#sebuleni search results

Unakumbuka enzi za shairi, unajua kutunga shairi? Sikiliza kidogo, kutoka #SEBULENI #PlusXtraUpdates ndani ya #DStvChannel294

From Plus TV

Uchambuzi wa magazeti huwa upo @Plustvtz Kuna @geeftswai & @kevinlamecktz ndio wanaosimamia hii show kila siku 1 asb hadi 4 asb kwenye #Sebuleni LIVE on DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus


Aliyekuwa mgombea uraisi Tanzania bara Taifa Queen Elizabeth Sendiga yupo mubashara @plustvtz kipindi cha Sebuleni akihojiwa na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz muda huu hadi saa 4 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

yose_hoza's tweet image. Aliyekuwa mgombea uraisi Tanzania bara Taifa Queen Elizabeth Sendiga yupo mubashara @plustvtz kipindi cha Sebuleni akihojiwa na  @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz muda huu hadi saa 4 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus


Sawa mmefiwa Ila Tunakumbuka First Leg mlifinywa 5 #sebuleni kwenu na Salah alisepa na mpira #Mliachika??


Usajili mpya wa team #OnAir Jimmy Jamal LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz, uko na mengi unataka kujua kutoka kwake? Ungana nae hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Usajili mpya wa team #OnAir Jimmy Jamal LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz, uko na mengi unataka kujua kutoka kwake?
Ungana nae hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294.
#Sebuleni #BeLikePlus

Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Somebody ask Polepole-Kipochi; Kama siasa maana yake ni maendeleo kwanini kwa miaka 5 vyama vya siasa vimezuiwa kufanya siasa/maendeleo @cloudsplus #Sebuleni

Siasa maana yake ni maendeleo #SEBULENI @cloudsplus ..!! - Mh Polepole



"Kuna mwanachama wa @freemanmbowetz anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa" @hpolepole. #Sebuleni. @cloudsplus.

JiniKinyonga's tweet image. "Kuna mwanachama wa @freemanmbowetz anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa" @hpolepole. #Sebuleni. @cloudsplus.

Uchambuzi wa magazeti leo kupitia Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai & @kevinlamecktz Ungana na team ya Sebuleni kila siku za kuanzia saa 1 hadi saa 4 kamili za asubuhi LIVE on DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus


RoseMary Chambi, Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili LIVE leo kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. RoseMary Chambi, Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili LIVE leo kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz

Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, @airtel_tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya #PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294


Kutana na RoseMary Chambi. Huyu ndo Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili. Leo atakuwepo LIVE kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi hii. #Sebuleni #BeLikePlus

bajabiri's tweet image. Kutana na RoseMary Chambi. Huyu ndo Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili.
Leo atakuwepo LIVE kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi hii.
#Sebuleni #BeLikePlus

Aziza Ongala mtoto wa Marehemu Remmy Ongala leo amepita kwenye kipindi cha Sebuleni cha Plus TV kuwafahamisha watanzania juu ya Tamasha la Ongala Music Festival kwa mwaka huu 2020 ambalo litaruka LIVE kupitia @Plustvtz. #Sebuleni #BeLikePlus


Atakuja na kipochi? #PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

Kiganyi_'s tweet image. Atakuja na kipochi? 
#PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

Kipindi Bora Kabisa Kutoka @cloudsplus Channel 294 Ipo @DStv_Tz Kinaitwa SEBULENI Wanaofatilia Wanajua Ubora Wa Kipindi Hiki This Week Kuanzia Saa 1 Kamili Asubuhi Mpaka Saa 4 Asubuhi Atakuwepo @hpolepole Kama Mgeni Usikose kutazama #PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

ManenoIzaak's tweet image. Kipindi Bora Kabisa Kutoka @cloudsplus Channel 294 Ipo @DStv_Tz Kinaitwa SEBULENI Wanaofatilia Wanajua Ubora Wa Kipindi Hiki

This Week Kuanzia Saa 1 Kamili Asubuhi Mpaka Saa 4 Asubuhi Atakuwepo @hpolepole Kama Mgeni Usikose kutazama 
#PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥


Kuna dhana nyingi mtaani kuwa chanjo ya UVIKO-19 inaleta athari kwenye mfumo wa DNA za watu. Daktari Wolfgang Bernard kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo kupitia #Sebuleni ya @plustvtz channel 294 on @DStv amesema hakuna tatizo lolote ambalo limeripotiwa hadi sasa.


TANGAZO TANGAZO TANGAZO Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli. Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi. #Sebuleni #Uwajibikaji

slyvanus021's tweet image. TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli.
Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi.
#Sebuleni #Uwajibikaji

TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!! Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

YaneKariuki's tweet image. TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!!

Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.


Alichoongea Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Marehemu Remmy Ongala ndani ya #Sebuleni ya @Plustvtz. #BeLikePlus


We all have a role in combating corruption...@OgolaBenedict @EACCKenya .Today #Sebuleni

radio_yetu's tweet image. We all have a role in combating corruption...@OgolaBenedict @EACCKenya .Today #Sebuleni

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli. Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi. #Sebuleni #Uwajibikaji

slyvanus021's tweet image. TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli.
Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi.
#Sebuleni #Uwajibikaji

TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!! Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

YaneKariuki's tweet image. TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!!

Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.


Acha wakumbushwe nilikufollow kabla ya 1k followers master. Big wins #sebuleni twitter

collins__kolo's tweet image. Acha wakumbushwe nilikufollow kabla ya 1k followers master.
Big wins #sebuleni twitter

10k followers ndani yake mamaee. Shukran za dhati toka moyoni mwangu.

YaneKariuki's tweet image. 10k followers ndani yake mamaee. Shukran za dhati toka moyoni mwangu.


Our team will be live on Radio Yetu 89.2 FM @ Nakuru tonight on #Sebuleni with James Mbulo, continuing the conversation on Access to Information from our earlier discussion.

katibainstitute's tweet image. Our team will be live on Radio Yetu 89.2 FM @ Nakuru tonight on #Sebuleni with James Mbulo, continuing the conversation on Access to Information from our earlier discussion.

Happening: Access to Information compliance in Nakuru County Katiba Institute, in partnership with @Midrifthurinet, @KenyasOmbudsman and the County Government of Nakuru is today hosting a training on Access to Information (ATI) Compliance for Nakuru County officials and

katibainstitute's tweet image. Happening: Access to Information compliance in Nakuru County

Katiba Institute, in partnership with @Midrifthurinet, @KenyasOmbudsman   and the County Government of Nakuru is today hosting a training on Access to Information (ATI) Compliance for Nakuru County officials and
katibainstitute's tweet image. Happening: Access to Information compliance in Nakuru County

Katiba Institute, in partnership with @Midrifthurinet, @KenyasOmbudsman   and the County Government of Nakuru is today hosting a training on Access to Information (ATI) Compliance for Nakuru County officials and


A 10/10 session is what SEBULENI was. When good curation meets good creation, the end product is a great time. Shukran everyone who put their best foot forward to make sure we had a proper experience. Looking forward to the next one🤝🏾 #Sebuleni


Then the back and forth ya Mulla na @elisha_elai 🔥🔥, so dope. Good vibes and sportsmanship at its purest form. #Sebuleni


Next Up, MBITHI KAMBA BOY shut it down deadly. They performed their collabs with Mulla and Elisha Elai, then kama Kawa he gave us some fire 🔥 Mbithi jams. @Mbithi_Kambaboy my G, 🤝🏾 salute. #Sebuleni


@mex_tz got on the mic and dropped solid Barz. A couple of collabs with Mulla, and he performed an exclusive jam, "KING" , from his upcoming album:IGWE. Huyu ni a very dope creative, let alone rapper, the East African HipHop industry is blessed with. 🔥🔥 #Sebuleni


We walk in & seated facing the entrance were 4 very dope Rapper's in East African HipHop scene today. @FredrickMulla ,my G @mex_tz from TZ 🇹🇿, Kamba Boy @Mbithi_Kambaboy, & @elisha_elai toka kitambo. Hapa nilijua we are about to have a great time🔥🔥🔥💯 #Sebuleni


SEBULENI: with a blend of rap, live instrumentation, storytelling, & guest collabos, Mulla uses the space to share his journey,roots, & collective East African experience in a way that is both personal & communal. #Sebuleni

ondustrtlawyer's tweet image. SEBULENI: with a blend of rap, live instrumentation, storytelling, &  guest collabos, Mulla uses the space to share his journey,roots, & collective East African experience in a way that is both personal & communal. 

#Sebuleni
ondustrtlawyer's tweet image. SEBULENI: with a blend of rap, live instrumentation, storytelling, &  guest collabos, Mulla uses the space to share his journey,roots, & collective East African experience in a way that is both personal & communal. 

#Sebuleni

On Saturday, I was invited to a well curated Live Music session by @FredrickMulla and the @umojasoundsLive team. HipHop will always sound magical with a liveband, but even more soothing when it's a SILENT Disco session manze. Powerful. #Sebuleni 🧵 Thread

ondustrtlawyer's tweet image. On Saturday, I was invited to a well curated Live Music session by @FredrickMulla and the @umojasoundsLive team. 

HipHop will always sound magical with a liveband, but even more soothing when it's a SILENT Disco session manze. Powerful. 

#Sebuleni

🧵 Thread

HAPANA. Hii kauli ya huyu dada si sawa, huyu mzee ana watoto tena wakubwa na wanaheshimika hapa nchi. Kwa kauli km hizi ni #Utoto uliopitiliza. TUJIHESHIMU TUTAHESHIMIKA. Mambo ya chumbani unapeleka #Sebuleni?

MwlMfugaji's tweet image. HAPANA. Hii kauli ya huyu dada si sawa, huyu mzee ana watoto tena wakubwa na wanaheshimika hapa nchi. 

Kwa kauli km hizi ni #Utoto uliopitiliza. TUJIHESHIMU TUTAHESHIMIKA. 

Mambo ya chumbani unapeleka #Sebuleni?

The only Swahili word I enjoyed in lower primary was #sebuleni 😂 We ulienjoy swahili wird gani ni lower primary...


Sawa mmefiwa Ila Tunakumbuka First Leg mlifinywa 5 #sebuleni kwenu na Salah alisepa na mpira #Mliachika??


“SPECIAL OFFER” GET YOUR AUDIO MUSIC PRODUCED AT 8000/= ONLY Steenie Dee in Relax & Dance Medley 🎶🔥✈️ Youtube : ABIDOH Global Oak Music #Abidoh #Sebuleni #GlobalOakMusic


“SPECIAL OFFER” GET THIS COVER SONG PRODUCTION PACKAGE FOR 7,000/= ONLY Cover Song By Happinness🎶🔥👇🏽 Youtube : Global Oak Music #Abidoh #sebuleni #GlobalOakMusic


“SPECIAL OFFER” GET THIS COVER SONG PRODUCTION PACKAGE FOR 7,000/= ONLY Cover Song By Praise Onjula🎶🔥👇🏽 Youtube : Global Oak Music #Abidoh #sebuleni #GlobalOakMusic


“SPECIAL OFFER” GET YOUR AUDIO MUSIC PRODUCED AT 8000/= ONLY Arthur in 100 Clips Freestyle🎶🔥 Link In Bio #Abidoh #Sebuleni #GlobalOakMusic


“SPECIAL OFFER” GET YOUR AUDIO MUSIC PRODUCED AT 8000/= ONLY Khaqi in Urban Hype Medley 🎶🔥 Link In Bio #Abidoh #Sebuleni #GlobalOakMusic


TANGAZO TANGAZO TANGAZO Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli. Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi. #Sebuleni #Uwajibikaji

slyvanus021's tweet image. TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Wananchi wa Sebuleni tunataka uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Tumechoshwa na uongozi wa anasa usioleta maendeleo ya kweli.
Tunataka uwajibikaji, uwazi na viongozi waadilifu wanaojali wananchi.
#Sebuleni #Uwajibikaji

TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!! Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

YaneKariuki's tweet image. TANGAZO!! TANGAZO!! TANGAZO!!

Serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani hii leo imetoa ilani kali dhidi ya yeyote yule atakayepatikana akichapisha jumbe za kumchafulia jina kiongozi wa sebuleni kwenye mitandao ya kijamii,na kuonya kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa.


Atakuja na kipochi? #PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

Kiganyi_'s tweet image. Atakuja na kipochi? 
#PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

Kipindi Bora Kabisa Kutoka @cloudsplus Channel 294 Ipo @DStv_Tz Kinaitwa SEBULENI Wanaofatilia Wanajua Ubora Wa Kipindi Hiki This Week Kuanzia Saa 1 Kamili Asubuhi Mpaka Saa 4 Asubuhi Atakuwepo @hpolepole Kama Mgeni Usikose kutazama #PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥

ManenoIzaak's tweet image. Kipindi Bora Kabisa Kutoka @cloudsplus Channel 294 Ipo @DStv_Tz Kinaitwa SEBULENI Wanaofatilia Wanajua Ubora Wa Kipindi Hiki

This Week Kuanzia Saa 1 Kamili Asubuhi Mpaka Saa 4 Asubuhi Atakuwepo @hpolepole Kama Mgeni Usikose kutazama 
#PlusXtraUpdates #Sebuleni #DStvChannel294 🔥


Usajili mpya wa team #OnAir Jimmy Jamal LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz, uko na mengi unataka kujua kutoka kwake? Ungana nae hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Usajili mpya wa team #OnAir Jimmy Jamal LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz, uko na mengi unataka kujua kutoka kwake?
Ungana nae hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294.
#Sebuleni #BeLikePlus

Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

#Kazimpango #Sebuleni Tukonaye Mshauri wetu Bi Purity Kinyua tukizungumzia mapenzi katika ndoa Je unajua vipi mapenzi yamepungua katika ndoa yako ? @MmboneMercy1 @KakaZema @cleophasoluoch @DicksonMpapale @marryanne26

Milele_FM's tweet image. #Kazimpango #Sebuleni Tukonaye Mshauri wetu Bi Purity Kinyua tukizungumzia mapenzi katika ndoa Je unajua vipi mapenzi yamepungua katika ndoa yako ? @MmboneMercy1 @KakaZema @cleophasoluoch @DicksonMpapale @marryanne26

Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

MarekaMalili's tweet image. Aziza Ongala mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Remmy Ongala LIVE kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

#Kazimpango #Sebuleni Studioni tukonaye mshauri wetu Bi Purity Kinyua tukizungumzia vile mitandao ya kijamii(Facebook ,twitter,instagram ) imesambaratisha ndoa.... Je unathani mitandao imevunja ndoa nyingi? @MmboneMercy1 @KakaZema @marryanne26 @cleophasoluoch

Milele_FM's tweet image. #Kazimpango #Sebuleni Studioni tukonaye mshauri wetu Bi Purity Kinyua tukizungumzia vile mitandao ya kijamii(Facebook ,twitter,instagram ) imesambaratisha  ndoa.... Je unathani mitandao imevunja ndoa nyingi? @MmboneMercy1 @KakaZema @marryanne26 @cleophasoluoch
Milele_FM's tweet image. #Kazimpango #Sebuleni Studioni tukonaye mshauri wetu Bi Purity Kinyua tukizungumzia vile mitandao ya kijamii(Facebook ,twitter,instagram ) imesambaratisha  ndoa.... Je unathani mitandao imevunja ndoa nyingi? @MmboneMercy1 @KakaZema @marryanne26 @cleophasoluoch

#Kazimpango #Sebuleni Tukonaye Bi Purity Kinyua tukizungumzia kuhusu njia tofauti za kusuluhisha matatizo katika ndoa ... Sema nasi @MmboneMercy1 @KakaZema @marryanne26

Milele_FM's tweet image. #Kazimpango #Sebuleni Tukonaye Bi Purity Kinyua tukizungumzia kuhusu njia tofauti za kusuluhisha matatizo katika ndoa ... Sema nasi @MmboneMercy1 @KakaZema @marryanne26

#kazimpango #Sebuleni Mgeni wetu wa leo anatueleza jinsi ya kuishi na In-Laws ambao ni wasumbufu.... @Kiongozikarani @KakaZema @GlendaAchieng @DicksonMpapale Ushawai kuwa wakwe wasumbufu?

Milele_FM's tweet image. #kazimpango #Sebuleni 
Mgeni wetu wa leo anatueleza jinsi ya kuishi na In-Laws ambao ni wasumbufu.... @Kiongozikarani

@KakaZema @GlendaAchieng @DicksonMpapale

Ushawai kuwa wakwe wasumbufu?

Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz

Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Usajili mpya wa team #OnAir Niffer LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz. Ungana nae kuanzia saa 1 kamili za asubuhi hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Usajili mpya wa team #OnAir Niffer LIVE leo kupitia Sebuleni ya Plus TV na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz.

Ungana nae kuanzia saa 1 kamili za asubuhi hadi saa 4 kamili za asubuhi kupitia king'amuzi cha DStv channel namba 294.
#Sebuleni #BeLikePlus

Kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na baadhi ya nominees wa tuzo za consumer choice awards ambapo tutaangazia 'umuhimu wa tuzo katika biashara'. Kuanzia saa 1 asubuhi na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz hadi saa 4 LIVE on DStv channel namba 294. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. Kesho kupitia Sebuleni ya @plustvtz na baadhi ya nominees wa tuzo za consumer choice awards ambapo tutaangazia 'umuhimu wa tuzo katika biashara'.

Kuanzia saa 1 asubuhi na @geeftswai @sikawa1111 & @kevinlamecktz hadi saa 4 LIVE on DStv channel namba 294.
#Sebuleni #BeLikePlus

"Understanding Nakuru Children's court".....ndani ya Sebuleni naye @OgolaBenedict akimshirikisha Senior Resident Magistrate Hon Daisy Mosse. #Sebuleni #WeweNaMimiDaima

radio_yetu's tweet image. "Understanding Nakuru Children's court".....ndani ya Sebuleni naye @OgolaBenedict akimshirikisha Senior Resident Magistrate Hon Daisy Mosse.
#Sebuleni
#WeweNaMimiDaima

cha DStv Channel namba 294 kuzungumza nawe Mtanzania. - #Sebuleni #BeLikePlus

ManenoIzaak's tweet image. cha DStv Channel namba 294 kuzungumza nawe Mtanzania.
-
#Sebuleni #BeLikePlus

RoseMary Chambi, Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili LIVE leo kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

Kiganyi_'s tweet image. RoseMary Chambi, Mwandishi na mmiliki wa kamusi ya Kichina - Kiswahili LIVE leo kwenye Sebuleni ya @Plustvtz na @geeftswai, @Sikawa1111 & @kevinlamecktz kuanzia saa 1 za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi. #Sebuleni #BeLikePlus

officielsalome's tweet image. Kueleke pambano lake la Novemba 28 dhidi ya Idd Pialari pale Next Door Arena, bondia Arnel Tinampay LIVE leo hii kupitia Sebuleni ya @plustvtz na @geeftswai & @Sikawa1111 @kevinlamecktz

Sebuleni iko hewani hadi saa 4 kamili za asubuhi.
#Sebuleni #BeLikePlus

Siku njema huanza asubuhi, na kupitia kipindi #SEBULENI utapata muangaza wa taarifa mbalimbali ikiwemo michezo. Tazama kipindi #SEBULENI kila siku ya Jumatatu-Ijumaa saa 1 - 4 asubuhi kupitia @cloudsplus 294 kwa kifurushi cha Bomba 19,000 tu. #KilaMtuMachoKodo

DStv_Tz's tweet image. Siku njema huanza asubuhi, na kupitia kipindi #SEBULENI utapata muangaza wa taarifa mbalimbali ikiwemo michezo.
Tazama kipindi #SEBULENI kila siku ya Jumatatu-Ijumaa saa 1 - 4 asubuhi kupitia @cloudsplus 294 kwa kifurushi cha Bomba 19,000 tu.
#KilaMtuMachoKodo

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.