내가 좋아할 만한 콘텐츠
Kiroho Safi naomba Repost yako hapa Wanangu.🫡

Leo nimeikumbuka Young Africans ile ya wakina Jerson Tegete, Boniface Ambani, Benny Mwalala, Mrisho Ngassa, Gaudence Mwaikimba na Mike Baraza, Hii Yanga SC ilikuwa hatari sana. Kuna vijana wengi hapa waliichagua Yanga wapo mashabiki wengi wa Yanga waliopatikana kupitia huu utatu
1. Tuliza moyo wako. 2. Kubali mapungufu yako. 3. Rahisisha mahitaji yako. 4. Ridhika na ulichonacho. 5. Ongeza kipato chako. 6. Chunga, tamaa mbaya.
Naomba retweet hapa🔥🔥🔥🔥🔥 WANAUME WENYE SHIDA YA UUME KUTOKUWA NA UWEZO WA KUSIMAMA IMARA NA KUMWAGA MBEGU MAPEMA SANA KWASABABU YA KUPIGA NYETO KWA MUDA MREFU HILI TATIZO SASA BASI, MJE KWA MASAI ANA DAWA KIBOKO YANI UUME UTAKAZA NA UTAFURAHIA TENDO LA NDOA MASAI HERBAL…


Sitaki pesa naomba Repost yako tu inatosha.

Msimamo kama huu wa HOME BOY sioni ukifanikiwa chini ya uongozi wa FAM. Mimi sio mganga huo ndio ukweli.
USHAURI MKUBWA AMBAO BABA YAKO HAJAKUPATIA: UZI 🧵. Nimeandika uzi nyingi ila huu ni Bora wa wakati wote.

TAMBUA kipi Cha kujifunza? Maarifa Gani naweza Kupata,Hata kama hakuna kinachoendelea kwa Mtu kitu kipo Cha kujifunza. Kumbuka, Mlevi anaweza kukufundisha Nini Cha Kufanya.. Wanaume wengi Hawana AKILI YA MKANDA MWEUPE (white belt), Wakisha jifunza kitu wanaona wanajua vyote.…
Wanangu mnao comment positively kwenye tweets zangu mnanisaidia sana kupata mambo yanayosaidia wengi. Wanangu huku DM pia mnasaidia tunafundisha wengine. Naombeni tuendelee comments nasoma DM napandisha lengo ni kueneza injili.
Mama yangu kanipigia simu ananiambia nimekuona kwenye TV unasema “IMEWASHIKA” 😂🤌🏾
Sanda asipomuelewa MANARA basi arudi MEMKWA.
Yani yule mtu fudenge ni ameamua tu kuishi kwa kunipinga kwenye kila nitakachosema!! I’m sure kama ningesema nimpinge Sativa, yeye angekuja akam-backup😁 Yani yeye ndio angesema sasa Sativa yuko sahihi😁 Jamaa sijui nilimkoseaga wapi aisee☺️
Abdullahman MUSA huku Mashujaa anacheza kama FULL BACK namba 2. Misimu kadhaa nyuma huyu alikuwa TEKA mzuri sana Pale RUVU SHOOTING. Kafunga bonge la goli leo.🫡
Tajiri Elon Musk akiendelea ku Tweet huku akiwa kwenye tafrija ya ushindi wa Trump. Yote kwa yote huyu jamaa amempambania sana Trump.

Ila haya maisha unaambiwa wakati Tunda Man anaachia “Starehe Gharama” Diamond alimuomba sana kuonekana kwenye video Tunda akamwambia haina noma ngoja nimpange Adam Juma ambaye ndio Director. Siku ya kushoot Adam kidogo amfukuze Diamond akawa anauliza huyu nani huyu? 😃
Wahuni hamtaki kumsalimia mtoto wa MULILO.😂 Mbona wa MAFWELE mlitum salamu mpaka kafuta whatsapp.😂
Daktari wa mpira FADLU DAVIES wa Hospitali ya Rufaa ya SIMBA anaendelea kusisitiza Wagonjwa wote kufuata utaratibu wa kuonana nae ili kutibiwa, tuheshimu utaratibu wa foleni, pongezi kwa Fountain Gate, Tabora United na Azam wote wametibiwa vizuri. Msisukumane kaeni kwenye…
United States 트렌드
- 1. #KonamiWorldSeriesSweepstakes N/A
- 2. #2025MAMAVOTE 1.5M posts
- 3. Mitch McConnell 11.1K posts
- 4. Tyla 21.6K posts
- 5. Term 188K posts
- 6. Somalia 31.2K posts
- 7. No Kings 152K posts
- 8. Caresha 1,291 posts
- 9. Yung Miami 1,545 posts
- 10. Miguel Vick N/A
- 11. Budapest 8,369 posts
- 12. Deport Harry Sisson 28.8K posts
- 13. Chanel 25.4K posts
- 14. #TrumpShutdownBadForUS 1,261 posts
- 15. #SpiritDay 2,032 posts
- 16. Spencer Dinwiddie N/A
- 17. ErgoChair X N/A
- 18. President Putin 19.8K posts
- 19. Brian Cashman N/A
- 20. GTreasury 7,438 posts
내가 좋아할 만한 콘텐츠
-
Rubberband Man866
@rashidhussein50 -
𝐎𝐟𝐟𝐢𝐜𝐢𝐚𝐥𝐬𝐡𝐚𝐤𝐮𝐮🍂🍁
@officialshakuu -
Linton
@markndanyi -
Pierre255.
@Pierree009 -
Ajiboye Olatunde Dammylaray
@iamdabliz -
i°^°🕷️
@qoe_qoee -
kartelz
@kartelz1 -
𝐌𝐀𝐒𝐊𝐈𝐍 𝐉𝐄𝐔𝐑𝐈💵
@maskini_jeuri47 -
monster
@allysallym36 -
Mwangi Mahugu
@MwangiMahugu1 -
iam lee
@iamlee88963075 -
Mr BMW
@Aaronb_255 -
JOHN LD7
@JD7OFFICIAL10 -
🇰🇪
@livinarrow -
Mollel
@mollel_ida
Something went wrong.
Something went wrong.