EngPatricTimoth's profile picture. CEO(Pattie Investment)
Engineer🇹🇿
Back to sender🚶‍♂️

#SWSWSWSW🤫
Diehard fan @COYG @forcabarçà

PATRIC

@EngPatricTimoth

CEO(Pattie Investment) Engineer🇹🇿 Back to sender🚶‍♂️ #SWSWSWSW🤫 Diehard fan @COYG @forcabarçà

Mchawi wa arsenal ni arsenal mwenyewe. Arteta tusipobeba ndoo atupishe sasa tutamshukuru kwa kuijenga time. #arsenal


Shanga ulivalia tumboni ama zimepanda tu?

🏴🏴🏴

YcuL___'s tweet image. 🏴🏴🏴


Alijaribu kufanya yanayotakiwa ila wamemla kichwa.

Nilijua usingedumu kwenye nafasi hii......wenzio wanataka wasiwe wanavaa uniform, tena wawe wanaenda usiku wa manane kukamata raia!!



PATRIC reposted

Unapoanza kukua , unaanza kuelewa baba yako alikuwa tu mwanamume pia anayejaribu kadiri ya maarifa aliyokuwa nayo kupambana na maisha. Msamahe , kwani pia alikuwa akiishi maisha kwa mara ya kwanza.


You took these pictures to sent to his dad?

2 of the best years of my life so far

therealkimj's tweet image. 2 of the best years of my life so far
therealkimj's tweet image. 2 of the best years of my life so far
therealkimj's tweet image. 2 of the best years of my life so far
therealkimj's tweet image. 2 of the best years of my life so far


PATRIC reposted

Pressure ya kuwa provider inaanza mapema kuliko unavyodhani. Wakati wewe bado unajijenga,familia tayari imeanza kukuona kama tumaini lao. Hakuna aliyekuuliza kama uko tayari,ilikuja tu kama majukumu ya kuzaliwa.


PATRIC reposted

“Mwanamke unayeweza kumpata Leo usisubiri kesho”

Kitu watu wanafeligi kwenye talking stage nikung’ang’ania kumdadisi mwanamke kwenye simu na unakuta hata hajawahi onana nae hata mara mbili, ni siku hio hio wameonana anataka amalize kazi usiku wake. Fanya hivi Kama ni number yake umeshapata kitu cha kwanza cha -



PATRIC reposted

kwanza wewe ushaoa deal na mke ambao hawajaoa ndo wahangaike na kutafuta watu


Majibu si wako nayo kaka wanaangalia namna ya kupindisha ukweli sasa.

This post is unavailable.

PATRIC reposted

Familia


Akili kubwa

"Sisi tuna hospitali wagonjwa walikuja kutibiwa Polisi wakaja wakasema tusiwatibu tuwapeleke Mochwari" Father Kitima Ripoti ya CNN ilisema hili jambo la Askari kuchukua wagonjwa waliopigwa Risasi na kuenda kuwamalizia-Leo katibu wa TEC Father Kitima Anaongelea pia kwa uchungu…



PATRIC reposted

No…bado kufikisha income yake…i dont need that many kids…thank you😊🙏🏽


PATRIC reposted

Ee MUNGU siku nikiwa na nafasi ya maamuzi usiache kunivisha vazi la Unyenyekevu na hofu yako. Nijaalie niwe mtulivu na msikivu hasa kwa wale wasiokubaliana nami na niongoze kwa maono makubwa. Nifanye maamuzi kwa kuvaa viatu vya hali halisi ya maisha ya wale ninaowaongoza.


PATRIC reposted

Machozi ya watu yatamlilia MUNGU naye atabadili jana za giza kuwa kesho za Mwanga na Nuru. Haijalishi nyakati ni ngumu kiasi gani, haijalishi hofu ni kubwa kwa kiwango gani, mkono wake wa nguvu utajibu.


PATRIC reposted

Shetani akitaka kukuangusha anakupa Kiburi, jeuri na dharau. Anakufanya ujione una uwezo wa kufanya lolote unalotaka wewe bila kujali lolote. Anakufanya ujione una Upekee wa ajabu usiolinganishwa na binadamu yeyote yule.


PATRIC reposted

¿Y TÚ ERES MADRE TAMBIÉN ? Hii kauli ya Rais Samia, sio kauli ambayo unategemea kuisikia kutoka kwa MAMA, wala kutoka kwa COMFORTER IN CHIEF. Mama zangu (wakubwa na wadogo), Mama Mzazi, Shangazi zangu na even Dada zangu ambao tayari wana Watoto, wote kila mmoja kwa Wakati wake…

Wakazi's tweet image. ¿Y TÚ ERES MADRE TAMBIÉN ?

Hii kauli ya Rais Samia, sio kauli ambayo unategemea kuisikia kutoka kwa MAMA, wala kutoka kwa COMFORTER IN CHIEF. Mama zangu (wakubwa na wadogo), Mama Mzazi, Shangazi zangu na even Dada zangu ambao tayari wana Watoto, wote kila mmoja kwa Wakati wake…
Wakazi's tweet image. ¿Y TÚ ERES MADRE TAMBIÉN ?

Hii kauli ya Rais Samia, sio kauli ambayo unategemea kuisikia kutoka kwa MAMA, wala kutoka kwa COMFORTER IN CHIEF. Mama zangu (wakubwa na wadogo), Mama Mzazi, Shangazi zangu na even Dada zangu ambao tayari wana Watoto, wote kila mmoja kwa Wakati wake…

PATRIC reposted

PATRIC reposted

Ewe mwanadamu ambaye nawe hautaishi milele hapa duniani, ewe mwanadamu ambaye siku zako zinahesabika, tena uliumbwa kwa mavumbi na mavumbini utarudi, unawezaje kushangilia mambo mabaya yaliyowapata wanadamu wenzako? Unawezaje kukejeli na kudhihaki katika nyakati hizi?


PATRIC reposted

Samia Suluhu Hassan is NOT my President. RT if you agree.


PATRIC reposted

When the government fails to change the lives of the people, the people must change the government.


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.