tracminds's profile picture. Save plants, save life; every green leaf is a promise for a healthier future. ☘️🌿

Harakati

@tracminds

Save plants, save life; every green leaf is a promise for a healthier future. ☘️🌿

j kuna kanyuzi kadogo sana kanakotenganisha ushoga na gym

tracminds's tweet image. j
kuna kanyuzi kadogo sana kanakotenganisha ushoga na gym

AMEN Huu ndo Utu sasa

Maombi yetu kwa familia za wahanga wa vurugu zilizotokea Indonesia wakati wa mechi ya wapinzani wa jadi kati ya Arema na Persbaya Surabaya. Tunawaombea waliopata majeraha wapone na waliotangulia mbele za haki wapumzike kwa amani. #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko



kutana na masai wa kwanza kufuga ndevu Duniani

tracminds's tweet image. kutana na masai wa kwanza kufuga ndevu Duniani

sisi wamasai tunawasalumu kwa kupata na ndefu

tracminds's tweet image. sisi wamasai tunawasalumu kwa kupata na ndefu

Harakati reposted

Jasusi Bamia ni Bwege kweli 😂😂

spana_Konki's tweet image. Jasusi Bamia ni Bwege kweli 😂😂
spana_Konki's tweet image. Jasusi Bamia ni Bwege kweli 😂😂

Yericko, Jasusi Bamia ni jitu la hovyo sana. Eti hujawahi kupata tangu uzaliwe 🚮😂

spana_Konki's tweet image. Yericko, Jasusi Bamia ni jitu la hovyo sana. Eti hujawahi kupata tangu uzaliwe 🚮😂
spana_Konki's tweet image. Yericko, Jasusi Bamia ni jitu la hovyo sana. Eti hujawahi kupata tangu uzaliwe 🚮😂
spana_Konki's tweet image. Yericko, Jasusi Bamia ni jitu la hovyo sana. Eti hujawahi kupata tangu uzaliwe 🚮😂
spana_Konki's tweet image. Yericko, Jasusi Bamia ni jitu la hovyo sana. Eti hujawahi kupata tangu uzaliwe 🚮😂


kuku wa kienyeji huyu dahhhhh ngoja nizame Dm

tracminds's tweet image. kuku wa kienyeji huyu dahhhhh ngoja nizame Dm

Harakati reposted

Mange huna deni umeisaidia sana hii nchi tar 29 tukiikomboa tunakuvisha nishani @mangekimambi hongeraaaaaa Nime scan QR CODE ni yenyeweeee ipo kwenye website ya TRA aisee TIN namba ya ABDUL 109342908 Malipo ya BILION 2 wizi na ufisadi mamae ABDUL ataozea jera huyu mamae

nulphin's tweet image. Mange huna deni umeisaidia sana hii nchi tar 29 tukiikomboa tunakuvisha nishani @mangekimambi hongeraaaaaa 

Nime scan QR CODE ni yenyeweeee ipo kwenye website ya TRA aisee 
TIN namba ya ABDUL 109342908
Malipo ya BILION 2 wizi na ufisadi mamae ABDUL ataozea jera huyu mamae

Harakati reposted

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 31 Tumerudi sasa. Sauti ya High Court imepigwaa na askari kwa sauti fulani hivi ya kinyonge sana. Majaji wanaingia tayari. Mhe. Lissu ameingia pia. Mawakili wa serikali tunawaona. Anaandika kidogo Jaji Nduguru na anamuuliza Mhe. Lissu kama…


Harakati reposted

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 27 Anaendelea Wakili wa Serikali Katuga Wahesimiwa Majaji mbali na kukubaliana nae lakini tunapinga pingamizi lake la hati yetu ya mashitaka kwamba ina mapungufu yasiyotibika. Kwamba defective incurable na tunaleta chini ya kifungu cha 238 cha…


Harakati reposted

.

Oktoba29's tweet image. .

Harakati reposted

NATOA SHULE YA BURE NA RAHISI Nimeona Comments watu wanasema sisi hatutumii mfumo wa kielectronic kupiga kura tunatumia makaratasi sasa mfumo unahusika vipi? Niseme tu ukiongea hilo neno kwa sisi wataalamu wa mifumo tutakuwasha kibao shuka na huu uzi kisha Retweet uwafikie wengi

nulphin's tweet image. NATOA SHULE YA BURE NA RAHISI

Nimeona Comments watu wanasema sisi hatutumii mfumo wa kielectronic kupiga kura tunatumia makaratasi sasa mfumo unahusika vipi? Niseme tu ukiongea hilo neno kwa sisi wataalamu wa mifumo tutakuwasha kibao shuka na huu uzi kisha Retweet uwafikie wengi

Harakati reposted

Man to man Usiwahi kumtelekeza mtoto wako, Huu ndio usaliti mkubwa zaidi kwa ukoo wako.


Harakati reposted

Message sent! Ukistaafu alafu kila kukicha unaonekana ubavuni wa mwenye ofisi si sawa! Mshauri unashauri nini hadi mikutano unaenda kuwakilisha kimataifa 🙄 Hapa ndo penyewe 🔥 asante Kanisa Katoliki🙏🏽 #NoReformsNoElection #TutaelewanaTu


Harakati reposted

🚨‼️MSINITEKE NIJIBUNI🙄‼️🚨 Nimekuwa nikiperuzi mambo ya DP World Tanzania nimekutana na hii taarifa ya shareholding kumbe Tanzania DPW wana asilimia 65.1% tu ya kampuni iliyosajiliwa locally kusimamia bandari Shareholders wengine ni akina nani? 🧐 Msianze kupanga kikosi kazi…

MariaSTsehai's tweet image. 🚨‼️MSINITEKE NIJIBUNI🙄‼️🚨
Nimekuwa nikiperuzi mambo ya DP World Tanzania nimekutana na hii taarifa ya shareholding kumbe Tanzania DPW wana asilimia 65.1% tu ya kampuni iliyosajiliwa locally kusimamia bandari
Shareholders wengine ni akina nani? 
🧐 Msianze kupanga kikosi kazi…
MariaSTsehai's tweet image. 🚨‼️MSINITEKE NIJIBUNI🙄‼️🚨
Nimekuwa nikiperuzi mambo ya DP World Tanzania nimekutana na hii taarifa ya shareholding kumbe Tanzania DPW wana asilimia 65.1% tu ya kampuni iliyosajiliwa locally kusimamia bandari
Shareholders wengine ni akina nani? 
🧐 Msianze kupanga kikosi kazi…

Wapare na wahaya kwenye ugawaji wapare wanaongoza ila kwanini hawasikiki sana ila sauti iliyopo juu ni ya wahaya ? ila wapare mbingu wataisia tu 🤣


Harakati reposted

“Mfumo wa data za uchaguzi umeunganishwa na Mfumo wa NIDA na mfumo huo umeunganishwa na mfumo wa CCM”-; Balozi Polepole

HildaNewton21's tweet image. “Mfumo wa data za uchaguzi umeunganishwa na Mfumo wa NIDA na mfumo huo umeunganishwa na mfumo wa CCM”-; Balozi Polepole

Harakati reposted

Humu mmefanya mpaka Kigwangala kahamia Instagram 😂


Harakati reposted

Mahakamani pamechafuka sana Leo.. 😆 TAL ameambiwa ataje mashahidi wake kama anao. TAL amemtaja SSH, Mpango na Majaliwa katika orodha ya mashahidi wake. Hakimu Franco Kiswaga akasema hao mashahidi ataomba kibali Mahakama Kuu waingie kwa kuwa hawezi kuwaingiza katika commital.


Chudai zimeachiwa na hamsemi 🤣


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.