Maisha yetu ya kila siku๐๐ @Kimkayndo
๐น๐ฟ Hello our Tanzanian friends! ๐๐ฟ ๐๐
Usimkaripie mwenye dharau, asije akakuchukia; Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda. Mithali 9:8
Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Mithali 8:17
Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia. Mithali 11:27
Ramani ya vituo vya ufundi (Technical centers) vya Shirikisho la soka nchini TFF vikavyojengwa Kigamboni na Tanga Mradi TFF na Kampuni ya Group Six International utakao gharimu bilion 9
Home Mwanza Jioni njema ๐ ๐
Mkadi hutumika kutengeneza mikeka na Makuti , Mmea huu umesaidia watu wengi wa pwani kujipatia kipato na wenyewe wanakwambia mizizi yake michanga na majani ni tiba . #OkoaMimeaYaAsili
Ruwaza ya #ElimikaWikiendi | MAKUZI YA LUGHA ni mujarabu sana. Tukutane kesho katika saa 3 za nguvu za Waswahili.
We need to recheck our national values and basics if we need to restore true patriotism, by respecting Human Rights and Equality. Back in the days, patriotism was natural. Unlike now, we struggle to motivate people to become patriots ~ | @KiwangaFrancis #Rights4Development
Kumcha Bwana ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu. Mithali 9:10
United States Tren
- 1. Good Sunday N/A
- 2. Anthony Kim N/A
- 3. #RISERCONCERTD3 N/A
- 4. Wayne N/A
- 5. #Toonami N/A
- 6. Vlad N/A
- 7. #RivalsUniteInDokkan N/A
- 8. Inkigayo N/A
- 9. Janis Joplin N/A
- 10. #TokyoRevengers N/A
- 11. Chivas N/A
- 12. #GCWColdest N/A
- 13. Rahm N/A
- 14. Marilyn Monroe N/A
- 15. Elvis Presley N/A
- 16. Bryson N/A
- 17. Tory N/A
- 18. Jardine N/A
- 19. With You N/A
- 20. Dirty Diana N/A
Anda mungkin suka
-
NIPE DILI
@NipeDili -
Kijiweni
@nipokijiweni -
Mmassy Jr (II)
@LelloMmassy -
Dr. Joshua Kileo
@Joki_Aaron -
ITM Tanzania Limited
@itmtanzania -
Lameck Isaya
@isaya_lameck -
Mchambuzi
@Baraza_Kuu -
Peter Kefand. 006
@PKefand -
Kisauti โ
@JudithKilewo_ -
Dada Tuku๐น
@Mwanzalimaa -
Prudent Essay Writer
@PrudentWriters_ -
Joe Shayo ๐
@BreezyJR5 -
SonyJack
@sonyjacky_ -
TONY ALFRED K
@tonyalfredk -
Iam_muuh ๐ฆ๐ท
@mR_cEleBriTyy
Something went wrong.
Something went wrong.