jacobolaizer's profile picture. Absolutely || @SimbaSCTanzania  @realmadrid & @LFC || Activist of my life.

+255 🇹🇿

@jacobolaizer

Absolutely || @SimbaSCTanzania @realmadrid & @LFC || Activist of my life.

Pinned

Degree is just a piece of paper, Real education is seen in Behavior.


+255 🇹🇿 reposted

Naam hoja ijibiwe kwa hoja, Larry Modowo anasema walicho kiandika kuhusu Tanzania wanaweza kukithibitisha.

ze_mandevu's tweet image. Naam hoja ijibiwe kwa hoja, Larry Modowo anasema walicho kiandika kuhusu Tanzania wanaweza kukithibitisha.

Imagine my country 💔

jacobolaizer's tweet image. Imagine my country 💔

Statement kama hii ilitakiwa itolewe na chama tawala chenye ridhaa ya kimchongo wa kulinda uhai wa wananchi wake... Ila badala yake page ya chama kinabaki kuimba pambio za MAMA yupo kazini🤔

TAARIFA KWA UMMA

ChademaTZ2's tweet image. TAARIFA KWA UMMA


+255 🇹🇿 reposted

TAARIFA KWA UMMA

ChademaTZ2's tweet image. TAARIFA KWA UMMA

+255 🇹🇿 reposted

Actives, gather here let's follow ourselves😭


+255 🇹🇿 reposted

We Gain by Following Each Other🫂


+255 🇹🇿 reposted

Drop your handles now we follow you 📸


+255 🇹🇿 reposted

“Mama analia amesikitika sana, hakujua mauaji yalikuwa makubwa hivi” Boo frigging HOO! Hii narrative mpya hamuwezi kutuuzia ninyi 🚮 Jibuni kwanza: 👉🏽 Alipojiapiisha military base ya Ngerengere alikuwa hajasikitika bado? 👉🏽 Tulipokuwa tunapost hapa video na picha alikuwa…

MariaSTsehai's tweet image. “Mama analia amesikitika sana, hakujua mauaji yalikuwa makubwa hivi”
Boo frigging HOO!
Hii narrative mpya hamuwezi kutuuzia ninyi 🚮
Jibuni kwanza: 
👉🏽 Alipojiapiisha military base ya Ngerengere alikuwa hajasikitika bado?
👉🏽 Tulipokuwa tunapost hapa video na picha alikuwa…

+255 🇹🇿 reposted

No account should have less than 20k followers Drop handles 📸


+255 🇹🇿 reposted

Man at work

mj0058's tweet image. Man at work

Nifungue parody nimwombe @Wakazi radhi ani-unblock... Jamaa nondo zake zinanipita🔥


+255 🇹🇿 reposted

Tundu Lissu alipinga MASHAHIDI WA SIRI kwenye kesi yake ya UHAINI—serikali ikasimamia kuwepo kwa MASHAHIDI WA SIRI na ikapitisha. Leo CNN wanae NESI ameomba Taarifa zake binafsi zisitolewe (SHAHIDI WA SIRI) GIRISHONI kupitia serikali mnakuja kukebehi ufanisi wa CNN kuwepo kwa…


+255 🇹🇿 reposted

Aljazeera waliwaalika. Jama wakachimba. Of course, Girishoni Msigwa hana intellectual bandwidth ya ku engage kwenye mijadala muhimu. Swaaleko, watumishi wenzangu! Endeleeni kupuliza upepo. Mzigo wa kuku uko wazi!

TitoMagoti's tweet image. Aljazeera waliwaalika. Jama wakachimba. Of course, Girishoni Msigwa hana intellectual bandwidth ya ku engage kwenye mijadala muhimu. Swaaleko, watumishi wenzangu! Endeleeni kupuliza upepo. Mzigo wa kuku uko wazi!

+255 🇹🇿 reposted

Katika maelezo yote aliyotoa Gerson Msigwa leo hakuna mahali amesema kwamba CNN wamesema uongo ila anacholalamika ni kwamba kwanini wamerusha maana wao walitaka iwe siri Dunia isijue kuwa Idd Amin Mama ameuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi kwa risasi.


+255 🇹🇿 reposted

Hatimae Serikali ya Tanzania imeomba kutendewa HAKI NA CNN. Kumbe HAKI ni ya muhimu kuliko AMANI.


Hivi kuna uhusiano wa mtu kua shabiki wa Yanga na kua kilaza?

Kete ya Udini ilianza kuwapushed na Hao Wanaharakati wenu, hao ndio walikuja hapa hadi kukashifu viongozi wa dini A hawana Elimu compared to Viongozi wa dini B, leo ile Kete imefika ‘King’ waaharakati Uchwara haohao wanaanzisha Propaganda za kidwanzi, Mnashare Video Mchungaji…



+255 🇹🇿 reposted

MC PILIPILI imethibitishwa kwamba aliuwawa kwa kupigwa, kuteswa na kuuwawa. Nani alimteka na kumuua? Haijawekwa wazi. Wasanii wapumbavu wamekwenda Dodoma kujiliza kiwaki, lakini hawasemi waliomuua wakamatwe. Wasanii wapumbavu wameshindwa hata kukemea utekaji. Kitu gani wanaweza?


+255 🇹🇿 reposted
JohnNgutiCDM's tweet image.

+255 🇹🇿 reposted

Kama unasema kwamba vijana walilipwa kuandamana, unajua kwamba hao vijana walitoka Nchi jirani. Unaunda hiyo inayoitwa tume ikafanye nini? Yaani unataka ikachunguze nini wakati wewe tayari unajua na unasema kwa uwazi? Uelewa wa Watanzania wa sasa ni mkubwa sana. Haya mambo…


+255 🇹🇿 reposted

Mumepumusika? Umbwa wako makaburi ya Kondo kufukua miili muda huu. Ugly!!


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.