EducatedJobless's profile picture. ✌DO YOUR THING AS I DO MINE✌ *Philanthropy *Godfear *student of TRUTH #StayWise_Quit_Listen #RaisedFromStreet #BHRM #MBA_HRM #StillJobless #Hustler

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience

@EducatedJobless

✌DO YOUR THING AS I DO MINE✌ *Philanthropy *Godfear *student of TRUTH #StayWise_Quit_Listen #RaisedFromStreet #BHRM #MBA_HRM #StillJobless #Hustler

Itoshe kusema kwamba kupitia CDM TAL na timu yake wametudundisha mengi sana kuhusu siasa za Tanzania na nina imeani wengi tumejifunza kitu, Tulikua hatuna upinzani Tanzania bali ni kikundi cha wahuni waliokoa wanalamba asali kimywa kimywa iliyokua inadondoshwa kutoka CCM


Ila @CRDBBankPlc, yaani wakiona hela kwenye akaunti yako watahakikisha wanaimaliza kwenye makato, mara hawataki utoe hela dirishani wanataka utoe kwa wakala sijui simbanking, mara sijui check book. Asee ni hatari na nusu, rasmi akaunti yangu naifunga, ushauri wa bank ingine pls


And the point are the same, Corruption, power mongers, poor governance, unemployment, low wages, lack of democracy, poor infrastructure, poor education system, favoritism in government system……… etc

EducatedJobless's tweet image. And the point are the same, Corruption, power mongers, poor governance, unemployment, low wages, lack of democracy, poor infrastructure, poor education system, favoritism in government system……… etc

Matamko yaliyotolewa na baadhi ya viongozi wa makanisa dhidi ya malalamiko ambayo wananchi wamekua wakiyatoa kwa serikali haswa suala la utekaji, katiba mpya na uchaguzi yameonyesha kwamba kuna dini na makanisa viongozi wao wapo kwa ajili ya kuchumia matumbo yao, Tujiangalie


IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

“miaka ya nyuma mkazo mkubwa ulikuwa elimu kwa watu wazima ili kuwatoa ujinga, sasa hivi kazi kubwa inapaswa kupewa mkazo ni kuwatoa ujinga vijana” - Profesa Mwesiga Baregu

IAMartin_'s tweet image. “miaka ya nyuma mkazo mkubwa ulikuwa elimu kwa watu wazima ili kuwatoa ujinga, sasa hivi kazi kubwa inapaswa kupewa mkazo ni kuwatoa ujinga vijana” - Profesa Mwesiga Baregu

We hope criticism shall not be illegal, if we chooses democracy then we shall let people speak out their opinions #FreeMdudeNyangali

EducatedJobless's tweet image. We hope criticism shall not be illegal, if we chooses democracy then we shall let people speak out their opinions #FreeMdudeNyangali

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

Kwa vijana wote wapambanaji ambao ndiyo kwanza wanatengeneza maisha yao na ya familia zao kuanzia chini kabisa. Bila kuwa na watu wa kuwashika mkono, Connection, Urithi wala msaada wa ndugu. MUNGU mkuu aendelee kusimama pamoja nanyi. Mapambano yenu yaje kulipa.

ayubu_madenge's tweet image. Kwa vijana wote wapambanaji ambao ndiyo kwanza wanatengeneza maisha yao na ya familia zao kuanzia chini kabisa. Bila kuwa na watu wa kuwashika mkono, Connection, Urithi wala msaada wa ndugu. MUNGU mkuu aendelee kusimama pamoja nanyi. Mapambano yenu yaje kulipa.

Wazazi wetu wana Invest sana kwenye kuwapeleka watoto shule, Mbaya zaidi ni familia maskini zinauza hadi mali zao kupeleka watoto shule bila kujua wanatengeneza msongo zaidi wa mtoto wao kwa baadae, Unamaliza shule unarudi nyumbani kuwa mlevi wa visungura na mali zote zimeuzwa


After few years @CrownMediaTZ itakuja kuwamedia kubwa sana Bongo


IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

Video hii ukiiona kwa TL yako wewe Repost Tu 🔥 Rostam Aziz ,kuhusu mahakama zetu


Kiongozi mkubwa ccm kusema kuna genge la watekaji linataka kufarakanisha taifa, kitendo cha watu kusimamisha usafiri wa umma na kuondoka na mtu na kwenda kumuua kwa kujitambulisha kama polisi, Ni ishara mbaya sana kwa serikali na mamlaka zake na itakua busara watu wakijiwajibisha


IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

Dhamira yako ni kuwa Kiongozi Bora, nmeiona baada ya kuona unapata fursa pekee kama Kijana wa Tanzania kuhudhuria mafunzo kadhaa ya kimataifa ya Uongozi. Tuungane kumtafuta @DEUSDEDITHSOKA na Wenzake huenda ni Waziri Mkuu wako ukiwa Rais wa Nchi hii.. Ahsante sana

HwenuNg93942's tweet image. Dhamira yako ni kuwa Kiongozi Bora, nmeiona baada ya kuona unapata fursa pekee kama Kijana wa Tanzania kuhudhuria mafunzo kadhaa ya kimataifa ya Uongozi. Tuungane kumtafuta @DEUSDEDITHSOKA na Wenzake huenda ni Waziri Mkuu wako ukiwa Rais wa Nchi hii..
Ahsante sana

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

Tujipongeze kwa repost 200 kwa mzee wetu anaezeeka na akili zake timamu.

Sativa255's tweet image. Tujipongeze kwa repost 200 kwa mzee wetu anaezeeka na akili zake timamu.

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted
godbless_lema's tweet image.

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

IDIOTmaasai #CactusHouseExperience reposted

"Mtu akija kukukamata akijitamburisha yeye ni Polisi mpige kwanza Selfie mpost kwenye magroup ya Whatssap" Gwajima


Tuna imani kubwa kwamba mpaka sasa hivi wote walio husika na unyanyasaji huu wamekamatwa na taratibu zinaendelea, nitashangaa sana kama bado hamna aliyekamatwa

EducatedJobless's tweet image. Tuna imani kubwa kwamba mpaka sasa hivi wote walio husika na unyanyasaji huu wamekamatwa na taratibu zinaendelea, nitashangaa sana kama bado hamna aliyekamatwa

Miaka kadhaa hapo nyuma nchi yetu iliharibiwa sana, Ilikua sifa ya kuwa kiongozi iwe wa kuchaguliwa kwa kura au kulamba teuzi ni lazima uwe chawa na mlamba viatu wa wenye madaraka, hii imetuharibia sana wasomi, wazee, vijana na wana hatakati. Sasa hv kulamba viatu ni heshima pia


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.