Witnesswitcom1's profile picture. Simpilicity is Key๐Ÿ˜

[email protected]

@Witnesswitcom1

Simpilicity is Key๐Ÿ˜

It's Furahi Day Vibe at EB25...... Free Entrance,Free parking and Door Opens at 6pm๐Ÿ’ช


Kama bado huwezi kujitosheleza kifedha epuka sana kuwa na mtoto. Ukiweza kujitosheleza kifedha, kuwa makini sn unapochagua baba/mama wa mtoto wenu. Ushauri gani wa maisha unaweza kumpa kijana anayeingia rasmi kwenye ulimwengu wa kujitegemea?


Kama unaamini kuwa @kigogo2014 ndiye mwanaharakati bora na mwenye ushawishi mkubwa fanya Ku-Retweet ๐Ÿ” mpaka imfikie ili tuendelee kuwa pamoja ๐Ÿ™๐Ÿ’ช

DrDaxtonMirell's tweet image. Kama unaamini kuwa @kigogo2014 ndiye mwanaharakati bora na mwenye ushawishi mkubwa fanya Ku-Retweet ๐Ÿ” mpaka imfikie ili tuendelee kuwa pamoja ๐Ÿ™๐Ÿ’ช
DrDaxtonMirell's tweet image. Kama unaamini kuwa @kigogo2014 ndiye mwanaharakati bora na mwenye ushawishi mkubwa fanya Ku-Retweet ๐Ÿ” mpaka imfikie ili tuendelee kuwa pamoja ๐Ÿ™๐Ÿ’ช

habari kutoka Arusha na Kilimanjaro zinatisha. Familia nzima zinaambukizwa na kifo kimoja kinafuata kingine. Lakini watu bado hawaelewi. @wizara_afyatz Tanzania, kwa nini hakuna kampeni kabambe kuhusu suala hili. Delta huambukiza zaidi, na huwa kali zaidi.


Pigaaaa mbwaaaaa haaao ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ


Kwa hiyo ukimuona Rais yuko eneo la umma na walinzi waliomzunguka baadhi yao wana mabegi mkononi, basi ujue sio document zile walizobeba. Ile ni sehemu ya mkakati wa dharura wa 'extraction' kama ikitokea Rais anashambuliwa. Kindly Retweet Habibu B. Anga To Infinity and Beyond


Seth na Rugemalila watakula pasaka wiki ijayo wakiwa nyumbani !๐Ÿ™๐Ÿผ๐Ÿ™๐Ÿผ๐Ÿ™๐Ÿผ


Tunatamani sana kama vijana tupambane kivyetu bila kuipigia kelele serikali but kila kwenye mapambano yetu kikwazo inakuwa ni serikali,kodi nyingi,sheria za ajabu ajabu sasa tutatoboaje #VijanaKwanza


Tuseme asante Mungu kwa kutuamsha salama tena leo. Twende sasa tukatafute mkate wetu wa kila siku wanyonge wenzangu,na leo ikawe siku yetu tofauti Allah akajaalie Inshaallah ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

hancymachemba's tweet image. Tuseme asante Mungu kwa kutuamsha salama tena leo. Twende sasa tukatafute mkate wetu wa kila siku wanyonge wenzangu,na leo ikawe siku yetu tofauti Allah akajaalie Inshaallah ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

๐Ÿ”ญ WATANZANIA WENZANGU.. ๐Ÿ‘๏ธ Tunafaa Kuangazia yanayoendelea UGANDA na Kwingineko Ulimwenguni Kwa Kujifunza Namna BORA Kama Hii ya Kupigania HAKI Zetu. HATUPASWI Kuyatazama Matukio Haya kwa HOFU na WOGA~Bali Kwa UJASIRI MKUBWA Haswa!!๐Ÿ’ช Retweet ๐Ÿ”ƒ Kama Unaunga Mkono Ujumbe Huu.


Matokeo yangu niliyokusanya Jimbo la Kigoma Mjini yanaonyesha kuwa nimeshinda Ubunge kwa kura 5218 licha ya maelfu ya Kura bandia. Lakini HAWATANITANGAZA! Wananchi wa Kigoma watakachoamua ndicho nitakachofuata


RT kama unaichukia CCM.


KURA ZA URAIS ZANZIBAR Jimbo la Mkoani Mwinyi -3,914 Maalim Seif -7,893


Mawakala wote Jimbo la Pangani wametolewa vituoni wakati wa kuhesabu kura. Mabomu yanapigwa muda hu na maboksi yanaingizwa vituoni.Uhalifu huu dhidi ya Haki ya Watanzania na Ukiukwaji mkubwa na taratibu za uchaguzi HAUKUBALIKI Wananchi mna Haki ya kuupinga kwa nguvu zote.


siku ya uchaguzi ni siku takatifu ya upigaji piga foleni piga Kura piga rangi kidole piga picha lakini siyo piga kampeni piga rafu piga watu piga risasi


Praying for my people in Zanzibar & Tanzania ๐Ÿ™๐Ÿพ And the families of the people who have been affected by the terrible loss of lives.


Natoa wito kwa Wazanzibari kesho tujitokezeni kwa wingi vituoni kupiga kura. Ushindi ni wetu pamoja na vituko vyote walivyofanya - @SeifSharifHamad

hassankham1s's tweet image. Natoa wito kwa Wazanzibari kesho tujitokezeni kwa wingi vituoni kupiga kura. Ushindi ni wetu pamoja na vituko vyote walivyofanya - @SeifSharifHamad
hassankham1s's tweet image. Natoa wito kwa Wazanzibari kesho tujitokezeni kwa wingi vituoni kupiga kura. Ushindi ni wetu pamoja na vituko vyote walivyofanya - @SeifSharifHamad
hassankham1s's tweet image. Natoa wito kwa Wazanzibari kesho tujitokezeni kwa wingi vituoni kupiga kura. Ushindi ni wetu pamoja na vituko vyote walivyofanya - @SeifSharifHamad
hassankham1s's tweet image. Natoa wito kwa Wazanzibari kesho tujitokezeni kwa wingi vituoni kupiga kura. Ushindi ni wetu pamoja na vituko vyote walivyofanya - @SeifSharifHamad

Unaua binadamu mwenzako ili uendelee kutawala milele, ni aibu kubwa sana yaani


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.