LabaniLaurent's profile picture. My special I've more dream in my life

mr logarithmic 👊

@LabaniLaurent

My special I've more dream in my life

mr logarithmic 👊 reposted

RAIS SAMIA AHUTUBIA TAIFA NA KUTOA SALAAMU ZA MWAKA MPYA


🙏🙏🙏🙏na me pia


mr logarithmic 👊 reposted

anafb immediately @deebarbershop


Fact 🙌🙌

Tunaishi zama ambazo mwenye dhambi ana muhukumu mwenye dhambi mwenzake kwa kufanya dhambi tofauti na anazo fanya yeye.



Fact🙌🙌

Tunaishi zama ambazo mwenye dhambi ana muhukumu mwenye dhambi mwenzake kwa kufanya dhambi tofauti na anazo fanya yeye.



So sadly 😰😰

Kuna wakati kwenye maisha tunapitia majaribu mengi yanayochosha moyo na kutufanya tukate tamaa..💔💔😭



True 🙌🙌

Kuna wakati kwenye maisha tunapitia majaribu mengi yanayochosha moyo na kutufanya tukate tamaa..💔💔😭



Thanks my beautiful@neypaul🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Na . Imi pia

Tuna dk15 zakumaliza, Aisee quote rt please ndio naona kwa rahis kama sijakumention mpk sasa, Nikimaliza alaf akaja mtu wa kulalamika atanikwaza. 🔥🔥🔥



Mimi hapa 🤦🤦🤦🤦🥰my beautiful one🥰

Kama nimekusahau quote rt tu, kama tayar comment kawaida nakurudia mara ya pili.



Jman na me nifolo

Nani bado? Leo sitak kusahau mtu, Kama bado quote retweet apo naona kwa rahis.



mr logarithmic 👊 reposted

Watu kama 250 wa mwanzo wote wamepata mention, twendee second round, Ukirt ndio watu wengi wanaona na ndio wanakuja kukufollow ukiapata mention, So rt au qt rt pia weka na handle chap🥰🥰


"mgaagaa na upwa hali wali mkavu" kWA uwezo wa mwenyezi mungu 🤲 hatutokula wali mkavu kwenye mitihan tunayoenda kuanza kesho🙏🙏


Swadakta 👊👊

“Kwa bahati mbaya sana wanaotupenda hawasemi na wanaotuchukia hawatujui”. RG 🕊️

Sirjeff_D's tweet image. “Kwa bahati mbaya sana wanaotupenda hawasemi na wanaotuchukia hawatujui”. RG 🕊️


Swadakta🤝

Wengine Maisha yametufunza ni kheri tuchafuke tukiwa tunatafuta kuliko kuwa Omba Omba Msafi. #TheCaptainShark 🦈

jobdick05's tweet image. Wengine Maisha yametufunza ni kheri tuchafuke tukiwa tunatafuta kuliko  kuwa Omba Omba Msafi.

#TheCaptainShark 🦈


"stop getting distracted by things that have nothing do do with your goals" 👂👂


Uhakika🤝🤝🤝🤝

Kupitwa na ujanja wa muda mfupi ili ujenge maisha yako ya muda mrefu sio ushamba

nikkwapili's tweet image. Kupitwa na ujanja wa muda mfupi ili ujenge maisha yako ya muda mrefu sio ushamba


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.