mgayasida
@segitobee
Real Estate Investment | Land Business and Development | Diaspora's Real Estate Investment | Construction Service | Investment due diligence
Potrebbero piacerti
usipuuzie ukiona incoming calls zimekuwa chache tofauti na mwanzo... kuna kitu hauna tena...
Asante Mungu kwa nyakati ambazo hazikuwa rahisi kwetu, kwa sababu ndizo zilizotujenga na kutufanya wenye nguvu.🙏
Ukweli hauna haraka, lakini unapo fika hubomoa kila uongo ulio jengwa juu ya majivuno.
Kuna ile Hautumii Hela Hovyo lakini Hela Bado haitoshi.!!🙌
Unaweza ukajiona mshindi mbele ya walimwengu baada ya kumharibia mtu maisha yake, lakini mbele za MUNGU wewe si mshindi. Kila ubaya una riba yake kubwa ya kulipwa
"Tafuta kwanza ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote mtazidishiwa.” Mathayo 6:33
Kuna kitu kinaitwa Neema,inapokupata haikagui vyeti vyako,haisikilizi maneno ya watu bali hubadilisha hadithi ya maisha yako 🙏
Ukifa maisha ya watu wengine yataendelea na watakusahau , na wengine kwenye msiba wako watacheza karata. Acha kujipa sana umehimu kwenye maisha ya watu.
Today, forgive someone who never apologized, not for them but for yourself darling🌚
Wakati mtu anakuwa mkali, usimsikilize. Wakati mtu anakosa adabu, ondoka. Wakati mtu anajaribu kukudhalilisha, simama imara. Usikubali tabia mbaya ya mtu kuharibu amani yako ya ndani.
Watu wengine huchagua kutembea peke yao, si kwa sababu wanapenda, bali kwa sababu usaliti uliwafundisha kuwa upweke ni salama zaidi kuliko kuzungukwa na uaminifu wa uongo
If little things can make you happy, The little things can hurt you too.
Usikubali miguu yako ikurudishe ulipotoka , jitahidi kutumia jana yako kama funzo na weka jitihada ya kutengeneza leo na kesho yako iliyo bora.. Happy New Month Mpenzi❤️
Ukipata nafasi ya kujiombea, omba Mungu akupe jicho la kujitathimini mwenyewe. Ujue kuhusu ubinafsi wako, unafiki wako na hata chuki zako. Kabla hujawanyooshea vidole wengine, jitafakari pekeako.
You think you fight for love but in reality you're fighting to be chosen, and that is your mistake. Let it go.
Pray instead of worrying. Pray instead of overthinking. Pray instead of controlling. Pray instead of stressing. Pray instead of complaining. Pray instead of panicking. In every situation, pray.
Mungu Akitaka kumpa mtu kitu au hatua mpya kwenye maisha, kuna mambo fln lazima yatokee; 1. Ghafla itatokea hali ya kukosa utulivu wa ndani na nje 2. Ataanza kukupa elimu mpya kimfumo 3. Atakupima ili Akuthibitishe 4. Atakukutanisha na watu wapya 5. Ndipo Ataondoa kile cha zamani
Sometimes healing means walking away, no matter how much your heart desires to stay...
Jitahidi kuwa mwema kwa watu, Na kama uta taka kuilinda furaha yako usi lazimishe wauone wema wako.
United States Tendenze
- 1. Pro Bowl N/A
- 2. Shedeur N/A
- 3. Highguard N/A
- 4. The Jito N/A
- 5. Homan N/A
- 6. Tyler Huntley N/A
- 7. Senator Young N/A
- 8. Kanye N/A
- 9. #FundHealthcareStopICE N/A
- 10. Jalen Johnson N/A
- 11. Bader N/A
- 12. Tyra N/A
- 13. Soucy N/A
- 14. Paul Newman N/A
- 15. #OlandriaxRahulMishra N/A
- 16. #LMPD N/A
- 17. $SLV N/A
- 18. #SaveThePost N/A
- 19. Geoff N/A
- 20. #jimromeonx N/A
Something went wrong.
Something went wrong.