SteveGeneral_'s profile picture. HIP HOP/

ARSENAL supporter/
AZAM FC-Timu Bora bidhaa bora🍦

GEMIN👨‍❤️‍👨/

NGONI tribe/

Born here here

steve

@SteveGeneral_

HIP HOP/ ARSENAL supporter/ AZAM FC-Timu Bora bidhaa bora🍦 GEMIN👨‍❤️‍👨/ NGONI tribe/ Born here here

Leo nilikuwa na maeneo ya rainbow kuna upande wa uswahilini kunaitwa unyasani nimekutana na Muha mmoja ananiambia katika vitu anajua maishani mwake ni maamuzi ya kutoka kigoma kuja Dar baada ya kuangalia movie ya Kanumba. oya nimecheka sana leo


Hili swala la wasanii kukopa chips na wasilipe kama upo mbali nao unaweza kuona kama maigizo tu kumbe


steve reposted

wanateseka sana hawa mabinti wa kazi


steve reposted

Si mpya


ukitaka kujua hawa watoto wa kike majumbani kwao wanateswa akija gheto kanalala kama kamefunga shule jana


steve reposted

DEAR PROMOTA, USINI BEEP! Ewe Promota, Muandaa Show, Sponsor, Manager, etc please it is 2026, kama hamuwezi fanya kazi ki-professional, basi msitafute PROFESSIONALS. Ukipata au Ukipewa Mawasiliano ya Representative wa Artist, muelezee Shida yako kikamilifu. Pia akikuuliza…

Wakazi's tweet image. DEAR PROMOTA, USINI BEEP! 

Ewe Promota, Muandaa Show, Sponsor, Manager, etc please it is 2026, kama hamuwezi fanya kazi ki-professional, basi msitafute PROFESSIONALS.

Ukipata au Ukipewa Mawasiliano ya Representative wa Artist, muelezee Shida yako kikamilifu. Pia akikuuliza…

kuna yule braza mtaani ana mke watoto 3 kapanga kazi anazofanya sio rasmi mara kalima umemtuma umempa buku 2. Halafu kunae wewe una kipato rasmi una mipango kibao huna mke Huna mtoto Kila mwaka wa kwako. masiku nayo yanakata


katika story ambayo sijawahi kuielewa ni kuwa kichwa cha ng'ombe kina nyama nyingi 🤣


steve reposted

😂😂😂😂


steve reposted

Nisamehe mkuu😂😂


steve reposted

una haraka sana


Leo barabarani traffic wengi sana na wana njaa sijui wanataka kurudisha Hela zao za Ada


steve reposted

kaka ndio hapo hapo kudadekiiiii


nimepita KFC maeneo ya fire pale kuna wengi wamepanga foleni na bahasha za kaki usiku wanaohitajika 2 tu

Wakuu kwa ground kwa moto sana💔 Graduates wengi hawana ajira🥹 hapa nipo sehemu kuna usahili mshahara 300k elimu kuanzia la saba ila kuna degree sio chini ya 100 hadi mimi mgonga ulimbo na elimu yangu ndogo nimetetemeka😔 Mungu asaidie mapambano ya vijana kwa ground kunatisha🤲



steve reposted

Sijui next Album ya @dizastavina itauzwaje. Lakini kama itakuwa chini ya Laki 1. Nitanunua kwa Laki 1.🙏🫡


steve reposted

Wanangu Repost ifike Mbali tuchangie Familia kwa Chochote.🙏🙏

Thereal_taivina's tweet image. Wanangu Repost ifike Mbali tuchangie Familia kwa Chochote.🙏🙏
Thereal_taivina's tweet image. Wanangu Repost ifike Mbali tuchangie Familia kwa Chochote.🙏🙏
Thereal_taivina's tweet image. Wanangu Repost ifike Mbali tuchangie Familia kwa Chochote.🙏🙏

steve reposted

Tunaambiwa maarifa kibao yamefichwa katika vitabu, na kwa bahati mbaya wengi wetu hatuna kipaji cha usomaji. Ila nakuhakikishia kuna Maarifa mengi pia yanapatikana katika Muziki wa DIZASTA VINA Ushindwe wewe tuu kuyaokota 👊🏾 NB: "Hizi ngumu hawaDance wakina Angel Nyigu"

DullahTheking2's tweet image. Tunaambiwa maarifa kibao yamefichwa katika vitabu, na kwa bahati mbaya wengi wetu hatuna kipaji cha usomaji.

Ila nakuhakikishia kuna Maarifa mengi pia yanapatikana katika Muziki wa DIZASTA VINA

Ushindwe wewe tuu kuyaokota 👊🏾

NB: "Hizi ngumu hawaDance wakina Angel Nyigu"

steve reposted

Sema Hisia za moyoni @NiiteSonga aliumiza sana🙌🏾🫡


steve reposted

Umepandiwa dau, haiwezekani hausi gelo akuja na mpunga mrefu namna hiyo. Chunguza majirani/ndugu/ rafiki zako


steve reposted

Kasema nauli nakurudshia na ya kwenda haitaki anayo


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.