You might like
Watanzania ukiachana na Ujinga Maradhi Umasikini Tunasumbuliwa na Wivu Chuki Nyege
Sema hata Gen Z Kenya walionekana ni kelele tu za mtandaoni ila mwisho wa siku yako wapi
Na vijana wataamka na # ya ilikuwa ni utani kesho…kmmk sijui nani katuroga
Me naamini haya yote yanatokea kwa mipango ya Mungu kutuonesha tunaongozwa na viongozi wa aina gani na hatua gani tuchukue
Hii nchi bhana😂😂😂😂😂😂😂😂
This level of arrogance is Top notch, hongera @SuluhuSamia
Hakuna mtu huwa anajisahau haraka kama Nape… Bahati nzuri nilikua nae bungeni wakati Magufuli ameshughulika nae, alikua anatia huruma sana .. leo kasogea kwenye meza ya chakula ameshiba na anawatapikia Watanzania. Kitu kimoja ninamshukuru kwamba amesema ukweli kuwa, Nchi hii…
Ukweli mchungu
THE POLICE AFTER A LONG DAY OF WORK 😂😂😂😂😂😅😅
Mh. @Nnauye_Nape what is this !? Really unajivuna haya mbele ya cameras ? Then mnakuja kuhubiri haki na amani wakati mioyo na mikono yenu imejaa dhuluma! Hamtaishi milele... Hivi vyeo vinawasahaulisha kujua everything in this life is for rent. Ila tunawashukuru kwa kuyasema…
Hizi kauli zimetoka kwa waziri aliyewahi kusoma goli la mkono -- Kushinda uchaguzi inategemea ni nani anayehesabu kura , sio kwamba ni zile kura zilizopigwa anayeamua ni yule anayehesabu ndiye anapanga mshindi -- Mimi mbinu cha kushinda uchaguzi nazijua nyingi tu, uwa…
Hivi mtu huwezi kula ukashiba ukaa kimya ili kesho ule tena gizani kama ulivyozoea mpaka upige kelele huko nje wenye njaa wakusikie kama ulikula mikuku jana yake? Nimeona video ya Pena nimesikitika sana. Anawapa shida tu wenzie kuanza kujieleza bila sababu zozote za msingi.
Hizi kauli zimetoka kwa waziri aliyewahi kusoma goli la mkono -- Kushinda uchaguzi inategemea ni nani anayehesabu kura , sio kwamba ni zile kura zilizopigwa anayeamua ni yule anayehesabu ndiye anapanga mshindi -- Mimi mbinu cha kushinda uchaguzi nazijua nyingi tu, uwa…
kuna watu wanapiga makofi?
🚨🚨 CCM ADMITTING RIGGING‼️🚨 “Quos Deus vult perdere, prius dementat” Those whom God wishes to destroy, He first deprives of reason Minister of Communications admitting to using “semi-legal” and illegal means to win elections in #Tanzania Mungu anapoamua kukumaliza anakupiga…
Hakuna shido
Hiii siku imekaa kama kuonja Konyago.. kingo ya malelio..
Kwasababu tunaipenda nchi yetu, tunataka tukae hapa hapa tuendelee kujiteka ndo furaha yetu.
Kwanini Watanzania wengi hawakimbilii fursa za ajira nje ya nchi tofauti na mataifa mengine ya Afrika? swahilitimes.co.tz/2024/07/kwanin…
Sema demand ya ganja itakuwa kubwa sana kuna haja kuiangali kibiashara
Na wanajisahaugi sana kwenye hili
Aliyewaambia madereva wa bolt jero sio chenchi ni nani?
Sio wao tu, siku hizi kokote unakoenda ukilipa bili likibaki buku au jero wanajikausha hawarudishi
Aliyewaambia madereva wa bolt jero sio chenchi ni nani?
Kila dereva wa bolt atakuambia mia tano Sina maana wanajua utawaachia.
Aliyewaambia madereva wa bolt jero sio chenchi ni nani?
United States Trends
- 1. Shakur N/A
- 2. #UFC325 N/A
- 3. Volk N/A
- 4. Keyshawn N/A
- 5. #boxing N/A
- 6. Happy Black History Month N/A
- 7. Conor Benn N/A
- 8. Tank N/A
- 9. Connor Storrie N/A
- 10. #RING6 N/A
- 11. Ortiz N/A
- 12. Keon N/A
- 13. Haney N/A
- 14. Cavs N/A
- 15. Kings N/A
- 16. Schroder N/A
- 17. Dan Hooker N/A
- 18. #Mashle N/A
- 19. Shu Shu N/A
- 20. Ruffy N/A
You might like
-
Spana & V.A.R Movement
@spana_Konki -
mwaisa_mtumbad
@Nyonyoma1 -
Samatime Car Dealers Co Ltd
@samatimemagari -
ZITATU
@max_zitatu -
Salama Zalhata Jabir
@EceJay -
John kalage 🇹🇿
@kalage_jr -
CZAR 👑 ₿
@Defi_CZAR -
Lubasha Jr
@MarekaMalili -
JKT Tanzania Football Club
@JKT_Tanzania_FC -
Adventure-360
@Adventure_36 -
Salim Kikeke
@Salym -
Mohammed Dewji MO
@moodewji -
Swahili Times
@swahilitimes -
M A G I R I
@Kiganyi_ -
Jebra Kambole
@Advocate_Jebra
Something went wrong.
Something went wrong.