dieforit01's profile picture. Superpatriot

Mzalendo 🇹🇿kweli

@dieforit01

Superpatriot

Mzalendo 🇹🇿kweli reposted

Baba yake alitokea Somalia, yeye akazaliwa Arusha akasoma Old Moshi mpaka Chuo Harvard. Akatumikia JWTZ kwa miaka 20 na akawa Mbunge wa Arusha kwa miaka 10. Akawa Naibu waziri wa mambo ya Nje, Waziri wa Ulinzi na Spika wa Bunge la Afrika mashariki ni Kanali Abdulrahman Kinana.

ayubu_madenge's tweet image. Baba yake alitokea Somalia, yeye akazaliwa Arusha akasoma Old Moshi mpaka Chuo Harvard. Akatumikia JWTZ kwa miaka 20 na akawa Mbunge wa Arusha kwa miaka 10. Akawa Naibu waziri wa mambo ya Nje, Waziri wa Ulinzi na Spika wa Bunge la Afrika mashariki ni Kanali Abdulrahman Kinana.

Mzalendo 🇹🇿kweli reposted

"Waambieni Wananchi yanayoendelea huko duniani... Afrika Mashariki na kati ni Tanzania pekee ambayo bei ya mafuta bado ipo chini kulinganisha na hizo nchi nyingine" Rais Samia Suluhu

ayubu_madenge's tweet image. "Waambieni Wananchi yanayoendelea huko duniani... Afrika Mashariki na kati ni Tanzania pekee ambayo bei ya mafuta bado ipo chini kulinganisha na hizo nchi nyingine" Rais Samia Suluhu

Parents call for change....


Kwakweli alichofanya mtu huyo Sio cha kiubinadamu kabisa ,,hata Kama unatafuta pesa au followers, mbinu zako zisighalimu uhai ama utu wa binadamu mwenzio....

dieforit01's tweet image. Kwakweli alichofanya mtu huyo Sio cha kiubinadamu kabisa ,,hata Kama unatafuta pesa au followers, mbinu zako zisighalimu uhai ama utu wa binadamu mwenzio....

We need to come together as a country and not a club..


Politics is the conspiracy of the unproductive but organized against the productive but unorganized


Mzalendo 🇹🇿kweli reposted

BUNGENI: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema #Tanzania ina Mabilionea 5,740 wanaomiliki 4.2% ya Utajiri katika Mabilionea wa Afrika Mabilionea 115 wanamiliki zaidi ya 28% ya Utajiri wote wa Mabilionea wanaotoka Tanzania Soma jamii.app/MabilioneaTz #Bungeni

JamiiForums's tweet image. BUNGENI: Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema #Tanzania ina Mabilionea 5,740 wanaomiliki 4.2% ya Utajiri katika Mabilionea wa Afrika

Mabilionea 115 wanamiliki zaidi ya 28% ya Utajiri wote wa Mabilionea wanaotoka Tanzania

Soma jamii.app/MabilioneaTz
#Bungeni

Mzalendo 🇹🇿kweli reposted

Unafanikiwa kuwaondoa machinga maeneo yasiyo rasmi, then wakubwa wanaweka pikipiki maeneo yale ya wapita njia🤷‍♂️ Hii nchi ni ngumu sana🙌

JrMalcolm88's tweet image. Unafanikiwa kuwaondoa machinga maeneo yasiyo rasmi, then wakubwa wanaweka pikipiki maeneo yale ya wapita njia🤷‍♂️

Hii nchi ni ngumu sana🙌

Huyu mdada wa mitaa ipi Bongo


Tuwe makini watanzania,,, tuchukue tahadhali,, ..


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.