
MCHAMBUZI MEDIA
@Mchambuzi5
MAABARA YA UCHAMBUZI
Bunları beğenebilirsin
👉Tuwe wa kweli tu, hivi nyie ACT Wazalendo bado mnaimani na uchaguzi huu?wakati mgombea wenu wa urais ameenguliwa? 👉Bado mna Matumaini ya kushika dola?kweli?
Mwenye handle ya TCRA naomba anifanyie wepesi, Kuna jambo nyeti sana kuliko hata za yule jamaa
Lisu anajua itifaki ya kuongea na rais wa nchi, hajakunja nne kama yule bonge yule

ACT Wazalendo endeleeni kuwa na imani na Ofisi ya Msajili, na Tume ya uchaguzi,
ACT Wazalendo msikubali kuaminishwa kwamba nyie ni chama Kikuu cha Upinzani,huo ni mtego ndugu zangu
👉Mtu ameomba msamaha kwa Makosa aliyoyatenda alipokuwa na dhamana ya uongozi, alafu bado unamsusia msamaha! Huna akili wewe
Itungwe Sheria ya kuwazuia wasanii kuchanganya Usanii na Siasa.
Nawakumbusha tu, Mawakala wa vyama hawaruhusiwi kuingia na simu kwenye chumba cha kupigia kura na kuhesabia kura.
ACT hawaamini kama ccm Huwa wanaiba kura, katika Hilo wanampinga Polepole kwa 100% ila CCM wenyewe wapo kimya tu
Wapwa! novena imeanza kufanya kazi buana, novena is real. Nataka kusema jambo lakini nasita
Mpina amedhamilia kuing'oa CCM. ACT oyeeee, mtashika Dola soon
ACT WAZALENDO inawaamini zaidi ccm kuliko Wapinzani wenzao. 🤣
"Niliwasikia viongozi wa Chadema wakisema HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE" na Mimi nikahamasika SIKULALA" 🤣🤣🤣
Kwa hiyo ccm imeamua kuwaachia ACT Wazalendo Dola, si ndio?
Hawa ni Chadema wamevaa sare za CCM, ccm hawana hizi tabia
Mbowe amewaachia zigo la mavi Chadema, imagine miaka yote wadhamini walikuwa kimya, Wamesubiri ametoka ndio wanafungua kesi ya mgawanyo wa rasilimali za chama na kutaka shughuli za chama zisimame!
Wajinga wameingia kwenye mtego wa Divide and Rule, badala ya kuishambulia ccm wamejigeuza maadui namba Moja wa Chadema alafu wanataka kushika dola😳
United States Trendler
- 1. Bengals 38.6K posts
- 2. Flacco 17.9K posts
- 3. Rodgers 23.6K posts
- 4. Ace Frehley 63.5K posts
- 5. Ramsey 8,370 posts
- 6. Chase Brown 3,878 posts
- 7. #911onABC 14.1K posts
- 8. Cuomo 49.9K posts
- 9. #HereWeGo 6,834 posts
- 10. #TNFonPrime 2,535 posts
- 11. Bolton 171K posts
- 12. Mookie 8,848 posts
- 13. Tomlin 3,227 posts
- 14. Higgins 6,375 posts
- 15. #PITvsCIN 2,505 posts
- 16. #WhoDey 2,604 posts
- 17. Asheville 11.7K posts
- 18. RIP Spaceman 2,160 posts
- 19. Sliwa 21.5K posts
- 20. Yoshi 20.3K posts
Bunları beğenebilirsin
-
Ananilea Nkya (PhD)
@AnanileaN -
Peter Madeleka
@PMadeleka -
Liberatus Mwang'ombe
@Liberatus80 -
Mark J. Mwandosya
@MarkMwandosya -
Tanzania Leaks
@TanzaniaLeaks -
Martin Maranja Masese
@IAMartin_ -
atlas (BACKUP)
@AtlasBkup -
John Pambalu
@John_Pambalu -
John Heche
@HecheJohn -
Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati)
@CatherineRuge -
James Mbowe
@JamesMbowe4 -
Tanganyika Law Society(TLS)
@TanganyikaLaw -
Twaha Mwaipaya
@Twaha_Mwaipaya -
UVCCM TZ
@uvccm_tz -
Talanta Mhanga
@MhangaTalanta
Something went wrong.
Something went wrong.