Simon_peter_jr's profile picture. Genius✍🏾| @HekimaZaMdemu

Simon🇹🇿

@Simon_peter_jr

Genius✍🏾| @HekimaZaMdemu

Pinned

Usimhukumu mtu ambaye kosa alilolifanya hata wewe ungelifanya kama ungekuwa kwenye nafasi yake.


Simon🇹🇿 reposted

Mwanaume 1. Jifunze kujiheshimu. 2. Jifunze kuzungumza mazuri kuhusu wewe mwenyewe. 3. Jifunze kujipongeza. 4. Jifunze kujisherehekea mafanikio yako hata kama ni kidogo 5. Jifunze kujiombea kila wakati Kama hutafanya hivi vitu, hakuna atakayekufanyia.


Ukimhurumia mtu anayekuumiza, unajiadhibu mwenyewe kimya kimya.


Simon🇹🇿 reposted

Mwanaume ana njia 5 pekee za kutoka kwenye msongo wa mawazo 1. Kutengeneza pesa. 2. Kufanya mazoezi . 3. Kufuatilia kusudi lake maishani. 4. Kujenga familia yenye upendo. 5. Kuwa na uhusiano imara na MUNGU.


Simon🇹🇿 reposted

Usiogope kufanya kazi ya ziada ikiwa malengo yako ni ya kipekee.


Simon🇹🇿 reposted

Ukiwa mtumwa wa hasira zako, ni rahisi kuharibu mfumo wa maisha yako.


Usitumie muda mwingi kuthibitisha kwamba huna makosa watakaoelewa, wataelewa bila maelezo.


Kila mtu anapitia kitu usihukumu kwa sura wala tabasamu.


Sali sana kuna watu kuanguka kwako ni moja ya Maombi yao.


Simon🇹🇿 reposted

Ushauri bora kwa kijana wa miaka 20 - 25 1. Epuka kuangalia sana p*rn 2. Epuka ulevi 3. Kunywa maji mengi 4. Nenda gym 5. Epuka drama 6. Vaa vizuri na unukie vizuri 7. Tafuta pesa 8. Zungumza kidogo 9. Soma vitabu 10. Thamini muda wako 11. Heshimu wazazi wako…


Simon🇹🇿 reposted

Namna pekee utapunguza gharama za bando za INTERNET, DAKIKA na SMS ni kuwezesha laini yako 🌐 1. Yas Kinara Plus SME *148*44# 2. Vodacom SME *150*00# 3. Yas post paid bundles *150*01# Karibuni 🙏 MAWASILIANO☎️ Piga: 0734806383 Whatsapp: 0678231552 🚨Fungua comments 🧵👇

dyabala01's tweet image. Namna pekee utapunguza gharama za bando za INTERNET, DAKIKA na SMS ni kuwezesha laini yako 🌐

1. Yas Kinara Plus SME *148*44#

2. Vodacom SME  *150*00#

3. Yas post paid bundles *150*01#

Karibuni 🙏

MAWASILIANO☎️

Piga: 0734806383
Whatsapp: 0678231552

🚨Fungua comments 🧵👇
dyabala01's tweet image. Namna pekee utapunguza gharama za bando za INTERNET, DAKIKA na SMS ni kuwezesha laini yako 🌐

1. Yas Kinara Plus SME *148*44#

2. Vodacom SME  *150*00#

3. Yas post paid bundles *150*01#

Karibuni 🙏

MAWASILIANO☎️

Piga: 0734806383
Whatsapp: 0678231552

🚨Fungua comments 🧵👇
dyabala01's tweet image. Namna pekee utapunguza gharama za bando za INTERNET, DAKIKA na SMS ni kuwezesha laini yako 🌐

1. Yas Kinara Plus SME *148*44#

2. Vodacom SME  *150*00#

3. Yas post paid bundles *150*01#

Karibuni 🙏

MAWASILIANO☎️

Piga: 0734806383
Whatsapp: 0678231552

🚨Fungua comments 🧵👇
dyabala01's tweet image. Namna pekee utapunguza gharama za bando za INTERNET, DAKIKA na SMS ni kuwezesha laini yako 🌐

1. Yas Kinara Plus SME *148*44#

2. Vodacom SME  *150*00#

3. Yas post paid bundles *150*01#

Karibuni 🙏

MAWASILIANO☎️

Piga: 0734806383
Whatsapp: 0678231552

🚨Fungua comments 🧵👇

Simon🇹🇿 reposted

Good Morning Brother and Sister ☀️

ZipDmpjr22's tweet image. Good Morning Brother and Sister ☀️

Simon🇹🇿 reposted

Mwaka 2018 Rihanna alipoingia Met Gala akiwa amevaa vazi lenye sura ya Papa wa Catholic watu waliona kama ni mtindo wa kidunia. Lakini ndani ya Vatican mmoja aliyekuwa mtaalamu wa maandiko ya siri alishangaa Vazi hilo lilikuwa na alama halisi kutoka kwenye kitabu kilichopotea…

kaji_sijo's tweet image. Mwaka 2018 Rihanna alipoingia Met Gala akiwa amevaa vazi lenye sura ya Papa wa Catholic watu waliona kama ni mtindo wa kidunia.

Lakini ndani ya Vatican mmoja aliyekuwa mtaalamu wa maandiko ya siri alishangaa 

Vazi hilo lilikuwa na alama halisi kutoka kwenye kitabu kilichopotea…
kaji_sijo's tweet image. Mwaka 2018 Rihanna alipoingia Met Gala akiwa amevaa vazi lenye sura ya Papa wa Catholic watu waliona kama ni mtindo wa kidunia.

Lakini ndani ya Vatican mmoja aliyekuwa mtaalamu wa maandiko ya siri alishangaa 

Vazi hilo lilikuwa na alama halisi kutoka kwenye kitabu kilichopotea…

Simon🇹🇿 reposted

HuduMa zilizopo Leo. ☎️ Kama una Laini Ya; 1. Yas - Jiunge na Kinara Plus SME *148*44# 2. Vodacom - Jiunge na Hybrid (postpaid) 3. Airtel - Upgrade laini yako kuwa SME *149*91# 𝗨𝗧𝗔𝗢𝗞𝗢𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔 𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗡𝗗𝗢 𝗞𝗪𝗔 50%. Utaishi kifalme sana. Kwa…

Mrsiyengo's tweet image. HuduMa zilizopo Leo. ☎️

Kama una Laini Ya;

1. Yas - Jiunge na Kinara Plus SME *148*44# 

2. Vodacom - Jiunge na Hybrid (postpaid)

3. Airtel - Upgrade laini yako kuwa SME *149*91# 

𝗨𝗧𝗔𝗢𝗞𝗢𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔  𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗡𝗗𝗢 𝗞𝗪𝗔 50%.

Utaishi kifalme sana.

Kwa…
Mrsiyengo's tweet image. HuduMa zilizopo Leo. ☎️

Kama una Laini Ya;

1. Yas - Jiunge na Kinara Plus SME *148*44# 

2. Vodacom - Jiunge na Hybrid (postpaid)

3. Airtel - Upgrade laini yako kuwa SME *149*91# 

𝗨𝗧𝗔𝗢𝗞𝗢𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔  𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗡𝗗𝗢 𝗞𝗪𝗔 50%.

Utaishi kifalme sana.

Kwa…
Mrsiyengo's tweet image. HuduMa zilizopo Leo. ☎️

Kama una Laini Ya;

1. Yas - Jiunge na Kinara Plus SME *148*44# 

2. Vodacom - Jiunge na Hybrid (postpaid)

3. Airtel - Upgrade laini yako kuwa SME *149*91# 

𝗨𝗧𝗔𝗢𝗞𝗢𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔  𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗡𝗗𝗢 𝗞𝗪𝗔 50%.

Utaishi kifalme sana.

Kwa…

Simon🇹🇿 reposted

Naomba Msaada wa RT hapa. Huduma bora ya Mitishamba inapatikana hapa Maasai Herbal clinic, Ondoa Maradhi yako kwa Dawa iliyo tengenezwa na Mchanganyiko wa mimea mbali mbali. Daktari bingwa @KimaniDawa anatuletea Dawa ya TOGOLO Syrup inayo saidia yafuatayo.!! -Kuongeza Hamu ya…

fumbokhanJr's tweet image. Naomba Msaada wa RT hapa.

Huduma bora ya Mitishamba inapatikana hapa Maasai Herbal clinic, Ondoa Maradhi yako kwa Dawa iliyo tengenezwa na Mchanganyiko wa mimea mbali mbali.

Daktari bingwa @KimaniDawa anatuletea Dawa ya TOGOLO Syrup inayo saidia yafuatayo.!!

-Kuongeza Hamu ya…
fumbokhanJr's tweet image. Naomba Msaada wa RT hapa.

Huduma bora ya Mitishamba inapatikana hapa Maasai Herbal clinic, Ondoa Maradhi yako kwa Dawa iliyo tengenezwa na Mchanganyiko wa mimea mbali mbali.

Daktari bingwa @KimaniDawa anatuletea Dawa ya TOGOLO Syrup inayo saidia yafuatayo.!!

-Kuongeza Hamu ya…

Simon🇹🇿 reposted

🚨bei ya jioni...Naomba repost wekeni oda wakuu picha za kuchora kama hizi njoo whatsap bei ni kitonga Namba; 0767496155

Methodyrn_arts's tweet image. 🚨bei ya jioni...Naomba repost 

wekeni oda wakuu picha za kuchora kama hizi njoo whatsap bei ni kitonga

Namba; 0767496155
Methodyrn_arts's tweet image. 🚨bei ya jioni...Naomba repost 

wekeni oda wakuu picha za kuchora kama hizi njoo whatsap bei ni kitonga

Namba; 0767496155

🚨Turepost kwa moyo mmoja hii 👇🏾😌 UNAHITAJI Mchoro wa penseli kama huu🫵🏾 Hii ni A3 size👇🏾 nisaidie ku-repost 🔄 WEKA ODA YAKO✍️ Whatsap no; +255 767496155📩😊 Delivery mikoa yote 🚚 💨 •••bei poa kabisa

Methodyrn_arts's tweet image. 🚨Turepost kwa moyo mmoja hii 👇🏾😌

UNAHITAJI Mchoro wa penseli kama huu🫵🏾
Hii ni A3 size👇🏾

nisaidie ku-repost 🔄

 WEKA ODA YAKO✍️ Whatsap no;  +255 767496155📩😊 

Delivery mikoa yote 🚚 💨
•••bei poa kabisa
Methodyrn_arts's tweet image. 🚨Turepost kwa moyo mmoja hii 👇🏾😌

UNAHITAJI Mchoro wa penseli kama huu🫵🏾
Hii ni A3 size👇🏾

nisaidie ku-repost 🔄

 WEKA ODA YAKO✍️ Whatsap no;  +255 767496155📩😊 

Delivery mikoa yote 🚚 💨
•••bei poa kabisa


Simon🇹🇿 reposted

Kuna watu wanakuulizia sio kama wana mipanga na wewe ila nikutaka kujua kama upo palepale walipo kuacha au umewacha wao furaha yao nikuona upo kama walivo kuacha siku zote


Kwanini ni rahisi kujifanya uko sawa kuliko kueleza unavyoumia kweli?


Simon🇹🇿 reposted

Kibaya zaidi kuliko kuumizwa ni kujilazimisha kubaki mahali palipokuumiza.


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.