computermainte7's profile picture.

landlord OG

@computermainte7

landlord OG reposted

,,,,Sanaa. Kama Taifa vijana hatuhitaji kupata misaada ya viongozi individuals, waboreshe na kuweka mazingira rafiki kila kijana afanye kazi na kujipatia kipato. Hili la kutembeza bakuri na viongozi wanaunga juhudi limekaa kiupendeleo Sanaa.


Napenda kuishauri selikali saiv chelsea haina mdhamini plz fanyeni utaratibu ile visit tanzania ionekane pale chelsea kwenye jezi zao msimu huu


Chadema wakiweza kufika kila kata hasa vijijini kabla ya kampeni kuanza basi CCM itatoka mapema sana


landlord OG reposted

Mi Sina pesa ila sinaga time na ndugu zangu wenye nazo naishi Dunia yangu kivyangu vyangu tu sote tupo dar ila hakuna anaejua mwenzie anapoishi 😹😹😹


landlord OG reposted

Ukiwa huna pesa kwenye ukoo wenu ndio unakuwa mtu wa kuwatembelea ndugu au kuwapigia simu kuwasalimia bila hivyo wanakusahau


landlord OG reposted

Maghala ya Al ( Silos) ni kwa ajili ya utunzaji wa mazao jamii ya nafaka hutunza kiasi kikubwa cha nafaka kwa muda mrefu bila kuathiriwa na wadudu na magonjwa. Hayo makubwa yanaingia gunia 100 na dogo ni gunia 50 yapo saizi tofauti kulingana na uhitaj @CarolNdosi @MalemboLE

Bacazer_Jnr's tweet image. Maghala ya Al ( Silos) ni kwa ajili ya utunzaji wa mazao jamii ya nafaka hutunza kiasi kikubwa cha nafaka kwa muda mrefu bila kuathiriwa na wadudu na magonjwa. Hayo makubwa yanaingia gunia 100 na dogo ni gunia 50 yapo saizi tofauti kulingana na uhitaj @CarolNdosi @MalemboLE

landlord OG reposted

Neema ya bwana wetu Yesu Kristu…


landlord OG reposted

Nina swali la kipuuzi najiuliza Kwann Mungu alimtoa mwanae afe kwa ajili ya dhambi zetu badala ya kumuua shetan ambae ndio source🤔🤔


landlord OG reposted

Repost and drop your handles for massive BIG gains n turn on my notification 🔔


landlord OG reposted

Mkimaliza kula toothstick ziishie huko huko mtaani njaa ni kubwa.🥲


landlord OG reposted

#LimaNaCarol Tulicho jifunza toka production cycle ya kwanza *mifumo ya umwagiliaji *Usimamizi/kuhudumia shamba kwa wakati i.e dawa ikihitajika, mbolea etc *masoko yanatakiwa kukuguide ULIME NINI. Aluta Continua - See you at a shop near you soon #KilimoNiFursa #Agriculture


Jamani wakulima wenzangu nimekosea wapi hapa ? Nimechanyikiwa kabisa sielewi chochote.

computermainte7's tweet image. Jamani wakulima wenzangu nimekosea wapi hapa ?

Nimechanyikiwa kabisa sielewi chochote.

Umiza kichwa chako kuhusu kesho yako na sio Leo yako


Haya mashindano mwaka huu yapo tena?

computermainte7's tweet image. Haya mashindano mwaka huu yapo tena?

Hivi ni lini serikali yetu itaachana na ujenzi wa madarasa na kujikita katika kuwekeza kwenye kilimo hasa kuhakikisha kila kata inakuwa na kisima Cha maji kitakacho tumika katika shughuli za kilimo na ufugaji maana kula chakula ni lazima lkn kusoma sio lazima


Wangapi wanaimini katika hili?

computermainte7's tweet image. Wangapi wanaimini katika hili?

Nawakumbusha vijana wangu wenzangu komaeni kutafta pesa mm mwenzenu ndo nimeshatoboa ivyo mvua ikitiki tractor yangu itanyanyua mkia tu

computermainte7's tweet image. Nawakumbusha vijana wangu wenzangu komaeni kutafta pesa mm mwenzenu ndo nimeshatoboa ivyo mvua ikitiki tractor yangu itanyanyua mkia tu

Natamani Tanzania ipate a full dictator president tumemisi mchakamchaka tu


Umasikini ni mkundu wa mbwa kabisa.


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.