johnpmbozu's profile picture. Researcher|
Mjamaa|
Eagle|
Lawyer|

John Patrick Mbozu

@johnpmbozu

Researcher| Mjamaa| Eagle| Lawyer|

John Patrick Mbozu أعاد

Hali ya upatikanaji wa Maji imeendelea kuwa kilio kikuvwa Kwa wananchi wanaoishi vijijini ,hayo ndiyo maisha ya wapiga kura wetu,mliofika kuwaomba kura ,maji yasiye mtego Kwa wapiga kura,wananchi wanahitaji huduma ya maji safi na salama.Hawahitaji rushwa ya maji.

CornelySinta's tweet image. Hali ya upatikanaji wa Maji imeendelea kuwa kilio kikuvwa Kwa wananchi wanaoishi vijijini ,hayo ndiyo maisha ya wapiga kura wetu,mliofika kuwaomba kura ,maji yasiye mtego Kwa wapiga kura,wananchi wanahitaji huduma ya maji safi na salama.Hawahitaji rushwa ya maji.
CornelySinta's tweet image. Hali ya upatikanaji wa Maji imeendelea kuwa kilio kikuvwa Kwa wananchi wanaoishi vijijini ,hayo ndiyo maisha ya wapiga kura wetu,mliofika kuwaomba kura ,maji yasiye mtego Kwa wapiga kura,wananchi wanahitaji huduma ya maji safi na salama.Hawahitaji rushwa ya maji.
CornelySinta's tweet image. Hali ya upatikanaji wa Maji imeendelea kuwa kilio kikuvwa Kwa wananchi wanaoishi vijijini ,hayo ndiyo maisha ya wapiga kura wetu,mliofika kuwaomba kura ,maji yasiye mtego Kwa wapiga kura,wananchi wanahitaji huduma ya maji safi na salama.Hawahitaji rushwa ya maji.
CornelySinta's tweet image. Hali ya upatikanaji wa Maji imeendelea kuwa kilio kikuvwa Kwa wananchi wanaoishi vijijini ,hayo ndiyo maisha ya wapiga kura wetu,mliofika kuwaomba kura ,maji yasiye mtego Kwa wapiga kura,wananchi wanahitaji huduma ya maji safi na salama.Hawahitaji rushwa ya maji.

John Patrick Mbozu أعاد

"Serikali itoe taarifa kuhusu hali ya usalama ya Wanajeshi wa Tanzania waliopo DRC." Waziri Kivuli wa Ulinzi na JKT @johnpmbozu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote @ACTwazalendo

Mwanaishamndeme's tweet image. "Serikali itoe taarifa kuhusu hali ya usalama ya Wanajeshi wa Tanzania waliopo DRC."

Waziri Kivuli wa Ulinzi na JKT
@johnpmbozu

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
@ACTwazalendo

"Serikali itoe taarifa kuhusu hali ya usalama ya Wanajeshi wa Tanzania waliopo DRC." Waziri Kivuli wa Ulinzi na JKT @johnpmbozu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote @ACTwazalendo

johnpmbozu's tweet image. "Serikali itoe taarifa kuhusu hali ya usalama ya Wanajeshi wa Tanzania waliopo DRC."

Waziri Kivuli wa Ulinzi na JKT
@johnpmbozu

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
@ACTwazalendo

John Patrick Mbozu أعاد

Hata taa zikizima kama una #eeZeeNoodles hapo mlimani wala huna shida. Utashiba

zittokabwe's tweet image. Hata taa zikizima kama una #eeZeeNoodles hapo mlimani wala huna shida. Utashiba
zittokabwe's tweet image. Hata taa zikizima kama una #eeZeeNoodles hapo mlimani wala huna shida. Utashiba

John Patrick Mbozu أعاد

Mnaokusanyika hapo Mlimani City wala msihangaike, ukiwa na thermos lako la maji ya moto ni mara moja una msosi ili usiondoke eneo la tukio na kulinda kura yako. Beba #eeZeeNoodles uwe na nguvu ya kutosha ya kulinda ushindi wako. Wenzenu Dodoma wamezila sana mambo yao mswanooo😂

zittokabwe's tweet image. Mnaokusanyika hapo Mlimani City wala msihangaike, ukiwa na thermos lako la maji ya moto ni mara moja una msosi ili usiondoke eneo la tukio na kulinda kura yako. Beba #eeZeeNoodles uwe na nguvu ya kutosha ya kulinda ushindi wako. 

Wenzenu Dodoma wamezila sana mambo yao mswanooo😂
zittokabwe's tweet image. Mnaokusanyika hapo Mlimani City wala msihangaike, ukiwa na thermos lako la maji ya moto ni mara moja una msosi ili usiondoke eneo la tukio na kulinda kura yako. Beba #eeZeeNoodles uwe na nguvu ya kutosha ya kulinda ushindi wako. 

Wenzenu Dodoma wamezila sana mambo yao mswanooo😂

John Patrick Mbozu أعاد

No power? No problem! With eeZee noodles, you’ll always have a quick and satisfying meal ready. #eeZeeNoodles #NiZee #Quick #Tasty

javafoods's tweet image. No power? No problem! With eeZee noodles, you’ll always have a quick and satisfying meal ready.
#eeZeeNoodles #NiZee #Quick #Tasty

John Patrick Mbozu أعاد

Unaweza kuwa mpishi wako mwenyewe na #eeZeeNoodles

zittokabwe's tweet image. Unaweza kuwa mpishi wako mwenyewe na #eeZeeNoodles

John Patrick Mbozu أعاد

Habari ya Mjini ni hii. Support local content BUY #eeZeeNoodles

CarolNdosi's tweet image. Habari ya Mjini ni hii. Support local content 

BUY #eeZeeNoodles

John Patrick Mbozu أعاد

Tambi bora ujawai ona , zinapatikana maduka yote ya shoppers plaza Usipange kukukosa

CatherineMluta's tweet image. Tambi bora ujawai ona , zinapatikana maduka yote ya shoppers plaza 
Usipange kukukosa

John Patrick Mbozu أعاد

Kwa maelekezo ya Chama Katibu Mkuu, @AdoShaibu alitangazia wanachama na Umma wa Tanzania kwamba wenye nia ya kugombea milango iko wazi Leo 16 Januari, 2025 rasmi @SemuDorothy ametangaza nia ya Kugombea nafasi ya Urais hakika uwezo wake hauna mashaka anaweza.

Ndolezi_Petro's tweet image. Kwa maelekezo ya Chama Katibu Mkuu, @AdoShaibu alitangazia wanachama na Umma wa Tanzania kwamba wenye nia ya kugombea milango iko wazi 

Leo 16 Januari, 2025  rasmi @SemuDorothy ametangaza nia ya Kugombea nafasi ya Urais hakika uwezo wake hauna mashaka anaweza.

John Patrick Mbozu أعاد

Leo nimetia nia katika Chama changu @ACTwazalendo ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Muungano katika Uchaguzi Mkuu 2025. #Mabadilikonisasa

SemuDorothy's tweet image. Leo nimetia nia katika  Chama changu @ACTwazalendo ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Muungano katika Uchaguzi Mkuu 2025.
#Mabadilikonisasa

John Patrick Mbozu أعاد

KC @SemuDorothy ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #MabadilikoNiSasa #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

ACTwazalendo's tweet image. KC @SemuDorothy ametangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

#MabadilikoNiSasa
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote

John Patrick Mbozu أعاد

Ni Dorothy

zittokabwe's tweet image. Ni Dorothy

John Patrick Mbozu أعاد

Kampuni ya Mirumbani Foods ambayo ni Kampuni tanzu ya Kundi la Makampuni @mirumbani inakuletea bidhaa mpya sokoni #eeZeeNoodles. Ni nzuri, zenye ladha na rahisi kupika. Ni instant. Hii ni biashara yangu, niunge mkono!

zittokabwe's tweet image. Kampuni ya Mirumbani Foods ambayo ni Kampuni tanzu ya Kundi la Makampuni @mirumbani inakuletea bidhaa mpya sokoni #eeZeeNoodles. Ni nzuri, zenye ladha na rahisi kupika. Ni instant. Hii ni biashara yangu, niunge mkono!
zittokabwe's tweet image. Kampuni ya Mirumbani Foods ambayo ni Kampuni tanzu ya Kundi la Makampuni @mirumbani inakuletea bidhaa mpya sokoni #eeZeeNoodles. Ni nzuri, zenye ladha na rahisi kupika. Ni instant. Hii ni biashara yangu, niunge mkono!
zittokabwe's tweet image. Kampuni ya Mirumbani Foods ambayo ni Kampuni tanzu ya Kundi la Makampuni @mirumbani inakuletea bidhaa mpya sokoni #eeZeeNoodles. Ni nzuri, zenye ladha na rahisi kupika. Ni instant. Hii ni biashara yangu, niunge mkono!

John Patrick Mbozu أعاد

I’m not ashamed to say Jesus Christ is my Lord and Savior. Amen if you’re not ashamed!


John Patrick Mbozu أعاد

Heri ya siku ya kuzaliwa Kiongozi Mstaafu wa @ACTwazalendo, Ndugu @zittokabwe. Wenzako katika chama tunakutakia maisha marefu, yenye afya na mafanikio.

ACTwazalendo's tweet image. Heri ya siku ya kuzaliwa Kiongozi Mstaafu wa @ACTwazalendo, Ndugu @zittokabwe. Wenzako katika chama tunakutakia maisha marefu, yenye afya na mafanikio.

John Patrick Mbozu أعاد

Updates: Halmashauri Kuu ya Chama cha @ACTwazalendo iliyokutana leo 25 Agosti, 2024 Dar es Salaam kwa madaraka iliyo nayo imethibitisha uteuzi wa Ndg. Ester Akoth Thomas kuwa Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) wa Chama. #Miezi10 #WanachamaMilioni10 #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

IsmailJussa's tweet image. Updates:

Halmashauri Kuu ya Chama cha @ACTwazalendo iliyokutana leo 25 Agosti, 2024 Dar es Salaam kwa madaraka iliyo nayo imethibitisha uteuzi wa Ndg. Ester Akoth Thomas kuwa Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara) wa Chama. 

#Miezi10 #WanachamaMilioni10
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote

John Patrick Mbozu أعاد

Nimefurahi sana na Uteuzi huu. Ni uthibitisho mwengine kuwa Chama changu cha @ACTwazalendo kinawaamini sana Vijana. Ni chama cha Vijana na Matumaini ya Vijana wa Tanzania. Hongereni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama na Hongereni Ndugu zangu @OMARALISHEHE2 na @Ester_Thomas1

omarshaaban80's tweet image. Nimefurahi sana na Uteuzi huu. Ni uthibitisho mwengine kuwa Chama changu cha @ACTwazalendo  kinawaamini sana Vijana. Ni chama cha Vijana na Matumaini ya Vijana wa Tanzania. Hongereni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama na Hongereni Ndugu zangu @OMARALISHEHE2 na @Ester_Thomas1…
omarshaaban80's tweet image. Nimefurahi sana na Uteuzi huu. Ni uthibitisho mwengine kuwa Chama changu cha @ACTwazalendo  kinawaamini sana Vijana. Ni chama cha Vijana na Matumaini ya Vijana wa Tanzania. Hongereni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama na Hongereni Ndugu zangu @OMARALISHEHE2 na @Ester_Thomas1…

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.