MusaMusah3's profile picture. Teacher

Mr, HB

@MusaMusah3

Teacher

Vijana wameamka sanaa msimu huu

MusaMusah3's tweet image. Vijana wameamka sanaa msimu huu
MusaMusah3's tweet image. Vijana wameamka sanaa msimu huu

Utaskia baadae CHAMA NA BALEKE nimewakuta WANACHEKA CHOONI😁

MusaMusah3's tweet image. Utaskia baadae CHAMA NA BALEKE nimewakuta  WANACHEKA CHOONI😁

Tamasha la yanga Ni Kama la kipaimara tu🙌


Mr, HB reposted

"Tunaishi maisha ya shida na ufukara mkubwa tangu Azori Gwanda alipotoweka, familia haina msaada na hatujui kama yupo hai au alikufa, tunaomba Rais (Samia Suluhu) atusaidie mtoto wetu apatikane tutakufa kwa Mawazo."- Mama Mzazi wa Mwandishi Azory Gwanda, Eva Mpulumba (88)

Twaha_Mwaipaya's tweet image. "Tunaishi maisha ya shida na ufukara mkubwa tangu Azori Gwanda alipotoweka, familia haina msaada na hatujui kama yupo hai au alikufa, tunaomba Rais (Samia Suluhu) atusaidie mtoto wetu apatikane tutakufa kwa Mawazo."- Mama Mzazi wa Mwandishi Azory Gwanda, Eva Mpulumba (88)

Mr, HB reposted

Maafisa wa Ulinzi wa Marekani wameiambia Serikali ya Israel kwamba endeleeni na Operation na Meli za Wanamaji za Marekani katika Bahari ya Mashariki ya Mediterania zitatumika kujibu mapigo ya Makombora ambayo yanarushwa na Hezbollah kutokea Lebanon na kwamba Majeshi ya Marekani…


Mr, HB reposted

Haya kumekucha, Leo Nataka Retweet 100 tu niwakwangulie Voda, Tigo & Halotel. Twende kazi🔥🔥

Be_FrankSr's tweet image. Haya kumekucha, Leo Nataka Retweet 100 tu niwakwangulie Voda, Tigo & Halotel. Twende kazi🔥🔥

Ivi huyu malkia nyukii Ni wa mkoa gani??


Mr, HB reposted

Vipers kwenye mechi zake mbili za ugenini za kimataifa, wameshinda 1-0 dhidi ya Rayon Sports Rwanda, wameshinda 2-0 dhidi ya Yanga SC hapa Dar. Jamaa wana balaa.

privaldinho's tweet image. Vipers kwenye mechi zake mbili za ugenini za kimataifa, wameshinda 1-0 dhidi ya Rayon Sports Rwanda, wameshinda 2-0 dhidi ya Yanga SC hapa Dar. Jamaa wana balaa.

Yanga mnateseka mkiwa wapiiii

MusaMusah3's tweet image. Yanga mnateseka mkiwa wapiiii

Mr, HB reposted

Wanasimba tumefurah retweet #POS🦁

SalimuSalimuu's tweet image. Wanasimba tumefurah retweet #POS🦁

Mr, HB reposted

Ruto asema akiingia madarakani, katika ufisadi hata kama ni rais atakabiliwa na mkono wa sheria bbc.in/3aQ2hfy

bbcswahili's tweet image. Ruto asema akiingia madarakani, katika ufisadi hata kama ni rais atakabiliwa na mkono wa sheria 
bbc.in/3aQ2hfy

Mr, HB reposted

Serikali inabidi iingilie kati, Yanga wanafanya Usajili utadhani wanashiriki Uefa Champions league! Haikubaliki mamae.


Mr, HB reposted

Tunza vyema wazazi wako lea vyema family yako na moja ya malipo yake makubwa ni yeye Mungu mwenyewe kuwa muangalizi wa kazi zako na badala yake utaona tu vitu vinakua pasi na kutegemea na hakuna pahali utakosea naitwa 🗣hassan mwakinyo Asalaam alaykum..🙌🙌

JrMwakinyo's tweet image. Tunza vyema wazazi wako lea vyema family yako  na moja ya malipo yake makubwa ni yeye Mungu mwenyewe kuwa muangalizi wa kazi zako na badala yake utaona tu vitu vinakua pasi na kutegemea na hakuna pahali utakosea naitwa 🗣hassan mwakinyo Asalaam alaykum..🙌🙌

Mr, HB reposted

Dozens of Russian weapons tycoons have faced no Western sanctions. It’s time for that to change. reuters.com/world/europe/d…


Mr, HB reposted

Mpaka sasa Man of the man ni FARID MUSSA.


Mr, HB reposted

Shughuli za Kijeshi hazina Siasa wala Maneno mengi ndani ya dakika 10 tu mambo yamekwisha. Tayari Jenerali Jacob John Mkunda amekwisha valishwa vyeo vyake vipya na Kula kiapo cha kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania.

ayubu_madenge's tweet image. Shughuli za Kijeshi hazina Siasa wala Maneno mengi ndani ya dakika 10 tu mambo yamekwisha. Tayari Jenerali Jacob John Mkunda amekwisha valishwa vyeo vyake vipya na Kula kiapo cha kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania.

Mr, HB reposted

Kilichonifurahisha zaidi ni Jamaa kutokutetema.


Mr, HB reposted

Mungu akupe Hitaji lako la Moyo Wewe Unaesoma tweet hii Na kuwalinda wale uwapendao🔥🙏


United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.