Stephen Stephano™
@Steph_December
|Linguist| |Forex Expert | |Yeremia 32:27| |UDOM Alumnus|
You might like
The cheapest version of haaland
Unaambiwa Rasmus Hjlund Ana mchanganyiko wa Halaand na Kane. Kwahili hatuta kua na huruma na hizo Beki zenu uchwala. 😎
🚨 Kylian Mbappé €700m salary at Al-Hilal for 1 season: €58.33m a month €13.3m a week €1.9m a day €79,900 an hour €1,332 a minute €22 per second
Huyu dogo naweza kumpata wapi? Nataka nizungumze na familia yake dogo akasomee kuhusu mpira tu ajifunze lugha ya kizungu dogo ana kitu please mnak mfahamu nipeni connection. Sina pesa nyingi sanaa ila kumuwezesha dogo zinaweza kupatikana.
Asanteni sana watu wa Mugumu, pamoja na vitisho vya polisi mapambano lazima yaendeleee #MsubhatiKazini
List ya machimbo ya utelezi Dar Es Salaam na bei zake 1. Riverside Chimbo liko Ubungo, Riverside hapa napenda kupaita uwanja wa nyumbani (Home ground) kuna mchanganyiko wa pisi za mtaani na vyuo hasa pale boom linapokata, usalama ni 100% bei zake ni kuanzia 5k kwa VIP ni 20k
Club Ranking after this seasons CAF interclub competitions - TOP 25 🇪🇬 Al Ahly - 83 🇲🇦 Wydad - 74 🇹🇳 Espérance - 56 🇿🇦 Sundowns - 51 🇲🇦 Raja - 51 🇪🇬 Zamalek - 39 🇲🇦 RS Berkane - 37 🇩🇿 CR Belouizdad - 36 🇹🇿 Simba SC - 35 🇪🇬 Pyramids - 35 🇦🇴 Petro de Luanda - 33.5
Je, Ulikuwa na Umri Gani !? Ulipogundua Kirefu Cha Twitter ni "Typing What I'm Thinking To Everyone Reading"..!? 😂
#Gratitude I am grateful to be blessed with another year I am grateful for the love 💖 and support I am grateful for my life #NewProfilePic
UFAHAMU KWA WENYE MAGARI Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne (4) tu toka yatengenezwe (sio toka uyafunge kwenye gari yako). Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote.
TANZIA: Mkuu wa KKKT Mstaafu, Askofu Dk. Samson Mushemba (85) amefariki dunia usiku huu katika Hospitali ya Ndolage mkoani Kagera. Dk. Mushemba pia ni Askofu Mstaafu wa KKKT - Dayosisi ya Kaskazini Magharibi (Bukoba). Pumzika kwa amani Askofu Mushemba!
RIPOTI UN: NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI ZINA WATU WASIO NA FURAHA DUNIANI > Kenya imeshika namba 121 kati ya 156 huku Uganda 126, Burundi 140, Tanzania 148, Rwanda 150 na Sudan Kusini 152 > Finland ndiyo nchi yenye watu walio na furaha duniani Soma - jamii.app/RipotiFurahaEA #JFLeo
“Kuomba bila kufanya kazi ni sawa na ushirikina. Ni sawa na kusema amani, haki, tume huru vije kama muujiza wa kukanyaga mafuta ya upako. Mungu tunayemwomba hajatunyima haki, amani, uchaguzi huru na wa haki.” Askofu Benson Bagonza. Soma zaidi>> bit.ly/32uDVzt
Someone graduate at age of 24 but waited 5yrs to get a job Someone become CEO at age of 30,died at 50 Someone still single while someone else got married People around you might seem to go ahead you and some behind you But everyone is running their own RACE in their own TIME
ASKOFU SHOO AKEMEA UONEVU WA BINADAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania, Dkt. Frederick Shoo leo amekemea tabia za utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi cha viongozi zinazolalamikiwa nchini
KRISMASI: MAASKOFU WAKEMEA UCHU WA MADARAKA, UONEVU WA RAIA > Askofu Frederick Shoo amekemea tabia za utekaji, utesaji, unyongaji haki, na kiburi cha viongozi > Askofu Liberatus Sangu amesema Uchu wa madaraka na kutotenda haki huchochea machafuko Soma jamii.app/AskofuUtekajiU…
United States Trends
- 1. Ash Wednesday N/A
- 2. Good Wednesday N/A
- 3. Lent N/A
- 4. Hobi N/A
- 5. Hump Day N/A
- 6. #wednesdaymotivation N/A
- 7. Mick Cronin N/A
- 8. Deen N/A
- 9. #18Feb N/A
- 10. Happy Hump N/A
- 11. #Wednesdayvibe N/A
- 12. $Punch N/A
- 13. #PutThatInYourPipe N/A
- 14. Ramadan N/A
- 15. Tom Noonan N/A
- 16. Namjoon N/A
- 17. Tiki Ghosn N/A
- 18. Long Johns N/A
- 19. UCLA N/A
- 20. Vini N/A
You might like
-
YOUR_ENEMY™
@well12man -
Swahili Music Quotes
@SwahiliMusic -
Jay
@jumadayday -
Kenedy
@KenedyMartin_ -
Otyboi_hija
@otyboi_hija -
Erick Key 🗝️
@Erick_GalaxyKey -
Joe Shayo 😊
@BreezyJR5 -
.
@MfalmeSele -
ANDAJAIV
@ntyeka2 -
frontEndDeveloper
@mannuljr -
Salum S.
@SalumSl0 -
mangwindajr
@mangwindajr_ -
dullah
@dullahArsenal -
GUS💢
@NxxCore_ -
MR. NO PAIN
@Godfreyswallo
Something went wrong.
Something went wrong.