peter_sari98452's profile picture.

Peter Saria

@peter_sari98452

Peter Saria hat repostet

Binafsi nimependa sana muitikio wa viongozi wa dini za kikristo kuingilia kati hili suala la haki na mabadiliko. Enough is enough naomba repost nyingi kwao

ze_mandevu's tweet image. Binafsi nimependa sana muitikio wa viongozi wa dini za kikristo kuingilia kati hili suala la haki na mabadiliko. Enough is enough  naomba repost nyingi kwao

Peter Saria hat repostet

“Nani anaharibu amani, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC

ayubu_madenge's tweet image. “Nani anaharibu amani, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC

Peter Saria hat repostet

CHAPA REPOST HAPA PLEASE

mrembo_og's tweet image. CHAPA REPOST HAPA PLEASE

Peter Saria hat repostet

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuwaachilia mara moja na bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka wa uchaguzi.


Peter Saria hat repostet

Kenyans stand with CHADEMA party leader, Tundu Lissu. #FreeTunduLissuNow

BernardKavuli's tweet image. Kenyans stand with CHADEMA party leader, Tundu Lissu. 

#FreeTunduLissuNow

Peter Saria hat repostet

Picha za UKONGA zinawaumiza sana WAKOLONI WEUSI. Naomba ZISAMBAE NCHI NZIMA.🔥🔥🔥 REPOST 200🔥🔥🔥🚨🚨🚨

Sativa255's tweet image. Picha za UKONGA zinawaumiza sana WAKOLONI WEUSI.

Naomba ZISAMBAE NCHI NZIMA.🔥🔥🔥

REPOST 200🔥🔥🔥🚨🚨🚨
Sativa255's tweet image. Picha za UKONGA zinawaumiza sana WAKOLONI WEUSI.

Naomba ZISAMBAE NCHI NZIMA.🔥🔥🔥

REPOST 200🔥🔥🔥🚨🚨🚨
Sativa255's tweet image. Picha za UKONGA zinawaumiza sana WAKOLONI WEUSI.

Naomba ZISAMBAE NCHI NZIMA.🔥🔥🔥

REPOST 200🔥🔥🔥🚨🚨🚨
Sativa255's tweet image. Picha za UKONGA zinawaumiza sana WAKOLONI WEUSI.

Naomba ZISAMBAE NCHI NZIMA.🔥🔥🔥

REPOST 200🔥🔥🔥🚨🚨🚨

Peter Saria hat repostet

Leo tulianzia gereza la KEKO, @TunduALissu hayupo. Tukaelekea gereza la SEGEREA, hayupo. Tukaelekea gereza la UKONGA. TAL yupo. Tukaelezwa ni watu watatu tu wanaruhusiwa kumuona kwa siku. @ExMayorUbungo amefanikiwa kuingia na kuzungumza na TAL na amesisitiza #noreformsnoelection

IAMartin_'s tweet image. Leo tulianzia gereza la KEKO, @TunduALissu hayupo. Tukaelekea gereza la SEGEREA, hayupo. Tukaelekea gereza la UKONGA. TAL yupo. Tukaelezwa ni watu watatu tu wanaruhusiwa kumuona kwa siku. @ExMayorUbungo amefanikiwa kuingia na kuzungumza na TAL na amesisitiza #noreformsnoelection
IAMartin_'s tweet image. Leo tulianzia gereza la KEKO, @TunduALissu hayupo. Tukaelekea gereza la SEGEREA, hayupo. Tukaelekea gereza la UKONGA. TAL yupo. Tukaelezwa ni watu watatu tu wanaruhusiwa kumuona kwa siku. @ExMayorUbungo amefanikiwa kuingia na kuzungumza na TAL na amesisitiza #noreformsnoelection

Peter Saria hat repostet

Nashauri Watu Wasiende Kupiga Kura, Kwasababu Mifumo iliyopo Sio Rafiki inapendelea Upande Mmoja, Sitakwemda Kupiga Kura Nchi hii Mpaka Mifumo itakapokua Huru.. Kama Uko Pamoja na Mimi Chapa Hapo Ule Ujumbe wa CAG, Prof. Assad, kisha Watagg @TumeUchaguziTZ Kisha nitakuFollow.

HopeQuotes__'s tweet image. Nashauri Watu Wasiende Kupiga Kura, Kwasababu Mifumo iliyopo Sio Rafiki inapendelea Upande Mmoja,

Sitakwemda Kupiga Kura Nchi hii Mpaka Mifumo itakapokua Huru..

Kama Uko Pamoja na Mimi Chapa Hapo Ule Ujumbe wa CAG, Prof. Assad, kisha Watagg @TumeUchaguziTZ 

Kisha nitakuFollow.

Peter Saria hat repostet

Taarifa za uhakika zilizotufikia hivi punde ni kuwa Lissu ameanza kuteswa kisaikolojia baada ya kugoma kulambishwa asali. Watu wanazuiwa kumuona. Lissu ashikilie hapo hapo maana amevuruga vichwa vya watu Lumumba. Chadema msimuangushe Lissu tarehe 24. Jitokezeni kwa maelfu.

TanzaniaLeaks's tweet image. Taarifa za uhakika zilizotufikia hivi punde ni kuwa Lissu ameanza kuteswa kisaikolojia baada ya kugoma kulambishwa asali. Watu wanazuiwa kumuona. Lissu ashikilie hapo hapo maana amevuruga vichwa vya watu Lumumba. Chadema msimuangushe Lissu tarehe 24. Jitokezeni kwa maelfu.

Peter Saria hat repostet

Dili anayopewa Lissu na Samia ni kwamba, Lissu atulie uchaguzi huu upite, Chadema iingizwe serikalini, Lissu atapewa nafasi, halafu mabadiliko yatafanyika baadaye. Lissu amegoma kabisa. Muombeeni sana Lissu. Mpiganieni pia. Jitokezeni kwa wingi tarehe 24. #TanzaniaLeaks

TanzaniaLeaks's tweet image. Dili anayopewa Lissu na Samia ni kwamba, Lissu atulie uchaguzi huu upite, Chadema iingizwe serikalini, Lissu atapewa nafasi, halafu mabadiliko yatafanyika baadaye.  Lissu amegoma kabisa. Muombeeni sana Lissu. Mpiganieni pia. Jitokezeni kwa wingi tarehe 24. #TanzaniaLeaks

Peter Saria hat repostet

Madai ya #NoReformsNoElection yatapatikana Asubuhi TUKIAMUA!!Fikirieni itakuwaje endapo watu Laki Moja Wametinga Mahakamani Tarehe 24/04/2025 na Vazi hili la #KatibaMpya Wakiwa wamefunga Katambaa Cheupe na Chupa ya Maji ya Kunywa Mkononi? REPOST.

ShijaShibeshi's tweet image. Madai ya #NoReformsNoElection yatapatikana Asubuhi TUKIAMUA!!Fikirieni itakuwaje endapo watu Laki Moja Wametinga  Mahakamani Tarehe 24/04/2025 na Vazi  hili la #KatibaMpya Wakiwa wamefunga Katambaa Cheupe na  Chupa ya Maji ya Kunywa Mkononi?

REPOST.

Peter Saria hat repostet

Tumefika gereza la UKONGA, @TunduALissu yupo salama. Kamishna Jenerali wa @MagerezaT nataka kuamini mmezingatia (ss. 53-61) Prison Act, kumuondoa Tundu Lissu kutoka gereza la KEKO kumpeleka gereza la UKONGA. Lakini mnashindwa nini kueleza umma taarifa hiyo kuondoa taharuki?


Peter Saria hat repostet

Kuna sintofahamu kubwa sana Ikulu, Lumumba & Idarani. Watendaji waandamizi wanadai ishu ya Lissu ni mbaya kwa serikali. Magareza hawaelewi kinachoendelea, wanalalamika kuingiliwa kiutendaji kwani hawajui Lissu kapelekwa wapi. Wanapasua kichwa tarehe 24 raia wakijitokeza kwa wingi

TanzaniaLeaks's tweet image. Kuna sintofahamu kubwa sana Ikulu, Lumumba & Idarani. Watendaji waandamizi wanadai ishu ya Lissu ni mbaya kwa serikali. Magareza hawaelewi kinachoendelea, wanalalamika kuingiliwa kiutendaji kwani hawajui Lissu kapelekwa wapi. Wanapasua kichwa tarehe 24 raia wakijitokeza kwa wingi
TanzaniaLeaks's tweet image. Kuna sintofahamu kubwa sana Ikulu, Lumumba & Idarani. Watendaji waandamizi wanadai ishu ya Lissu ni mbaya kwa serikali. Magareza hawaelewi kinachoendelea, wanalalamika kuingiliwa kiutendaji kwani hawajui Lissu kapelekwa wapi. Wanapasua kichwa tarehe 24 raia wakijitokeza kwa wingi

Peter Saria hat repostet

Leo naomba kila MPENDA HAKI ampe PAUL MAKONDA 💐🌹🌷 yake. Pamoja na MAMBO YAKE, lakini hapo 👇 ameongea JAMBO LA MAANA SANA.

PMadeleka's tweet image. Leo naomba kila MPENDA HAKI ampe PAUL MAKONDA 💐🌹🌷 yake. Pamoja na MAMBO YAKE, lakini hapo 👇 ameongea JAMBO LA MAANA SANA.

Peter Saria hat repostet

‼️🚨Samia Suluhu's regime must answer for human rights abuses! 🇹🇿 Demand justice—impeachment & accountability NOW! #TanzaniaDeservesBetter #HumanRights #NoReformsNoElection

bizy94's tweet image. ‼️🚨Samia Suluhu's regime must answer for human rights abuses! 🇹🇿 Demand justice—impeachment & accountability NOW! #TanzaniaDeservesBetter #HumanRights #NoReformsNoElection

Peter Saria hat repostet

No reforms No Election. Kesho Tukutane Kawe.

godbless_lema's tweet image. No reforms No Election. Kesho Tukutane Kawe.

Peter Saria hat repostet

Msikubali kutolewa katika mstari. Adui wa CHADEMA siyo mpya. Adui wa CHADEMA ni DOLA KATILI ya CCM. Kuwa kiongozi wa CHADEMA ni kukubali kujitoa muhanga. Kuwa mwanachama na mfuasi wa CHADEMA ni kuwa vitani. DOLA katili la CCM linaona shughuli za CHADEMA ni uhaini na ugaidi.


Peter Saria hat repostet

Taarifa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeeleza Watu tofauti wakiwemo Viongozi na Wanachama wamefika katika Gereza la Keko ambapo Mwenyekiti wa Chama hicho, #TunduLissu anashikiliwa, lakini hawakufanikiwa baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo bila…

JamiiForums's tweet image. Taarifa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), imeeleza Watu tofauti wakiwemo Viongozi na Wanachama wamefika katika Gereza la Keko ambapo Mwenyekiti wa Chama hicho, #TunduLissu anashikiliwa, lakini hawakufanikiwa baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo bila…

Peter Saria hat repostet

No Reforms No Election


Peter Saria hat repostet

#BREAKING #TANZANIA: TUNDU LISSU REPORTEDLY MOVED FROM KEKO JAIL TO AN UNKNOWN LOCATION Tanzanian prominent opposition leader Tundu Lissu has been reportedly transferred from Keko Jail to an undisclosed location. This is according to reports from his lawyers and family, who…

MwanzoTv's tweet image. #BREAKING
#TANZANIA: TUNDU LISSU REPORTEDLY MOVED FROM KEKO JAIL TO AN UNKNOWN LOCATION
Tanzanian prominent opposition leader Tundu Lissu has been reportedly transferred from Keko Jail to an undisclosed location.
This is according to reports from his lawyers and family, who…

United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.