ngalapi's profile picture. Chief Communication manager - TAMWA Zanzibar . 
Freelance Journalist and Gender activist, Facilitator in Gender and Safely for female journalists and Mentor.

Binti NGALAPI

@ngalapi

Chief Communication manager - TAMWA Zanzibar . Freelance Journalist and Gender activist, Facilitator in Gender and Safely for female journalists and Mentor.

Hello marafiki💜💜💜💜


Tukiwa tunakumbuka miaka 26 tangu aondoke Baba wa Taifa. Nakushauri Nonekana tofauti kwa kutumia vipochi hivi vizuri na unique @Imaniluvanga @MarekaMalili

ngalapi's tweet image. Tukiwa tunakumbuka miaka 26 tangu aondoke  Baba wa Taifa. Nakushauri Nonekana tofauti  kwa kutumia vipochi hivi vizuri na unique @Imaniluvanga @MarekaMalili

Binti NGALAPI reposted

Kumpa mwanamke nafasi ya kumiliki ardhi ni hatua ya kuleta maendeleo na usawa wa kijinsia katika jamii. Muwezeshe mwanamke Leo, ulete mabadiliko kesho. #mwanamkenikiongozi #mwanamkenatabianchi

TAMWA_Zanzibar's tweet image. Kumpa mwanamke nafasi ya kumiliki ardhi ni hatua ya kuleta maendeleo na usawa wa kijinsia katika jamii.

Muwezeshe mwanamke Leo, ulete mabadiliko kesho.
#mwanamkenikiongozi
#mwanamkenatabianchi

Kila watu na utamaduni wao


Binti NGALAPI reposted

Ni Jumatatu nyengine ✨ Leo Dr. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ anashiriki na kuwa miongoni mwa wazungumzaji katika Mkutano wa 5 wa Jukwaa la Uongozi wa Wanawake (Women’s Leadership Forum) ulioandaliwa na @uongozi_institute jijini Dar es Salam. Ushiriki wa Dkt. Mzuri ni…

TAMWA_Zanzibar's tweet image. Ni Jumatatu nyengine ✨

Leo Dr. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ anashiriki na kuwa miongoni mwa wazungumzaji katika Mkutano wa 5 wa Jukwaa la Uongozi wa Wanawake (Women’s Leadership Forum) ulioandaliwa na @uongozi_institute jijini Dar es Salam.

Ushiriki wa Dkt. Mzuri ni…

Binti NGALAPI reposted

Siku ya Haki ya Kujua Duniani, izingatiwe vyema kuelekea uchaguzi 2025 #UhuruWaHabariZanzibar @TAMWA_Zanzibar @MarekaMalili @NajjatOmar @ngalapi @TweveDevota

mzee_zaina5071's tweet image. Siku ya Haki ya Kujua Duniani, izingatiwe vyema kuelekea uchaguzi 2025 #UhuruWaHabariZanzibar @TAMWA_Zanzibar @MarekaMalili @NajjatOmar @ngalapi @TweveDevota
mzee_zaina5071's tweet image. Siku ya Haki ya Kujua Duniani, izingatiwe vyema kuelekea uchaguzi 2025 #UhuruWaHabariZanzibar @TAMWA_Zanzibar @MarekaMalili @NajjatOmar @ngalapi @TweveDevota

Binti NGALAPI reposted

Journalists inform, educate and entertain the public every day. But who is really caring for their safety? How do we make sure they feel safe at work, empowered in their independence, and resilient in the face of growing challenges?

Imaniluvanga's tweet image. Journalists inform, educate and entertain the public every day. But who is really caring for their safety? How do we make sure they feel safe at work, empowered in their independence, and resilient in the face of growing challenges?
Imaniluvanga's tweet image. Journalists inform, educate and entertain the public every day. But who is really caring for their safety? How do we make sure they feel safe at work, empowered in their independence, and resilient in the face of growing challenges?
Imaniluvanga's tweet image. Journalists inform, educate and entertain the public every day. But who is really caring for their safety? How do we make sure they feel safe at work, empowered in their independence, and resilient in the face of growing challenges?

Binti NGALAPI reposted

Unapomwomba Mungu akusaidie katika mapambano yako, usisahau kuiombea cycle yako Huenda kuna mmoja atakua daraja lako kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine kubwa au bora zaidi. Kuombeana kwa Mungu ni Bure. Na hili sio la kubaniana. #DIWIInsights

Imaniluvanga's tweet image. Unapomwomba Mungu akusaidie katika mapambano yako, usisahau kuiombea cycle yako Huenda kuna mmoja atakua daraja lako kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine kubwa au bora zaidi.

Kuombeana kwa Mungu ni Bure. Na hili sio la kubaniana.
#DIWIInsights

Binti NGALAPI reposted

Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL. Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,…

TAMWA_Zanzibar's tweet image. Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL.

Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL.

Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL.

Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL.

Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,…

All the best dears


Binti NGALAPI reposted

🤝 Leo tumepokea ugeni wa Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mh. Tone Tinnes pamoja na ujumbe wake. Ubalozi wa Norway ni washirika wakubwa wa Programu ya Kuimarisha Uongozi kwa Wanawake (SWIL), wametembelea kuona maendeleo ya programu na kukutana moja kwa moja na wanufaika wa…

TAMWA_Zanzibar's tweet image. 🤝 Leo tumepokea ugeni wa Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mh. Tone Tinnes pamoja na ujumbe wake. 

Ubalozi wa Norway ni  washirika wakubwa wa Programu ya Kuimarisha Uongozi kwa Wanawake (SWIL), wametembelea kuona maendeleo ya programu na kukutana moja kwa moja na wanufaika wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. 🤝 Leo tumepokea ugeni wa Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mh. Tone Tinnes pamoja na ujumbe wake. 

Ubalozi wa Norway ni  washirika wakubwa wa Programu ya Kuimarisha Uongozi kwa Wanawake (SWIL), wametembelea kuona maendeleo ya programu na kukutana moja kwa moja na wanufaika wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. 🤝 Leo tumepokea ugeni wa Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mh. Tone Tinnes pamoja na ujumbe wake. 

Ubalozi wa Norway ni  washirika wakubwa wa Programu ya Kuimarisha Uongozi kwa Wanawake (SWIL), wametembelea kuona maendeleo ya programu na kukutana moja kwa moja na wanufaika wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. 🤝 Leo tumepokea ugeni wa Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mh. Tone Tinnes pamoja na ujumbe wake. 

Ubalozi wa Norway ni  washirika wakubwa wa Programu ya Kuimarisha Uongozi kwa Wanawake (SWIL), wametembelea kuona maendeleo ya programu na kukutana moja kwa moja na wanufaika wa…

Binti NGALAPI reposted

TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na JUWAUZA, ZAFELA & PEGAO wanaendelea na mafunzo ya siku 3 kwa wanawake wagombea 56 wa Zanzibar kutoka vyama 18 vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 🗳️. Lengo: 💪 Kujiamini, kushinda changamoto & kuongeza ufanisi majukwaani. #mwanamkenikiongozi

TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na JUWAUZA, ZAFELA & PEGAO wanaendelea na mafunzo ya siku 3 kwa wanawake wagombea 56 wa Zanzibar kutoka vyama 18 vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 🗳️.

Lengo: 💪 Kujiamini, kushinda changamoto & kuongeza ufanisi majukwaani.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na JUWAUZA, ZAFELA & PEGAO wanaendelea na mafunzo ya siku 3 kwa wanawake wagombea 56 wa Zanzibar kutoka vyama 18 vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 🗳️.

Lengo: 💪 Kujiamini, kushinda changamoto & kuongeza ufanisi majukwaani.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na JUWAUZA, ZAFELA & PEGAO wanaendelea na mafunzo ya siku 3 kwa wanawake wagombea 56 wa Zanzibar kutoka vyama 18 vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 🗳️.

Lengo: 💪 Kujiamini, kushinda changamoto & kuongeza ufanisi majukwaani.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na JUWAUZA, ZAFELA & PEGAO wanaendelea na mafunzo ya siku 3 kwa wanawake wagombea 56 wa Zanzibar kutoka vyama 18 vya siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 🗳️.

Lengo: 💪 Kujiamini, kushinda changamoto & kuongeza ufanisi majukwaani.
#mwanamkenikiongozi

Binti NGALAPI reposted

"Tumeona umuhimu wa kuandaa mafunzo haya kwenu ambayo yatawasaidia kuwajengea uwezo wa kujiamini, kupambana na changamoto na kuongeza ufanisi katika kampeni", Saphia Ngalapi Meneja mawasiliano, TAMWA-ZNZ #MwanawakeNiKiongozi @TAMWA_Zanzibar @MarekaMalili @NajjatOmar @ngalapi

mzee_zaina5071's tweet image. "Tumeona umuhimu wa kuandaa mafunzo haya kwenu ambayo yatawasaidia kuwajengea uwezo wa kujiamini, kupambana na changamoto na kuongeza ufanisi katika kampeni", Saphia Ngalapi Meneja mawasiliano, TAMWA-ZNZ #MwanawakeNiKiongozi @TAMWA_Zanzibar @MarekaMalili @NajjatOmar @ngalapi

Binti NGALAPI reposted

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Binti NGALAPI reposted

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Pongezi kwa wanawake waliochukua fomu kugombea Urais na Umakamu wa Rais. #mwanamkenikiongozi

TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Pongezi kwa wanawake waliochukua fomu kugombea Urais na Umakamu wa Rais.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Pongezi kwa wanawake waliochukua fomu kugombea Urais na Umakamu wa Rais.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Pongezi kwa wanawake waliochukua fomu kugombea Urais na Umakamu wa Rais.
#mwanamkenikiongozi
TAMWA_Zanzibar's tweet image. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Pongezi kwa wanawake waliochukua fomu kugombea Urais na Umakamu wa Rais.
#mwanamkenikiongozi

Binti NGALAPI reposted

Leo, tarehe 5 Agosti 2025, TAMWA-ZNZ imeanza mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari 20 kutoka Unguja kuhusu ujumuishwaji na haki za watu wenye ulemavu. Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA-ZNZ zilizopo Tunguu – Unguja. Mafunzo haya ni sehemu ya utekelezaji wa…

TAMWA_Zanzibar's tweet image. Leo, tarehe 5 Agosti 2025, TAMWA-ZNZ imeanza mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari 20 kutoka Unguja kuhusu ujumuishwaji na haki za watu wenye ulemavu. Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA-ZNZ zilizopo Tunguu – Unguja.

Mafunzo haya ni sehemu ya utekelezaji wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Leo, tarehe 5 Agosti 2025, TAMWA-ZNZ imeanza mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari 20 kutoka Unguja kuhusu ujumuishwaji na haki za watu wenye ulemavu. Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA-ZNZ zilizopo Tunguu – Unguja.

Mafunzo haya ni sehemu ya utekelezaji wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Leo, tarehe 5 Agosti 2025, TAMWA-ZNZ imeanza mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari 20 kutoka Unguja kuhusu ujumuishwaji na haki za watu wenye ulemavu. Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA-ZNZ zilizopo Tunguu – Unguja.

Mafunzo haya ni sehemu ya utekelezaji wa…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Leo, tarehe 5 Agosti 2025, TAMWA-ZNZ imeanza mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari 20 kutoka Unguja kuhusu ujumuishwaji na haki za watu wenye ulemavu. Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA-ZNZ zilizopo Tunguu – Unguja.

Mafunzo haya ni sehemu ya utekelezaji wa…

Binti NGALAPI reposted

📢 Rushwa ya ngono si mzaha – ni ukatili. Ni kikwazo kwa wanawake wengi wenye ndoto za kuwa viongozi. Tuwapunguzie mzigo huu wanawake ili waweze kushiriki zaidi katika nafasi za uongozi. @norwayintz


Binti NGALAPI reposted

“Wamenisema sina pesa, wamenithibitishia jina langu likirudi nikawatie mikwaju mbele ya watoto zao, wengine wamesema watahama shehia", Asma Sadik. Haya ni baadhi ya maneno ya dharau anayokutana nayo Asma Sadik, mtia nia nafasi ya Uwakilishi kupitia CCM jimbo la Tunguu. Lakini…


Binti NGALAPI reposted

Waandishi wa habari 10 kutoka vyombo mbalimbali kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya uandishi wa habari zinazohusu wanawake, uongozi, na mabadiliko ya tabianchi. 📍 Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA Zanzibar zilizopo Mkanjuni. 🌱 Lengo ni kuwawezesha wanahabari…

TAMWA_Zanzibar's tweet image. Waandishi wa habari 10 kutoka vyombo mbalimbali kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya uandishi wa habari zinazohusu wanawake, uongozi, na mabadiliko ya tabianchi.
📍 Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA Zanzibar zilizopo Mkanjuni.
🌱 Lengo ni kuwawezesha wanahabari…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Waandishi wa habari 10 kutoka vyombo mbalimbali kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya uandishi wa habari zinazohusu wanawake, uongozi, na mabadiliko ya tabianchi.
📍 Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA Zanzibar zilizopo Mkanjuni.
🌱 Lengo ni kuwawezesha wanahabari…
TAMWA_Zanzibar's tweet image. Waandishi wa habari 10 kutoka vyombo mbalimbali kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya uandishi wa habari zinazohusu wanawake, uongozi, na mabadiliko ya tabianchi.
📍 Mafunzo haya yanafanyika katika ofisi za TAMWA Zanzibar zilizopo Mkanjuni.
🌱 Lengo ni kuwawezesha wanahabari…

Binti NGALAPI reposted

👏🏼👏🏼

Napenda sana kufundisha wanawake,vijana na jamii kwa ujumla masuala ya usawa wa kijinsia, uongozi kwa wanawake na vijana.

ngalapi's tweet image. Napenda sana kufundisha wanawake,vijana na jamii kwa ujumla masuala ya usawa wa kijinsia, uongozi kwa wanawake na vijana.


United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.