presenterlight's profile picture. Content Creator

innolight_tz

@presenterlight

Content Creator

Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu. Asante kwa support kubwa #innolighttv mapambano yaendelee🙏

presenterlight's tweet image. Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu. Asante kwa support kubwa #innolighttv mapambano yaendelee🙏

Kipindi hiki wanahabari watangazaji, content creators hakuna kulala njaa Radio na TV zimejaa kila corner pia digital online media & podcast zimefurika .... Time to enjoy national cake ..... #broadcasting

presenterlight's tweet image. Kipindi hiki wanahabari watangazaji, content creators hakuna kulala njaa Radio na TV zimejaa kila corner pia digital online media & podcast zimefurika .... Time to enjoy national cake .....

#broadcasting

Kuna Muda huoni mbele zaidi ya Giza tu ila sauti ya nafsi inakupa nguvu ya kuendelea kufanya. Tusichoke kwenye mafanikio Kuna mengi


Wana Simba kesho nitakuwa msimbazi kuwapa hi Sina baya😂😂😂

presenterlight's tweet image. Wana Simba kesho nitakuwa msimbazi kuwapa hi Sina baya😂😂😂

innolight_tz reposted

Kutumiwa kimapenzi ni pale ambapo mwanamke anakuomba pesa kwa sababu ulionyesha nia kua unamuhitaji. Usiingie mtego huo. Wanawake ni wazuri katika hilo kama akiona unamkubali sana. Wao ni jinsia dhaifu, hivyo inakuwa rahisi kuchochea hisia zako za kuwa provider kwa sababu…


innolight_tz reposted

Unamtumia mdada meseji saa 2 asubuhi, anakujibu saa 6 mchana.. Na wewe kujionyesha jinsi ulivyo boya na hujiheshimi, unamtumia meseji nyingine hapo hapo.. Acha kujidharau.


Alipo Messi basi rafiki yake wa karibu naye yupo #suarez yule inta miami

presenterlight's tweet image. Alipo Messi basi rafiki yake wa karibu naye yupo #suarez yule inta miami

Mbwa ana wivu wa mapenzi alisikika shabiki akisema

presenterlight's tweet image. Mbwa ana wivu wa mapenzi alisikika shabiki akisema

Unakumbuka Nini kutoka kwake #jpm

presenterlight's tweet image. Unakumbuka Nini kutoka kwake
#jpm

Nani alaumiwe shida za kujitakia

presenterlight's tweet image. Nani alaumiwe shida za kujitakia

Hakikisha unapata Muda mzuri Refresh na mziki mzuri #music #celebration


Pambania ndoto zako mafanikio yatakupa amani na furaha ya kudumu . Kumbuka Leo watu hawana ukaribu na wewe kwa sababu huna cha kuwapa


Liverpool atatoboa kwa Arsenal wiki hii ? #arsenal #LiverpoolFC #premierleague

presenterlight's tweet image. Liverpool atatoboa kwa Arsenal wiki hii ? 
#arsenal 
#LiverpoolFC 
#premierleague

Semaji la CAF amejipata , mwamba Hana mpinzani nasikia #simbasc #ahmedally

presenterlight's tweet image. Semaji la CAF amejipata , mwamba   Hana mpinzani nasikia
#simbasc 
#ahmedally

Kumekucha utaftaji uendelee


Usiku mzima usingizi umekata alafu asubuhi hii unakuja kama upepo 😃😃👋


innolight_tz reposted

"Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na Chipukizi mwenye umri wa miaka 8 hadi 10 katika kipindi hiki badala ya kumuacha mtoto huyo asome? Sisi tukiwa na Chipukizi, je CHADEMA wakiwa na Chipukizi, je CUF wakiwa na Chipukizi hawa watoto watasoma saa ngapi?” John Magufuli, 23 Julai 2016

MfanyakaziNews's tweet image. "Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa na Chipukizi mwenye umri wa miaka 8 hadi 10 katika kipindi hiki badala ya kumuacha mtoto huyo asome? Sisi tukiwa na Chipukizi, je CHADEMA wakiwa na Chipukizi, je CUF wakiwa na Chipukizi hawa watoto watasoma saa ngapi?” John Magufuli, 23 Julai 2016

Mwisho wa siku Kila mtu alee amfundishe mtoto wake 😃


Kuna watangazaji wengi wa burudani lakini #lilomy ametengeneza heshima yake na yupo mbali sana kuanzia mafanikio yake binafsi na jamii kwa ujumla . #presenters learn from this incredible man ever

presenterlight's tweet image. Kuna watangazaji wengi wa burudani lakini #lilomy ametengeneza heshima yake na yupo mbali sana kuanzia mafanikio yake binafsi na jamii kwa ujumla . 
#presenters learn from this incredible man ever

Ulimwengu wa roho #PopeFrancis neno moja kwake

presenterlight's tweet image. Ulimwengu wa roho 
#PopeFrancis  neno moja kwake

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.