You might like
Maisha ya Mwanaume ni kutafuta kila kitu... utafute Mke, Pesa, amani ,usingizi na bado utafute ufalme wa Mbinguni..🙌🏿
Dada Kama umetokea kwenye zile familia ambazo mama ndio muamuzi mkuu wa familia jua wewe hufai kua mke , utaishia kumsumbua tu mkaka wa watu kwa kiburi chako na kukosa adabu 😎 .
• Nilikutongoza . • Nimekuona unastahili kuwa mke wangu. • Nilikwenda kwa wazazi wako kuwajulisha nia yangu kwa binti yao. • Nilitumia mamilioni ya mahari yako na bidhaa nilizopewa kununua kama orodha yako ya ndoa. • Unakuwa jukumu langu kuanzia sasa. • Sasa, sina budi…
Nilichokuja kugundua wanaume hata sio watu wabaya ila sisi wanawake ni wajinga😆🙌🏾
Mafanikio yako yatawakera watu wengi hata wale ambao walitamani ufanikiwe, watu hupenda kuona shida tu kwa watu,wanapenda mfanane kimaisha ukipiga hatua ni chukizo kwao na endapo ukifanikiwa kuwazidi ndio balaa linazidi📌
Ukitongoza manzi mpya akaanza kwa kuomba pesa mapema, temana nae. Usitumie pesa kama kigezo kikuu cha kumpata. Kuna Potassium nyingi sana mtaani sikuhizi hazina baya.
Ukimya ni kinga, hasa unapopiga hatua kwenye fedha. Watu wanaweza kumtaja Mungu unapofeli, lakini wakakutaja wewe unapofanikiwa. Hivyo, ukipata mafanikio, punguza kelele, ongeza maombi, na endelea mbele bila kutafuta makofi.
Kama mwanaume wa miaka 30, mwanamke mkubwa zaidi wa kuchumbiana naye awe na miaka 24. Mwanamke aliye juu ya umri huo afuate wanaume walio na umri mkubwa zaidi. Thread:👇
Mkumbushe mwanao kwamba mlinzi getini kwako, huku kwetu ni mlezi wa familia na ni mtu muhimu sana kwetu….
Giza litakuja mchana utagueka usiku ghafla ambavyo haijawahi kutokea, kila mmoja atalishuhudia. Mwenye masikio na asikie. Tembelea #CodeszaUnabii
Nikiingia kwako nipate a 32 inch TV, I won't expect a lot from you. Hata nikiwalk out bila kunywa maji kutoka kwako is expected and accepted coz that is a clear indication life hasn't been easy on you.
Wanangu, Kama upo salama comment hapa.🫡
Kuwa mkimya na mpole haimanishi huyo mtu ni mwema sana je ushawahi kuona nyoka Anaongea?✍
Success is not an accident 🟡🔵
Moja ya nchi yenye wanasiasa wanafiki kupita zote duniani ni Tanzania
Sio kila siku we ndio wa kuomba kwa Mungu siku nyingine we shukuru Tu 🤲
Goodmorning! Jamaa yako anayekupambania na wewe upate chochote kitu yupo bega kwa bega ukiwa na hali ya chini huyo ndio rafiki na ndugu binadamu wa hivo wapo wachache sana
United States Trends
- 1. Cam Thomas N/A
- 2. Pacers N/A
- 3. Zubac N/A
- 4. Dizzy N/A
- 5. Opus 4.6 N/A
- 6. $AMZN N/A
- 7. Clippers N/A
- 8. Mathurin N/A
- 9. Pat Riley N/A
- 10. Blaze N/A
- 11. Josh Harris N/A
- 12. Hali N/A
- 13. Seth Jarvis N/A
- 14. Phase N/A
- 15. Sankey N/A
- 16. Milwaukee N/A
- 17. Lookman N/A
- 18. HAZBINTOOZ N/A
- 19. Kawhi N/A
- 20. Shams N/A
Something went wrong.
Something went wrong.