manshebe's profile picture. dream chaser

Mchanja Kuni

@manshebe

dream chaser

Mchanja Kuni reposted

Khaligraph akitoa hiyo diss yake kwa wasanii wa Tz nipeni lisaa limoja tu nimjibu na hii itafunga kazi kabisa. Naombeni Retweets 100 nijiandae niende studio kwa hiyo shughuli. #KaliSioJonesOutonYoutubeNow


Mchanja Kuni reposted

Familia nisaidieni kupata Rt niweze kumzawadia mpenzi wangu Tillah kwenye shughuli zake za uandishi wa habari aweze kupata Video za Quality. @TecnomobileTZ #CAMON20ikoplenty

Kumekucha! Retweet Challenge 🔔 Wakwanza kufikisha retweets 1,500 atakua amejishindia CAMON 20 kutoka kwetu 1. Kumbuka kuweka #CAMON20ikoplenty 2. Follow page yetu na Tag @TecnomobileTZ 3. Andika ujumbe mfupi wa ushawishi katika kuipata CAMON 20 Soma vigezo na masharti 👇👇

TecnomobileTZ's tweet image. Kumekucha! Retweet Challenge 🔔

Wakwanza kufikisha retweets 1,500 atakua amejishindia CAMON 20 kutoka kwetu

1. Kumbuka kuweka #CAMON20ikoplenty
2. Follow page yetu na Tag @TecnomobileTZ 
3. Andika ujumbe mfupi wa ushawishi katika kuipata CAMON 20

Soma vigezo na masharti 👇👇


Mchanja Kuni reposted

Habari, nauza dagaa wa Mwanza wa.me/message/S7GORF… 📞 0759855572 Debe 90,000 Nusu debe 45,000 Sado 25,000 Nusu sado 13,000 Fulu 25,000 kisado Dagaa kavu 9,000 kisado SAMAKI zipo kwanzia 4,500 Napatikana Mwanza na Kahama lakini pia natuma popote ulipo Tanzania.

amprincess9's tweet image. Habari, nauza dagaa wa Mwanza
wa.me/message/S7GORF…
📞 0759855572

Debe 90,000
Nusu debe 45,000
Sado 25,000
Nusu sado 13,000

Fulu 25,000 kisado
Dagaa kavu 9,000 kisado
SAMAKI zipo kwanzia 4,500

Napatikana Mwanza na Kahama lakini pia natuma popote ulipo Tanzania.
amprincess9's tweet image. Habari, nauza dagaa wa Mwanza
wa.me/message/S7GORF…
📞 0759855572

Debe 90,000
Nusu debe 45,000
Sado 25,000
Nusu sado 13,000

Fulu 25,000 kisado
Dagaa kavu 9,000 kisado
SAMAKI zipo kwanzia 4,500

Napatikana Mwanza na Kahama lakini pia natuma popote ulipo Tanzania.
amprincess9's tweet image. Habari, nauza dagaa wa Mwanza
wa.me/message/S7GORF…
📞 0759855572

Debe 90,000
Nusu debe 45,000
Sado 25,000
Nusu sado 13,000

Fulu 25,000 kisado
Dagaa kavu 9,000 kisado
SAMAKI zipo kwanzia 4,500

Napatikana Mwanza na Kahama lakini pia natuma popote ulipo Tanzania.

Mchanja Kuni reposted

Leo nimekuletea BiasharaGPT, KilimoGPT MahabaGPT na zingine 7+ BURE kabisa... Na zinatumia lugha ya KISWAHILI. Baada ya masaa 24 nitaanza kuziuza hivyo wahi mapema hii sadakalawe🎉🎉🎉

innosgram's tweet image. Leo nimekuletea BiasharaGPT, KilimoGPT MahabaGPT na zingine 7+ BURE kabisa...
Na zinatumia lugha ya KISWAHILI.
Baada ya masaa 24 nitaanza kuziuza hivyo wahi mapema hii sadakalawe🎉🎉🎉

Mchanja Kuni reposted

Make this picture the most liked and retweeted tweet on Twitter! Let's go wananchi THE CLUB ABOVE ALL🔰 @YangaEnglish

KateNduta_'s tweet image. Make this picture the most liked and retweeted tweet on Twitter! Let's go wananchi

THE CLUB ABOVE ALL🔰 @YangaEnglish

Mchanja Kuni reposted

2 years ago I said: "I feel like SA don't stand a chance/ Nigeria? Let em Dance/ . NAIJA FANS STILL HURT? SAYING TANZANIA HAS NO RAPPERS?? Well Damn, Tell @Hennessy do a Cypher with @mex_tz @onetheincredibl @barcitybaby @Wakazi and see if your GOATS won't retire the next day!😆


Mchanja Kuni reposted

KIPARA JIHESHIMU

Sativa255's tweet image. KIPARA JIHESHIMU

Mchanja Kuni reposted

Nikiweka UYANGA pembeni kwa muda, katika miaka mitano ya nyuma ya ligi kuu Tanzania bara hakuna Kocha aliemzidi Profesa nabi uwezo aise. Tubishane kwa hoja.

Sativa255's tweet image. Nikiweka UYANGA pembeni kwa muda, katika miaka mitano ya nyuma ya ligi kuu Tanzania bara hakuna Kocha aliemzidi Profesa nabi uwezo aise. Tubishane kwa hoja.
Sativa255's tweet image. Nikiweka UYANGA pembeni kwa muda, katika miaka mitano ya nyuma ya ligi kuu Tanzania bara hakuna Kocha aliemzidi Profesa nabi uwezo aise. Tubishane kwa hoja.

Mchanja Kuni reposted

NAOMBENI MSAPORT NISHINDE HII CHALANGE RETWEET KWA NG'OMBE LIKE KWA NICK

Muungano_Online's tweet image. NAOMBENI MSAPORT NISHINDE HII CHALANGE

RETWEET KWA NG'OMBE LIKE KWA NICK
Muungano_Online's tweet image. NAOMBENI MSAPORT NISHINDE HII CHALANGE

RETWEET KWA NG'OMBE LIKE KWA NICK

Mchanja Kuni reposted

Lishangazi 🌚40 something

angelbellerin02's tweet image. Lishangazi 🌚40 something

Mchanja Kuni reposted

😂😂🤝mjomba ni mama

Sas kulia nikatafute Nini😂



Mchanja Kuni reposted

Thread ya Funjo na MMM wakiuana vikali 😂😂😂 #WednesdayVAR Thread ya kwanza 1.1

spana_Konki's tweet image. Thread ya Funjo na MMM wakiuana vikali 😂😂😂 #WednesdayVAR Thread ya kwanza 1.1
spana_Konki's tweet image. Thread ya Funjo na MMM wakiuana vikali 😂😂😂 #WednesdayVAR Thread ya kwanza 1.1
spana_Konki's tweet image. Thread ya Funjo na MMM wakiuana vikali 😂😂😂 #WednesdayVAR Thread ya kwanza 1.1
spana_Konki's tweet image. Thread ya Funjo na MMM wakiuana vikali 😂😂😂 #WednesdayVAR Thread ya kwanza 1.1

Mchanja Kuni reposted

Labda niku follow back nilikuwa sijaona


Mchanja Kuni reposted

USHOGA ni DHAMBI.


Mchanja Kuni reposted

Wimbo wa taifa una shida gani tena?! Na hao ni wataalamu wa kitu gani mbona wamekaa kama madalali wa mazao.


Mchanja Kuni reposted

Wauza M A D U K A hii Nywila inatuokoa sana.😁🤝

Sativa255's tweet image. Wauza M A D U K A hii Nywila inatuokoa sana.😁🤝

Mchanja Kuni reposted

Jifunze kupenda na kukiheshimu ulichonacho kabla ya maisha hayajakufunza kupenda ulicho kipoteza..


Mchanja Kuni reposted

Kutana na INONGA beki aliemzuia Mayele akafungwa na MASAWE 😂

Sativa255's tweet image. Kutana na INONGA beki aliemzuia Mayele akafungwa na MASAWE 😂

Mchanja Kuni reposted

Unapambana usifungwe na MAYELE halafu unaruhusu kufungwa na MASAWE!


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.