quidsbyte's profile picture. Software Developer & Entrepreneurship | FC Barcelona, Tottenham Spurs  & Simba SC fan, music 🎶 is my cure

Millimeter ®

@quidsbyte

Software Developer & Entrepreneurship | FC Barcelona, Tottenham Spurs & Simba SC fan, music 🎶 is my cure

Millimeter ® reposted

Bado nasoma jumbe zenu za goodwill wakati mnanipambania nikiwa matatizoni. Kwa kweli ni nyingi. Mimi ni mtu mzima na jasiri, lakini baadhi ya jumbe zenu zinanitoa machozi Ni kama nasoma wasifu wangu kwenye msiba wangu mwenyewe. Asanteni sana Siwezi kuwashukuru mmojammoja


Millimeter ® reposted

Kwamba mnataka watu wakubali kutekwa na kuuwawa kwamba ni jambo la kawaida!!! Wakikataa utekaji unasema wanaleta vurugu sio? Yuko wapi Polepole, Mdude, Soka, Kipanya na watu maelfu mliowateka? Kama wana makosa kwanini msiwashitaki mahakamani? Mnaiba uchaguzi, watu wakipinga…


Millimeter ® reposted

watanzania hawatairuhusu ccm na vibaka wake waigeuze nchi yao kuwa 'pariah.' vibaka hawa wanapenda kusema 'sisi hatuna pengine pa kwenda,' lakini ni waongo, wanapo. wanaotekwa na kuuwawa kwa risasi za polisi ndiyo hawana pa kwenda, na hawatakubali kamwe walafi waharibu nchi yao!


Millimeter ® reposted

#TajiriLaKihaya Picha linaanza KIKATUNI hajawahi TWEET kwa Kiingereza Paragraph ndefu hivyo… Kama umeRealise sikuhizi Chawa wengi wanatumiwa Tweets za kizungu wanasambaza… Copy na Paste. PALE hela Imewekwa mezani…. post,Ikae nusu saa alafu futa- Tuachie mchezo! Yale yale…


Millimeter ® reposted

MKAKATI WA IDD AMIN MAMA NA WASHIRIKA WAKE KUELEKEA DISEMBA 9, 2025. Tumejulishwa kwamba kuna mpango mbaya sana umepangwa na umeanza kutekelezwa dhidi ya wapigania Haki nchini hasa wale ambao wanaonekana wana mrengo wa CHADEMA ili waje kuwatia hatiani kwa makosa ya Uhaini na…


Millimeter ® reposted

Vijana wa Tanzania Asante sana kwa kukataa agenda ya udini ya watu waliolipwa… Vijana Watanzania wanataka fursa za ajira, wanataka elimu bora, wanataka nyumba nzuri kama watoto wenu wanazoishi. Wanataka kwenda likizo nje na familia zao kama nyie mnavyofanya, wanataka matibabu…


Millimeter ® reposted

Nimetoka kusikiliza Speech ya Waziri Mkuu Haramu (Mwigulu). Well in summary hii nayo ni KOMANYOKO (kwa sauti ya @ThabitSenior) Ila acha ni relax… kesho will have a field day with this. Itabidi ku analyze kipande kwa kipande.


Gavoo inawachukia sana watu wanaosema ukweli kama hawa, laiti wangekuwa wanasikia waliopo madarakani basi wangeiponya nchi


Yaani watu waliomtuma wamkamate!?

Sijaona mahali popote kuwa amekamatwa na Jeshi la Polisi, hii ni ishara mbaya sana ktk ustawi wa jamii yetu. Maneno chini chini ni mengi sana ? Swali la msingi watu watajiuliza ni hili , je , inawezekana Mwinjilisti , Padri au Mchungaji akatoa kauli kama hizi halafu akawa salama…



Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.