VButondo's profile picture. LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION OFFICER #Savebeforeuse

Mr Butondo

@VButondo

LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION OFFICER #Savebeforeuse

You might like
Pinned

Unaowaona wanaheshimika Kuna kitu kinawaheshimisha ,tuendelee kupambana wanangu😢🗣️


Wasomi tusichague kazi kisa hatujazisomea wewe omba Kama vigezo vinakidhi ,Kisha ukishaingia kwenye mfumo rasmi pambana kupata kazi unayotaka wewe


Tupo kwenye dunia ambayo ukifeli ndugu zako wanafurahi


Njia rahisi kabisa ya kufanikiwa ni kuanza na ulichonacho ,acha kusuburi upate kikubwa utapoteza hata kile ulichonacho


Urafiki na unafiki tofauti yake ni herufi moja tu #VisitKishapu


Something comes from nothing don't lie, keep focus


NYAKATI!!. Kubali kupitia kipindi usichokipenda ili kurahisisha kufika kipindi unachokitamani


Sehemu unayopaswa kujifunza ,usiende kama mwalimu


Mtu mwingine ambaye unatakiwa uwe naye makini sana ni rafiki yako


Whatever the position you're, ISHI VIZURI NA WATU


Ukiacha ujuaji tu kila mtu anakitu cha kukufundisha na kukufanya uwe Bora zaidi @visitkidhapu


Mr Butondo reposted

Ushindi wa kweli maishani ni kushinda hofu yako, weka bidii katika kila kitu unachokifanya.

Iamfelixtz's tweet image. Ushindi wa kweli maishani ni kushinda hofu yako, weka bidii katika kila kitu unachokifanya.
Iamfelixtz's tweet image. Ushindi wa kweli maishani ni kushinda hofu yako, weka bidii katika kila kitu unachokifanya.
Iamfelixtz's tweet image. Ushindi wa kweli maishani ni kushinda hofu yako, weka bidii katika kila kitu unachokifanya.

Mr Butondo reposted

Bila kuchoka Wanangu naomba Repost zenu.👊

ze_mandevu's tweet image. Bila kuchoka Wanangu naomba Repost zenu.👊

Mr Butondo reposted

AD Naomba retweets hapa wakuu 🚀 Airtel 5G – Kasi ya radi! 🚀 🌐 Kwa Nini Uchague Airtel 5G? ✅ Speed kali na ya uhakika muda wote ✅ Data bila kikomo – tumia bila hofu! ✅ Unganisha hadi vifaa 64 bila shida 💼 Vifurushi Nafuu kwa Mahitaji Yako: 📶 10 Mbps – TZS 70,000/mwezi…

Ambele_Young's tweet image. AD

Naomba retweets hapa wakuu 

🚀 Airtel 5G – Kasi ya radi! 🚀

🌐 Kwa Nini Uchague Airtel 5G?
✅ Speed kali na ya uhakika muda wote
✅ Data bila kikomo – tumia bila hofu!
✅ Unganisha hadi vifaa 64 bila shida

💼 Vifurushi Nafuu kwa Mahitaji Yako:
📶 10 Mbps – TZS 70,000/mwezi…

Hi @grok naomba edit picha yangu


Mr Butondo reposted

Kabla mambo hayajawa mengi Wanangu naombeni Repost zenu hapa.

ze_mandevu's tweet image. Kabla mambo hayajawa mengi Wanangu naombeni Repost zenu hapa.

Mr Butondo reposted

Ukiamka Anza na Sala, Utabarikiwa Kila Uingiapo na Utokapo🛐♡


Mr Butondo reposted

Kwanini Vijana Siku hizii hawapendi kwenda Kanisani, Au kwanini Leo hujaenda Kanisani..?


Mr Butondo reposted

Uongozi wa kampuni ya Dalali Mwanamke Real Estaste imempa zawadi ya kiwanja golikipa Moussa Camara kama zawadi baada ya kudaka mikwaju miwili ya penati kati ya tatu zilizopigwa na Al Masry katika mchezo wa mzunguko wa pili wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho. #WenyeNchi

SimbaSCTanzania's tweet image. Uongozi wa kampuni ya Dalali Mwanamke Real Estaste imempa zawadi ya kiwanja golikipa Moussa Camara kama zawadi baada ya kudaka mikwaju miwili ya penati kati ya tatu zilizopigwa na Al Masry katika mchezo wa mzunguko wa pili wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho. #WenyeNchi…

Kuwa makini na maji yaliyotulia, yana kina kirefu Sana #visitkishapu


Mara nyingi matatizo tuliyonayo yanasababishwa na ndugu zetu wa karibu


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.