Walebbright's profile picture. In truth we survival,we need love each other

BREAKFAST

@Walebbright

In truth we survival,we need love each other

BREAKFAST reposted

Umeshiriki kuivimbisha

Nchi imevimba



BREAKFAST reposted

Leo Samia kawapa mashtaka ya UHAINI Watanganyika 291 kwa Mkoa wa DSM pekee. Kaagiza Vikosi vya utekaji kuingia mitaani kuendeleza na utekaji kwa kila mtu anayempinga. WATANGANYIKA TUSIPOMDHIBITI SAMIA ATATUMALIZA #09December.

JohnNgutiCDM's tweet image. Leo Samia kawapa mashtaka ya UHAINI Watanganyika 291 kwa Mkoa wa DSM pekee. Kaagiza Vikosi vya utekaji kuingia mitaani kuendeleza na utekaji kwa kila mtu anayempinga. WATANGANYIKA TUSIPOMDHIBITI SAMIA ATATUMALIZA
#09December.

BREAKFAST reposted

Baada ya MAANDAMANO kuisha Achimwene SAFARI wametoa mabango ya Uchawa na kupromote dhahabu ambayo ndio kazi yao kuu. Waliwaweka SPIKA NA SAMIA kama sehemu ya SHOBO kwa watawala, kulikuwa na Tetesi za chini chini kuwa hizi Bus kuna mkono wa SPIKA TULIA. Kama mnavyojua mali…

Sativa255's tweet image. Baada ya MAANDAMANO kuisha Achimwene SAFARI wametoa mabango ya Uchawa na kupromote dhahabu ambayo ndio kazi yao kuu.

Waliwaweka SPIKA NA SAMIA kama sehemu ya SHOBO kwa watawala, kulikuwa na Tetesi za chini chini kuwa hizi Bus kuna mkono wa  SPIKA TULIA.

Kama mnavyojua mali…
Sativa255's tweet image. Baada ya MAANDAMANO kuisha Achimwene SAFARI wametoa mabango ya Uchawa na kupromote dhahabu ambayo ndio kazi yao kuu.

Waliwaweka SPIKA NA SAMIA kama sehemu ya SHOBO kwa watawala, kulikuwa na Tetesi za chini chini kuwa hizi Bus kuna mkono wa  SPIKA TULIA.

Kama mnavyojua mali…

Wauwaji mmenufaika nini

Walebbright's tweet image. Wauwaji mmenufaika nini

Hivi Kuna majitu bado yanavaa mango ya chama

Walebbright's tweet image. Hivi Kuna majitu bado yanavaa mango ya chama

BREAKFAST reposted

Pale Mwembe Chai walikufa VIJANA Weengi Sanaaa hasa Waliokua Mbele Hili Nitukio Ambalo Mimi Mwenyewe Nimelishuhudia kwa Macho yangu Kwenye ile Noah Nyeupe isiyo na PlateNumber kuna Muuaji Mmoja alivalia Jezi ya Yanga aseeh!! yule Jamaa ni Mkatili Sanaa sidhani Kama ni Mtanzania


BREAKFAST reposted

Master TINDWA ni mfano wa watanzania waliofariki kinyama sana. Alikuwa Nyumbani kwake, akapigwa RISASI na watu wa Jeshi la POLISI. Aina hii ya mauaji ndio imehusisha watu wengi sana. Mpaka sasa ni zaidi ya watu ELFU TATU wameuliwa na POLISI. Kwamujibu wa DIKTETA JIKE anasema…


BREAKFAST reposted

Nakuchukia Mno Chalamila!! Unatia Hasira Sana!! Wewe ni mnufaika now wa kinachotokea!! But Coin inakwenda Kugeuka soon utakuwa Muhanga!! Mwisho wako utakuwa mbaya sana Chalamila!!


BREAKFAST reposted

Niamini Mimi...!! Nurudia Tena Na Tena Kwamba Jamhuri Hii Kamwe Haitotawaliwa Na SAMIA,Kwa Muhura Mwingine Zaidi Ya Ule Aliorithi Kutokana Na Kifo Cha Rais Magufuli.


BREAKFAST reposted

Angalia hii video kwa makini uone jinsi Polisi wanavouwa Ndugu zetu. Kumbe walizima data na umeme ili wafanye huu ukatili gizani walidhan itakuwa siri.


BREAKFAST reposted

Imagine media inaogopa kiasi kwamba hata kutangaza tu kuwa mwanahabari wake ameuawa na @SuluhuSamia imeshindwa!!

EduTalkTz's tweet image. Imagine media inaogopa kiasi kwamba hata kutangaza tu kuwa mwanahabari wake ameuawa na @SuluhuSamia imeshindwa!!

BREAKFAST reposted

Hakuna mgeni yoyote aliyekuja kujaribu kutoa maisha yake kwaajili ya Tanzania. 🇹🇿 WALIOFANYA MAANDAMANO NA FUJO ZOTE, NI WATANZANIA WENYEWE.🙏 kama mnataka Mungu aiponye nchi yetu kubalini makosa. Lakini mkiendelea kuficha moto ndani kwa tamaa za madaraka, ipo siku hii ichi…


BREAKFAST reposted

Tunzeni hii

Mlochukua nchi mko wapi?😆😆 Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan 💚💛

amina_hafidh's tweet image. Mlochukua nchi mko wapi?😆😆

Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan 💚💛


BREAKFAST reposted

TAARIFA MUHIMU Serikali inaendelea kutoa miili ya wapendwa wetu waliouwawa na Vikosi vya Samia Mahospitalini na kwenda kuwazika kwenye Makaburi ya pamoja. Watanganyika pigeni kelele kuzuia uhalifu huu, Samia ameua vijana wetu basi atupe haki ya kuhifadhi Miili yao kwa heshima.

JohnNgutiCDM's tweet image. TAARIFA MUHIMU

Serikali inaendelea kutoa miili ya wapendwa wetu waliouwawa na Vikosi vya Samia Mahospitalini na kwenda kuwazika kwenye Makaburi ya pamoja.

Watanganyika pigeni kelele kuzuia uhalifu huu, Samia ameua vijana wetu basi atupe haki ya kuhifadhi Miili yao kwa heshima.

BREAKFAST reposted

Hivi mnaotetea ushenzi wa @SuluhuSamia mmengalia hizi video kweli mkaona alichokifanya?🤔🤔

EduTalkTz's tweet image. Hivi mnaotetea ushenzi wa @SuluhuSamia mmengalia hizi video kweli mkaona alichokifanya?🤔🤔

BREAKFAST reposted

Mambo ya "YUKREINI & RASHIA" huwa wanaitwa Wachambuzi ili kuyachambua kinaga ubaga. Ila yanayoendelea Nchini mwao sasa😥 wanageuka VIZIWI kwa VIPOFU VYOMBO VYA HABARI VIMEBAKWA VYOMBO VYA HABARI VIMEBAKWA VYOMBO VYA HABARI VIMEBAKWA VYOMBO VYA HABARI VIMEBAKWA 💔💔


Safu ya ulinzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Hamza Said Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi leo, imesema Bw. Johari ataapishwa keshokutwa Jumatano Novemba 5 saa nne asubuhi katika Ikulu ya…

mshambuliaji's tweet image. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Hamza Said Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi leo, imesema Bw. Johari ataapishwa keshokutwa Jumatano Novemba 5 saa nne asubuhi katika Ikulu ya…


BREAKFAST reposted

Samia Suluhu Hassan is NOT my President. RT if you agree.


Sijui wanaogopa nini

Kwasasa JWTZ watakuwa wanajiona WASALITI sana kwa watanzania.



Bado najiuliza Vifo vyote hivi na udanganyifu huu ni kwa ajiri ya kumlinda Mtu mmoja. Hongera zako wewe ulindwaye kwa damu


United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.