rajuQuire's profile picture. “Kukinai, kuridhika ni hazina isiyo filisika.”

Ahmad

@rajuQuire

“Kukinai, kuridhika ni hazina isiyo filisika.”

Pinned

“ Naamini alichonikusudia ALLAH kiwe changu kitanifikia tu muda ukiwadia.”—🤲🏻🕓


Standanyoqoo nyingi hao.

Twitter je



😀😀😁😁🤣🤣

Kama umewahi kukeke kwenye DM humu, mtu huyo akiwa anapikwa wee kaa mita 1000 tuu lasivyo 😆 mnafeli sana, jamaa anasema “Kila mtu ana DM yake moja ambayo amewahi jimalizaa weee siku moja aliona huyo manzi anapikwa ikabidi azime data kabisa asije jichanganye akaunga tela” 🤣🤣🤣



✅ ❎

rajuQuire's tweet image. ✅                                                           ❎
rajuQuire's tweet image. ✅                                                           ❎

Will you marry her if she can't make tea??



Kunya anye kuku ila akinya bata kapoteza koki, anhaa.


Ahmad reposted

#DearNyerere Toka umeondoka hadi leo sijapata mke wa kuoa.😒

“ Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kwa paka kufungwa kengele shingoni; tabu ni kumpata panya wa kufanya kazi hiyo,na panya watakuwa wajinga sana kwa kudhani paka watajifunga au kufungana kengele .” — Mwalimu J.K Nyerere

rajuQuire's tweet image. “ Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kwa paka kufungwa kengele shingoni; tabu ni kumpata panya wa kufanya kazi hiyo,na panya watakuwa wajinga sana kwa kudhani paka watajifunga au kufungana kengele .”
— Mwalimu J.K Nyerere


Paka mapepe 🫵🏻


“Surah Luqman: Ayah 24 تمَتَّعُهُمْ قَلِيلًا ثُمَّ نَضْطَرُهُمْ إِلَى عَذَابٍ غَلِيظ Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.”


Mungu atuepushe na wanawake wa tiktok, Aamin.


Kila mmoja anapitia magumu kwenye maisha yake kwa namna moja au nyingine. Ukitaka kujua una maisha nafuu kiasi gani angalia walio chini yako, ukiangalia walio juu yako utazidi kuumia na kukufuru mshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.


Tunafuga punda nyumbani ila tunaenda kutembelea pundamilia mbugani, Punda anafugika sababu ana usikivu ila ukimtazama havutii kabisa lakini pundamilia hafugiki japo ni mzuri kumtazama sababu anavutia sana machoni. So tiktok pundamilia ni nyingi.😀

Lakini nyie si ndo mnawasifia jamani...mnatuvhanganya😹



Ahmad reposted

🌿 Chagua Asili, Chagua Ubora – Chagua Pemba Taste Products! Kila pakiti ni matokeo ya kazi ya mikono ya wakulima wetu wa ndani, bila kemikali wala viungio bandia – ni ladha safi ya asili. #PembaTaste2025 #Organic

abriy_suleiman's tweet image. 🌿 Chagua Asili, Chagua Ubora – Chagua Pemba Taste Products!

Kila pakiti ni matokeo ya kazi ya mikono ya wakulima wetu wa ndani, bila kemikali wala viungio bandia – ni ladha safi ya asili.

#PembaTaste2025 #Organic
abriy_suleiman's tweet image. 🌿 Chagua Asili, Chagua Ubora – Chagua Pemba Taste Products!

Kila pakiti ni matokeo ya kazi ya mikono ya wakulima wetu wa ndani, bila kemikali wala viungio bandia – ni ladha safi ya asili.

#PembaTaste2025 #Organic
abriy_suleiman's tweet image. 🌿 Chagua Asili, Chagua Ubora – Chagua Pemba Taste Products!

Kila pakiti ni matokeo ya kazi ya mikono ya wakulima wetu wa ndani, bila kemikali wala viungio bandia – ni ladha safi ya asili.

#PembaTaste2025 #Organic
abriy_suleiman's tweet image. 🌿 Chagua Asili, Chagua Ubora – Chagua Pemba Taste Products!

Kila pakiti ni matokeo ya kazi ya mikono ya wakulima wetu wa ndani, bila kemikali wala viungio bandia – ni ladha safi ya asili.

#PembaTaste2025 #Organic

🏖

rajuQuire's tweet image. 🏖
rajuQuire's tweet image. 🏖
rajuQuire's tweet image. 🏖

Mombasa in kilifi👋🏻🏝 #SpecialDay #NyerereDay ➡️

rajuQuire's tweet image. Mombasa in kilifi👋🏻🏝
#SpecialDay
#NyerereDay ➡️


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.