ntandise's profile picture. Self-employed

Danninho ⚽

@ntandise

Self-employed

Kuna kipindj mashabiki wa Chelsea tulikuwa tukimuona tu Hazard kwenye pitch tayari Chelsea imeshinda🌞 Asantee kwa kila kitu mwamba ⚽👍👏

ntandise's tweet image. Kuna kipindj mashabiki wa Chelsea tulikuwa tukimuona tu Hazard kwenye pitch tayari Chelsea imeshinda🌞
Asantee kwa kila kitu mwamba ⚽👍👏

Hili jua limekua Kali sana siku hizi Duh🤔


Hapa tabora Leo tunampokea mwadhama Protace kardinali Rugambwa karibuni sana🌞


Hapa buhongwa ~ Mwanza pamechangamka Sana Leo👐


Ayoub sio kipa mzuri tunakubali Lakin hili goli ni dhahiri wamefungwa kwa uzembe wa wachezaji wa ndani Aggressively watu 7 wote wamekabia macho tu👀🤔


Nmependa starting lineup ya Robertinho Leo dhidi ya power dynamos.👏👏


Habari za hasubuhi wakuu !? Mungu ni wetu sote....... Tuamke tukapambane 🤗


Wakuu mnakumbuka lile song la kontawa la mwakani🤔 Jamaa alisema "anaona kizazaa had TANESCO wamewasha mishumaa" Je jamaa anatosha kuwa mtabiri !?🤔😏


Wakuu mmeamkaje...!? Tukapambane Sasa Mungu awe nasi 🙏


Mungu ni wetu sote, Tuamke tukapambane wakuu💪


Je Unakumbuka tukio gani la mwamba Carlos puyol!?🤔

ntandise's tweet image. Je Unakumbuka tukio gani la mwamba Carlos puyol!?🤔

Nikiwaangalia Newcastle 🤔 Hadi napata homa kabsa na hii Chelsea yangu😏😌


Pengine huu ndio msimu ambao Man City anaweza kuchukua ubingwa bila kubughuziwa sanaaa na wapinzan wake🤔


Kwangu mm captain Thiago ndio beki Bora wa kizazi chetu 👏 Happy birthday 🎂 goat 🐐

ntandise's tweet image. Kwangu mm captain Thiago ndio beki Bora wa kizazi chetu 👏
Happy birthday 🎂 goat 🐐
ntandise's tweet image. Kwangu mm captain Thiago ndio beki Bora wa kizazi chetu 👏
Happy birthday 🎂 goat 🐐

Achana na vita ya Azam na singida Kuna vita ingine kati ya Dube na kakolanya😏 What a match🤔


Mechi nzuri kwa timu zote mbili Simba na coastal union ,though coastal wamepoteza mchezo👏. Pole kwa inonga baka🤗


Hii barabara ya Tanzania to Rwanda. Tanzania to Burundi ina nn Leo🤔 Mbona ajali nyingi sana hiv🤔😏


Hiv n kweli Young Africans wameziba pengi la FISTON KALALA MAYELE kwa kufunga magoli mengi kila mechi!?🤦😏


Madrid wana hoja wasikilizwe😁


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.