peter7ernest's profile picture. Tanzanian Voice for truth/Witness to Resilience /Sharing real stories from the ground/Freedom,Justiceand Human dignity🇱🇷🇹🇿🇫🇷🇬🇧🫵😎.

peter7ernest

@peter7ernest

Tanzanian Voice for truth/Witness to Resilience /Sharing real stories from the ground/Freedom,Justiceand Human dignity🇱🇷🇹🇿🇫🇷🇬🇧🫵😎.

Hata kama ni Gizani lakini watashindwa TU, Lissu hajawah kushindwa Kesi

peter7ernest's tweet image. Hata kama ni Gizani lakini watashindwa TU, Lissu hajawah kushindwa Kesi

peter7ernest reposted

Kila mpenda HAKI aliweke hili akilini. Huu ni mwaka wa kubadilisha huu UHUNI ambao tumekuwa tukifanyiwa na hawa WAKOLONI WEUSI kila mara na wanaona unawalipa ndiomaana wanapata VIBURI. 2019 uhuni wao tuliukalia kimya. 2020 uhuni wao tuliukalia kimya. 2024 uhuni wao tuliukalia…

Sativa255's tweet image. Kila mpenda HAKI aliweke hili akilini.

Huu ni mwaka wa kubadilisha huu UHUNI ambao tumekuwa tukifanyiwa na hawa WAKOLONI WEUSI kila mara na wanaona unawalipa ndiomaana wanapata VIBURI.

2019 uhuni wao tuliukalia kimya.

2020 uhuni wao tuliukalia kimya.

2024 uhuni wao tuliukalia…

peter7ernest reposted

Maisha ni Magumu Lakini Hakikisha Unamiliki Pisi Kali Yenye Akili.!!😅


peter7ernest reposted

peter7ernest reposted

The only way Foward kwasasa ni KUANDAMANA NA KUDAI HAKI YETU YA KUPOGA KURA NA KUCHAGUA KIONGOZI TUNAEMTAKA. #Oktoba28Tunaandamana#NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎


peter7ernest reposted

Only a few men can understand this.

DearS_o_n's tweet image. Only a few men can understand this.

peter7ernest reposted

‼️TUJIKUMBUSHE‼️ Gen Z mlikuwa watoto wakati Rostam alikuwa mweka hazina wa CCM Ila someni kitabu cha Mkapa - uchaguzi 2005 wakati hazina ilikwapuliwa kupitia EPA , hisa zake Vodacom alafu nendeni mambo ya Richmond/Dowans hadi Rostam kujiuzulu 2011 ubunge na ilisemekana hata…

MariaSTsehai's tweet image. ‼️TUJIKUMBUSHE‼️
Gen Z  mlikuwa watoto wakati Rostam alikuwa mweka hazina wa CCM 
Ila someni kitabu cha Mkapa - uchaguzi 2005 wakati hazina ilikwapuliwa kupitia EPA , hisa zake Vodacom alafu nendeni mambo ya Richmond/Dowans hadi Rostam kujiuzulu 2011 ubunge na ilisemekana hata…
MariaSTsehai's tweet image. ‼️TUJIKUMBUSHE‼️
Gen Z  mlikuwa watoto wakati Rostam alikuwa mweka hazina wa CCM 
Ila someni kitabu cha Mkapa - uchaguzi 2005 wakati hazina ilikwapuliwa kupitia EPA , hisa zake Vodacom alafu nendeni mambo ya Richmond/Dowans hadi Rostam kujiuzulu 2011 ubunge na ilisemekana hata…

peter7ernest reposted

Imagine with @Grok


peter7ernest reposted

Huyu mnyakyusa WA DODOMA CHAMWINO bila shaka. Anatuona sisi ni MATAKO yake. TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Sativa255's tweet image. Huyu mnyakyusa WA DODOMA CHAMWINO bila shaka. 

Anatuona sisi ni MATAKO yake.

TUTAKUWEPO🫵🏾😎

peter7ernest reposted

Huyu Jamaa ndiyo Mchungaji pekee ambaye hadi Wanaume wanasikiliza mahubiri yake.😁

ze_mandevu's tweet image. Huyu Jamaa ndiyo Mchungaji pekee ambaye hadi Wanaume wanasikiliza mahubiri yake.😁

peter7ernest reposted

Nichukue nafasi hii kumshukuru sana mtumishi wa MUMGU Pastor Kabigumila kwa ujumbe wake huu. 🙏 Moja ya platform ya mtandaoni ambayo ililala kwenye mapambano ya kudai HAKI ni instagram. Lakini kwasasa wananchi wameamka na kuanza kudai haki zao. Japo sio wote ila inatia moyo…

Sativa255's tweet image. Nichukue nafasi hii kumshukuru sana mtumishi wa MUMGU Pastor Kabigumila kwa ujumbe wake huu. 🙏

Moja ya platform ya mtandaoni ambayo ililala kwenye mapambano ya kudai HAKI ni instagram. Lakini kwasasa wananchi wameamka na kuanza kudai haki zao.

Japo sio wote ila inatia moyo…
Sativa255's tweet image. Nichukue nafasi hii kumshukuru sana mtumishi wa MUMGU Pastor Kabigumila kwa ujumbe wake huu. 🙏

Moja ya platform ya mtandaoni ambayo ililala kwenye mapambano ya kudai HAKI ni instagram. Lakini kwasasa wananchi wameamka na kuanza kudai haki zao.

Japo sio wote ila inatia moyo…
Sativa255's tweet image. Nichukue nafasi hii kumshukuru sana mtumishi wa MUMGU Pastor Kabigumila kwa ujumbe wake huu. 🙏

Moja ya platform ya mtandaoni ambayo ililala kwenye mapambano ya kudai HAKI ni instagram. Lakini kwasasa wananchi wameamka na kuanza kudai haki zao.

Japo sio wote ila inatia moyo…
Sativa255's tweet image. Nichukue nafasi hii kumshukuru sana mtumishi wa MUMGU Pastor Kabigumila kwa ujumbe wake huu. 🙏

Moja ya platform ya mtandaoni ambayo ililala kwenye mapambano ya kudai HAKI ni instagram. Lakini kwasasa wananchi wameamka na kuanza kudai haki zao.

Japo sio wote ila inatia moyo…

peter7ernest reposted

KANISA LISILOKEMEA UOVU NA DHULUMA KATIKA TAIFA NI KANISA LA SHETANI. Asante sana kwa mchango mzuri sana. Nimeongeza maelezo hayo mawili kwa mtiririko na mtazamo ule ule wa awali, na kuiboresha zaidi kuwa ujumbe wenye msimamo wa kiroho na kijamii. Hapa chini ni toleo…

Mwabuk2Boniface's tweet image. KANISA LISILOKEMEA UOVU NA DHULUMA KATIKA TAIFA NI KANISA LA SHETANI.

Asante sana kwa mchango mzuri sana. Nimeongeza maelezo hayo mawili kwa mtiririko na mtazamo ule ule wa awali, na kuiboresha zaidi kuwa ujumbe wenye msimamo wa kiroho na kijamii. Hapa chini ni toleo…

peter7ernest reposted

Siza Keheta, aliyekuwa diwani wa (CCM) kata ya Ganyange, Tarime Vijijini (2020/2025), na rafiki yake, Anthony Gabriel Moseti walisafiri Ijumaa, 25.07.2025 kwenda katika shughuli zao za biashara. Hadi wanaondoka, walikuwa na mawasiliano na familia zao vizuri tu. Lakini kitu cha…

Sativa255's tweet image. Siza Keheta, aliyekuwa diwani wa (CCM) kata ya Ganyange, Tarime Vijijini (2020/2025), na rafiki yake, Anthony Gabriel Moseti walisafiri Ijumaa, 25.07.2025 kwenda katika shughuli zao za biashara. 

Hadi wanaondoka, walikuwa na mawasiliano na familia zao vizuri tu. Lakini kitu cha…
Sativa255's tweet image. Siza Keheta, aliyekuwa diwani wa (CCM) kata ya Ganyange, Tarime Vijijini (2020/2025), na rafiki yake, Anthony Gabriel Moseti walisafiri Ijumaa, 25.07.2025 kwenda katika shughuli zao za biashara. 

Hadi wanaondoka, walikuwa na mawasiliano na familia zao vizuri tu. Lakini kitu cha…

peter7ernest reposted

📌 Usipite bila kusoma and bookmark this! 🚨🚨‼️MIPANGO YA MADHULMAT YAVUJA🚨🚨‼️ Watoa taarifa wameniletea yafuatayo na huku nikiendelea kuthibtisha naweka matukio wanayosema yamepangwa 👉🏽 Mwamba kuhama si ishu sasa ishu ni tarehe - imepangwa tarehe 3 Agosti na itakuwa siku wa…

MariaSTsehai's tweet image. 📌 Usipite bila kusoma and bookmark this!

🚨🚨‼️MIPANGO YA MADHULMAT YAVUJA🚨🚨‼️
Watoa taarifa wameniletea yafuatayo na huku nikiendelea kuthibtisha naweka matukio wanayosema yamepangwa
👉🏽 Mwamba kuhama si ishu sasa ishu ni tarehe - imepangwa tarehe 3 Agosti na itakuwa siku wa…
MariaSTsehai's tweet image. 📌 Usipite bila kusoma and bookmark this!

🚨🚨‼️MIPANGO YA MADHULMAT YAVUJA🚨🚨‼️
Watoa taarifa wameniletea yafuatayo na huku nikiendelea kuthibtisha naweka matukio wanayosema yamepangwa
👉🏽 Mwamba kuhama si ishu sasa ishu ni tarehe - imepangwa tarehe 3 Agosti na itakuwa siku wa…

peter7ernest reposted

Mdude Nyagali My Guy, Samia amekuuwa? Solidarity, always, My Guy! Long live the spirit of Mdude Nyagali👊🏽


peter7ernest reposted

Grok ftw

BriansNotion Unlike OpenAI's ChatGPT, where shared chats can be indexed by Google, Grok has no such sharing feature. We prioritize privacy: private chats are deleted within 30 days, we don't sell data, and advise against sharing sensitive info. See x.ai/privacy-policy for…



peter7ernest reposted

Tutachukua hatua ikitulazimu

Mwabuk2Boniface's tweet image. Tutachukua hatua ikitulazimu

peter7ernest reposted

*“Twendeni tukapambane si mnataka? si mmefungua kesi ya uhaini? Pelekeni taarifa mahakama kuu kama sheria inavyotaka”* *“Ni ajabu kwamba hapa ni mshtakiwa ndie anaedai apelekwe mahakama kuu akashtakiwe kama mahakama inaona anahatia anyongwe, mshtakiwa ndie anasema twendeni huko…


peter7ernest reposted

#TajiriLaKihaya Huu Mwaka mzima- This is The BEST QUOTE EVER🙌🏽🙌🏽🙌🏽

EsirEid's tweet image. #TajiriLaKihaya 

Huu Mwaka mzima- This is The BEST QUOTE EVER🙌🏽🙌🏽🙌🏽

peter7ernest reposted

Hii ni Nchi yetu sote au ni mali ya mtu binafsi kwa masilahi yake na kikundi chake? Yaani YouTube imezimwa kwasababu ya uoga na uroho wa madaraka? Kama unajiamini mtu anaekukosoa na uongozi wako jibu hoja zake kuliko kuwaweka Watanzania kwenye matatizo kwasababu za mambo…


United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.