myNeylee's profile picture. Let Love Lead (L³)
Proud to be a Mother
#Chaggagirl...

Mlyney

@myNeylee

Let Love Lead (L³) Proud to be a Mother #Chaggagirl...

Pinned

Uamkapo asubuh kutana na Mungu kwanza kabla hujakutana na mtu yeyote.. Utakuja kutoa shuhuda hapa


Do you remember when you joined X? I do! #MyXAnniversary

myNeylee's tweet image. Do you remember when you joined X? I do! #MyXAnniversary

Nimekutegeme ww tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumbon mwa mama yangu, Ninakusifu ww daima. Nimekuwa kitu cha ajabu kwa watu weng,na ww ndiwe kimbilio langu la nguvu. Kinywa changu kitajaza sifa zako, na heshima yako mchana kutwa. #Heriyasikuyakuzaliwa_nirmahkimommy

myNeylee's tweet image. Nimekutegeme ww tangu kuzaliwa,
Ndiwe uliyenitoa tumbon mwa mama yangu,
Ninakusifu ww daima.
Nimekuwa kitu cha ajabu kwa watu weng,na ww ndiwe kimbilio langu la nguvu. Kinywa changu kitajaza sifa zako, na heshima yako mchana kutwa. 
#Heriyasikuyakuzaliwa_nirmahkimommy

Mlyney reposted

Damu ya kristo ikakufunike Homeboy, na urejee kwenye familia yako ukiwa salama na mzima!!🙏

Roma_Mkatoliki's tweet image. Damu ya kristo ikakufunike Homeboy, na urejee kwenye familia yako ukiwa salama na mzima!!🙏

FUATA SHERIA TATU 1.Usiahidi chochote unapokuwa na furaha kupitiliza 2.Usijibu unapokuwa na hasira sana 3.Usiamue jambo lolote unapokuwa na huzuni sana


Kwa hii baridi ya Leo huku Moshi km uko kama mm wajikunja kama korosho come here


Mlyney reposted

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema upimaji wa sampuli za waliogua ugonjwa uliokuwa haujulikani Wilayani Bukoba, Kagera ambao umeua Watu watano umethibitisha ugonjwa huo ni ugonjwa wa Marburg Virus Disease (MVD) ambao unasababishwa na virusi vya Marburg. #MillardAyoUPDATES

millardayo's tweet image. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema upimaji wa sampuli za waliogua ugonjwa uliokuwa haujulikani Wilayani Bukoba, Kagera ambao umeua Watu watano umethibitisha ugonjwa huo ni ugonjwa wa Marburg Virus Disease (MVD) ambao unasababishwa na virusi vya Marburg. 
#MillardAyoUPDATES

Kosa langu au la njaa

myNeylee's tweet image. Kosa langu au la njaa

Mlyney reposted

Ganjaman bombolact wanasema kataa upinde

nyuki_malkia's tweet image. Ganjaman bombolact wanasema kataa upinde

Mlyney reposted

Before you talk - Consider Before you pray - Believe Before you speak - Listen Before you spend - Earn Before you react - Think Before you play - Work Before you laugh - Cry Before you take - Give Before you run- Walk Before you quit - Try Before you die - Live


Ww ni baba ni mama huwajibiki Kwa mtoto.. Utaenda motoni Moja Kwa Moja shetani amekaa pale anakusubir Unatiwa kweny tanuru unachomwaa na jivu lako lichekechwe km Kuna particles zimebaki zinachomwa tena.. Wahed


Mlyney reposted

Serikali imefuta Ukomo wa Muda wa Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) kwa Watanzania wote, na kuzitaka taasisi na Mashirika yote yanayotumia utambulisho huo kuendelea kuvitumia bila kuangalia muda wake wa kuisha. #KitengeUpdates

mshambuliaji's tweet image. Serikali imefuta Ukomo wa Muda wa Matumizi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) kwa Watanzania wote, na kuzitaka taasisi na Mashirika yote yanayotumia utambulisho huo kuendelea kuvitumia bila kuangalia muda wake wa kuisha.

#KitengeUpdates

Mlyney reposted

Hebu tujuzane hapa hivi ni kweli mwanamke akimpenda mwanaume kwa dhati huwa hawezi kumuomba hela? #Dodoso #EastAfricaTV

eastafricatv's tweet image. Hebu tujuzane hapa hivi ni kweli mwanamke akimpenda mwanaume kwa dhati huwa hawezi kumuomba hela?

#Dodoso #EastAfricaTV

NishAzunguka na kutembea tembea Huku Twitter Sasa nikalale... Good night my Twitter family ❣️❣️❣️


Nimechoka kujikunja kama korosho.. 🤦🤦🏃🏃


Nice Sunday my family ❣️❣️❣️

myNeylee's tweet image. Nice Sunday my family ❣️❣️❣️

Mlyney reposted

Hoi baada ya kusikia taarifa kuwa Polisi ndio wanahusika na wizi wa vifaa vya ujenzi mradi wa SGR.

mshambuliaji's tweet image. Hoi baada ya kusikia taarifa kuwa Polisi ndio wanahusika na wizi wa vifaa vya ujenzi mradi wa SGR.

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.