mabrison's profile picture. Procurement by Professional.

马布里森

@mabrison

Procurement by Professional.

You might like

Hivi kwanini wazee wa sasa wanafia mandarakan?.hawataki kustafu yani utamuona Wasira na wengine😡 sema wataniteka hawa acha nikae kima @Sirjeff_D @NkumbiJoram @Chahali @TunduALissu


马布里森 reposted

JIFUNZE Warning Lights za kwenye dashboard na Maana zake.. . Watu wengi wamekua wakiuliza baadhi ya warning Lights kwenye dashboard na maana zake.. . Hivyo basi tumeona ni nyema kuleta UZI utakaoelezea common signs za kwenye dashboard na maana zake.. . Kaa Vizuri Ule MADINI..

samatimemagari's tweet image. JIFUNZE Warning Lights za kwenye dashboard na Maana zake..
.
Watu wengi wamekua wakiuliza baadhi ya warning Lights kwenye dashboard na maana zake..
.
Hivyo basi tumeona ni nyema kuleta UZI utakaoelezea common signs za kwenye dashboard na maana zake..
.
Kaa Vizuri Ule MADINI..

马布里森 reposted

Ni kweli kabisa pamekucha na unaelekea kwenye michongo yako ya rizki, ila fahamu kuwa kwenye mapambano yako ukipewa kazi ya kusitisha rizki ya Mtu ogopa sana, ukipewa kazi kumwachisha Mtu kazi, ama ukipewa kazi kupendekeza Mtu flani aachishwe kazi basi ikwepe sana hiyo dhima,…

FKihamu's tweet image. Ni kweli kabisa pamekucha na unaelekea kwenye michongo yako ya rizki, ila fahamu kuwa kwenye mapambano yako ukipewa kazi ya kusitisha rizki ya Mtu ogopa sana, ukipewa kazi kumwachisha Mtu kazi, ama ukipewa kazi kupendekeza Mtu flani aachishwe kazi basi ikwepe sana hiyo dhima,…

马布里森 reposted

Tangu siku ya jana Mwl Mwakasege yupo Babati Mjini anamwaga zege. Yupo live kupitia UpendoTv, YouTube channel yake, website na radio washirika zaidi ya 30 Tz nzima. Mwambie na mwenzako.

KamigakikuMbise's tweet image. Tangu siku ya jana Mwl Mwakasege yupo Babati Mjini anamwaga zege.

Yupo live kupitia UpendoTv, YouTube channel yake, website na radio washirika zaidi ya 30 Tz nzima.

Mwambie na mwenzako.

马布里森 reposted

📌📌


Kiongozi definition.


马布里森 reposted

12/16 Kingine muhimu; Finland wanatumia lugha yao ya kiFinnish kufundishia; lugha inayozungumzwa na wananchi wengi nchini mwao. Hii imesaidia kufundisha lugha za kigeni kwa ufanisi na kumfanya mwanafunzi wa kawaida Finland kuweza kuongea lugha za kimataifa zaidi ya tatu.


Kwahiyo @airtel_tanzania siku hizi huwezi piga simu haijalishi una damika wala kifurushi na ukifanikiwa mawasiliano ni hafifu sana kana kwamba inabidi ukate na kumtafuta mtu mara 10 zaidi tena?


马布里森 reposted

Retweet Kwa Inonga, Like Kwa mayele

WisemanNtele's tweet image. Retweet Kwa Inonga, Like Kwa mayele

马布里森 reposted

You don’t get stronger by taking the easy way out. You grow when you do things you don’t like, the right thing when no one is watching.


马布里森 reposted

1. “Goodbyes are only for those who love with their eyes. Because for those who love with heart and soul there is no such thing as separation." – Rumi


Hivi kwanini wimbo wa mama Amina @Mario kiitikio huwa ni sauti za ke tu ndo zina nguvu...najiuliza nani huwa anamtukana mwenzie


马布里森 reposted

Nipsey Hussle once said: "No material possessions could ever measure what my soul's worth."


马布里森 reposted

"Don’t cry because it’s over. Smile because it happened." - Dr Seuss


马布里森 reposted

"If you correct your mind, the rest of your life will fall into place." - Lao Tzu


马布里森 reposted

"Don’t waste your time with explanations, people only hear what they want to hear." - Paulo Coelho


马布里森 reposted

"Haters don't really hate you. They hate themselves, because you're a reflection of what they wish to be." | Paulo Coelho


马布里森 reposted

"When you love someone, you love the person as they are, and not as you'd like them to be." | Leo Tolstoy


"State will never be happy until rulers become philosophers or philosophers become rulers" Marcus


马布里森 reposted

Binti mmoja alikuwa akiendesha gari akiwa na baba yake. Wakiwa njiani ghafla mvua kubwa ikaanza kunyesha na kuleta tufani, yule binti akamuuliza baba yake, "Nifanyeje?" Baba yake akamwambia "endelea kuendesha".......✍🏼

Defi_CZAR's tweet image. Binti mmoja alikuwa akiendesha gari akiwa na baba yake. Wakiwa njiani ghafla mvua kubwa ikaanza kunyesha na kuleta tufani, yule binti akamuuliza baba yake, "Nifanyeje?"
Baba yake akamwambia "endelea kuendesha".......✍🏼

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.