Msangula12's profile picture. Entrepreneur||pray daily,work hard & trust Allah.

Sele Man

@Msangula12

Entrepreneur||pray daily,work hard & trust Allah.

قد يعجبك

Mfaume anapikwa😀


Si wamalize na mbavu ya kulia tu


Nakuaga na furaha sana wakati ninapotoa sadaka na ninapolipa deni


Botafogo FR kuwafungua shughuli hawa watawasumbua watu🙌


Mwamba katoa nyongo😃🙌


Black sherif_ Sacrifice🎶🙌


Siku nyengine 🙏🏿


Mamadou lamine camara huyu mbona epl ankipiga kabisa jamaa ni fundi haswa🙌


Kuna anaekupenda kwasababu unakitu na Kuna anaekupenda kwasababu we ni kila kitu


Siku nyengine mipango mingine ela nyengine


Hii mechi unatamsni ichezwe adi asubuhi raha ya mechi ni magoli😃


Maskini ajui ni lini atakuwa tajiri na tajiri ajui ni lini atakuwa Maskini


Unaamka mapema unaenda wapi


Mvinjo unazidi kuwa mtamu🐐🙌


Madrid alikuwa unga sana leo


Apa ata unambie hamia masaki sihamii

Msangula12's tweet image. Apa ata unambie hamia masaki sihamii

Ulimi unaangamiza tutumie vizuri


United States الاتجاهات

قد يعجبك

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.