ArchtEngineer's profile picture. Architectural Engineer 2020|Politician|Food lover

Archt. Engineer

@ArchtEngineer

Architectural Engineer 2020|Politician|Food lover

Archt. Engineer reposted

Kazi na utu, tunasonga mbele Tanzania 🇹🇿 imara, CCM imara

Daudi_Kasimu's tweet image. Kazi na utu, tunasonga mbele
Tanzania 🇹🇿 imara, CCM imara

Archt. Engineer reposted

Tanzania chini ya Rais Samia imeandaa mikutano mikubwa ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na #W20Summit, ikionesha kuwa mwanamke anaweza kuongoza kwa umahiri duniani. Uongozi wake umetufungulia fursa mpya! #WanawakeMbele #SamiaNiJibu

Daudi_Kasimu's tweet image. Tanzania chini ya Rais Samia imeandaa mikutano mikubwa ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na #W20Summit, ikionesha kuwa mwanamke anaweza kuongoza kwa umahiri duniani. Uongozi wake umetufungulia fursa mpya! #WanawakeMbele #SamiaNiJibu
Daudi_Kasimu's tweet image. Tanzania chini ya Rais Samia imeandaa mikutano mikubwa ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na #W20Summit, ikionesha kuwa mwanamke anaweza kuongoza kwa umahiri duniani. Uongozi wake umetufungulia fursa mpya! #WanawakeMbele #SamiaNiJibu
Daudi_Kasimu's tweet image. Tanzania chini ya Rais Samia imeandaa mikutano mikubwa ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na #W20Summit, ikionesha kuwa mwanamke anaweza kuongoza kwa umahiri duniani. Uongozi wake umetufungulia fursa mpya! #WanawakeMbele #SamiaNiJibu

Archt. Engineer reposted

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Simba SC 📆 08.03.2025 🏟 Benjamin Mkapa 🕖 01:15 Usiku #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

YoungAfricansSC's tweet image. 🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 

🏆 #NBCPremierLeague 
⚽️ Young Africans SC🆚Simba SC
📆 08.03.2025
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 01:15 Usiku

#TimuYaWananchi 
#DaimaMbeleNyumaMwiko

Archt. Engineer reposted

Visingizio visiwe vingi LETENI TIMU UWANJANI baada ya mchezo tutapigwa faini baada ya kuchunguzwa, ila muhimu 3 points ahead. #DaimaMbeleNyumaMwiko

Daudi_Kasimu's tweet image. Visingizio visiwe vingi LETENI TIMU UWANJANI baada ya mchezo tutapigwa faini baada ya kuchunguzwa, ila muhimu 3 points ahead.
#DaimaMbeleNyumaMwiko

Archt. Engineer reposted

Hawa ni watu muhimu sana kwa maendeleo endelevu ya jamii nyingi za KITANZANIA. Wana fanya kazi bila kushoka kuhakikisha familia zao zina Ustawi na kumea vizuri. Mungu awatunze siku zote watu hawa

Daudi_Kasimu's tweet image. Hawa ni watu muhimu sana kwa maendeleo endelevu ya jamii nyingi za KITANZANIA.
Wana fanya kazi bila kushoka kuhakikisha familia zao zina Ustawi na kumea vizuri. Mungu awatunze siku zote watu hawa

Archt. Engineer reposted

Kaz iendeleee

semboj's tweet image. Kaz iendeleee

Archt. Engineer reposted

Miaka minne ya Mama Samia imeleta mafanikio makubwa katika kujenga taifa imara katika ulinzi na usalama. Uongozi wake umeimarisha vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuongeza vifaa vya kisasa na mafunzo ya askari. ...........

Ndunguruthom's tweet image. Miaka minne ya Mama Samia imeleta mafanikio makubwa katika kujenga taifa imara katika ulinzi na usalama. 

Uongozi wake umeimarisha vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuongeza vifaa vya kisasa na mafunzo ya askari. 
...........

Archt. Engineer reposted

Hongera sana Mhe Rais @SuluhuSamia kwa hili la maboresho makubwa yanayoenda kufanyika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Serikali ya Korea, Maboresho haya ambayo yatagharimu takribani trilion 1.2 ambapo baada ya kukamilika itasaidia kuongeza idadi ya vitanda vya…

barakawamb's tweet image. Hongera sana Mhe Rais @SuluhuSamia kwa hili la maboresho makubwa yanayoenda kufanyika  Hospitali ya Taifa Muhimbili  kwa kushirikiana na Serikali ya Korea,
Maboresho haya ambayo yatagharimu  takribani trilion 1.2
ambapo baada ya kukamilika itasaidia kuongeza idadi ya vitanda vya…

Archt. Engineer reposted

Nchi Imefunguka atakae na aje Rais Dkt @SuluhuSamia akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi Audrey Azoulay leo ikulu,kuna neema inakuja kwenye elimu na sayansi, haya ndio mambo tuyatakayo, Rais Samia…

barakawamb's tweet image. Nchi Imefunguka atakae na aje 
Rais Dkt @SuluhuSamia akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi Audrey Azoulay leo ikulu,kuna neema inakuja kwenye elimu na sayansi, haya ndio mambo tuyatakayo, Rais Samia…
barakawamb's tweet image. Nchi Imefunguka atakae na aje 
Rais Dkt @SuluhuSamia akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi Audrey Azoulay leo ikulu,kuna neema inakuja kwenye elimu na sayansi, haya ndio mambo tuyatakayo, Rais Samia…
barakawamb's tweet image. Nchi Imefunguka atakae na aje 
Rais Dkt @SuluhuSamia akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi Audrey Azoulay leo ikulu,kuna neema inakuja kwenye elimu na sayansi, haya ndio mambo tuyatakayo, Rais Samia…
barakawamb's tweet image. Nchi Imefunguka atakae na aje 
Rais Dkt @SuluhuSamia akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bi Audrey Azoulay leo ikulu,kuna neema inakuja kwenye elimu na sayansi, haya ndio mambo tuyatakayo, Rais Samia…

Archt. Engineer reposted

Mambo ya Kuzingatia ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadan; 1.Kuswali swala tano 2.Kusoma Qur-an 3.Kutoa Sadaka 4.Kufanya matendo mema kama Kuacha usengenyaji, kuvaa stara, kuacha kuzini n.k KUMBUSHA HAKIKA YA UKUMBUSHO UTAMFAA MUUMINI🙏 RAMADAN KAREEM WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU 💫

halima_masudi's tweet image. Mambo ya Kuzingatia ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadan;
1.Kuswali swala tano
2.Kusoma Qur-an
3.Kutoa Sadaka
4.Kufanya matendo mema kama Kuacha usengenyaji, kuvaa stara, kuacha kuzini n.k

KUMBUSHA HAKIKA YA UKUMBUSHO UTAMFAA MUUMINI🙏

RAMADAN KAREEM WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU 💫
halima_masudi's tweet image. Mambo ya Kuzingatia ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadan;
1.Kuswali swala tano
2.Kusoma Qur-an
3.Kutoa Sadaka
4.Kufanya matendo mema kama Kuacha usengenyaji, kuvaa stara, kuacha kuzini n.k

KUMBUSHA HAKIKA YA UKUMBUSHO UTAMFAA MUUMINI🙏

RAMADAN KAREEM WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU 💫

Archt. Engineer reposted

Serikali ya CCM inaendelea na uboreshaji wa bandari katika ziwa victoria ambako mpaka sasa bandari ya Bukoba iko 88%,Mwanza kaskazini 58% na Kemondo bay 99% imekamilika Hakika sisi wana mwanza tunajali na kuthamini kazi ya serikalu katika mkoa wetu na hakuka Mchezq kwao hutuzwa

Hamisi_S_Mkali's tweet image. Serikali ya CCM inaendelea na uboreshaji wa bandari katika ziwa victoria  ambako mpaka sasa bandari ya Bukoba iko 88%,Mwanza kaskazini 58% na Kemondo bay 99% imekamilika 
Hakika sisi wana mwanza tunajali na kuthamini kazi ya serikalu katika mkoa wetu na hakuka Mchezq kwao hutuzwa

Archt. Engineer reposted

Serikali ya rais @SuluhuSamia imepeleka umeme kwenye vitongoji 33,657 kati ya vitongoji 64,359 na kazi ya kusambaza umeme kwenye vitongoji vilivyo baki inaendelea kwa kasi kubwa. Hongera sana Mama kwa kazi kubwa na nzuri.

Daudi_Kasimu's tweet image. Serikali ya rais @SuluhuSamia imepeleka umeme kwenye vitongoji 33,657 kati ya vitongoji 64,359 na kazi ya kusambaza umeme kwenye vitongoji vilivyo baki inaendelea kwa kasi kubwa.
Hongera sana Mama kwa kazi kubwa na nzuri.

Archt. Engineer reposted

Nawatakia ndugu zetu Wakristo kheri katika Kipindi cha Kwaresima. Katika kipindi hiki cha siku arobaini za ibada, kufunga na kufanya toba, tuendelee kuiombea nchi yetu amani, upendo, umoja, utulivu na yote yaliyo mema, huku tukiwakumbuka wenye uhitaji. Tutumie pia kipindi hiki…

SuluhuSamia's tweet image. Nawatakia ndugu zetu Wakristo kheri katika Kipindi cha Kwaresima. Katika kipindi hiki cha siku arobaini za ibada, kufunga na kufanya toba, tuendelee kuiombea nchi yetu amani, upendo, umoja, utulivu na yote yaliyo mema, huku tukiwakumbuka wenye uhitaji.

Tutumie pia kipindi hiki…

Archt. Engineer reposted

Leo ni jumatano ya majivu na Kesho ni mwanzo wa mfungo wa kwaresma. Kila la kheri nyote, Mungu awape nguvu na hekima katika mwezi huu

Daudi_Kasimu's tweet image. Leo ni jumatano ya majivu na Kesho ni mwanzo wa mfungo wa kwaresma.
Kila la kheri nyote, Mungu awape nguvu na hekima katika mwezi huu

Archt. Engineer reposted

Diplomasia ya @SuluhuSamia ni ya kuigwa na viongozi wengine barani Africa. Mission 300 🌍 kwa maendeleo endelevu barani Africa

Daudi_Kasimu's tweet image. Diplomasia ya @SuluhuSamia ni ya kuigwa na viongozi wengine barani Africa. Mission 300 🌍 kwa maendeleo endelevu barani Africa

Archt. Engineer reposted

Nawatakia Waislamu wote kheri na mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atuongoze na kutusimamia kwenye Ibada hii muhimu katika imani, aipe kibali cha kheri na kuipokea. Katika Ibada hii na kama ambavyo tumeendelea kufanya wakati wote,…

SuluhuSamia's tweet image. Nawatakia Waislamu wote kheri na mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atuongoze na kutusimamia kwenye Ibada hii muhimu katika imani, aipe kibali cha kheri na kuipokea. 
 
Katika Ibada hii na kama ambavyo tumeendelea kufanya wakati wote,…

Archt. Engineer reposted

Ramadan kareem Mwezi huu uwe wa baraka kwetu na utukumbushe yale yote yaliyo na yanayo tokea ni kwa sababu ya Allah.

Daudi_Kasimu's tweet image. Ramadan kareem
Mwezi huu uwe wa baraka kwetu na utukumbushe yale yote yaliyo na yanayo tokea ni kwa sababu ya Allah.

Archt. Engineer reposted

Vijiji vyote 763 vya Tanga vimeunganishwa kwenye gridi ya taifa, 75% ya vitongoji vina umeme. Kituo cha Handeni kimeimarisha huduma huko na Kilindi. Mkinga ina vijiji 85, vitongoji 235 vyenye umeme. Juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Samia zinaleta nishati kwa wote.

Daudi_Kasimu's tweet image. Vijiji vyote 763 vya Tanga vimeunganishwa kwenye gridi ya taifa, 75% ya vitongoji vina umeme. Kituo cha Handeni kimeimarisha huduma huko na Kilindi. Mkinga ina vijiji 85, vitongoji 235 vyenye umeme. Juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Samia zinaleta nishati kwa wote.

Kila la kheri Twiga stars katika mchezp wenu wa kufuzu AFCON 2026 dhidi ya Equatorial Guinea

ArchtEngineer's tweet image. Kila la kheri Twiga stars katika mchezp wenu wa kufuzu AFCON 2026 dhidi ya Equatorial Guinea
ArchtEngineer's tweet image. Kila la kheri Twiga stars katika mchezp wenu wa kufuzu AFCON 2026 dhidi ya Equatorial Guinea
ArchtEngineer's tweet image. Kila la kheri Twiga stars katika mchezp wenu wa kufuzu AFCON 2026 dhidi ya Equatorial Guinea

Archt. Engineer reposted

Chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan, kilimo Tanzania kimeona mafanikio makubwa. Mpango wa BBT-YIA umezinduliwa kwa ajili ya vijana, benki za kilimo zimeimarishwa kwa mtaji wa bilioni 208, na mikopo ya riba nafuu (10%) inapatikana.

Daudi_Kasimu's tweet image. Chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan, kilimo Tanzania kimeona mafanikio makubwa. Mpango wa BBT-YIA umezinduliwa kwa ajili ya vijana, benki za kilimo zimeimarishwa kwa mtaji wa bilioni 208, na mikopo ya riba nafuu (10%) inapatikana.

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.