MrJalole's profile picture. I have a dream n I believe will get more money but I don't know when!

Mr.Jalole

@MrJalole

I have a dream n I believe will get more money but I don't know when!

Hii ni trick inayowezatumiwa na wadhalimu kupooza haki ya waandamanaji na kupotosha maana sahihi!

ทวีตนี้ไม่สามารถใช้งานได้อีกต่อไป

Hatoshi, sitiki!!

Bado siku 33 Chagua CCM ✅️ Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu #tunasongambele

Bizydan's tweet image. Bado siku 33

Chagua CCM ✅️ 
Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ 
Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu 
#tunasongambele


Dalili mbaya sana!!

Hili ni kanisa GANI madhabahuni kumejaa ishara za UPINDE kila kona?

Sativa255's tweet image. Hili ni kanisa GANI madhabahuni kumejaa ishara za UPINDE kila kona?


Moja sababu ya kuachana na dini hizi pamoja na uhuni kama huu, yes ni uhuni...

Aiseeee 😳🤦🏾‍♀️



Sahihi!!

"Mahakama inaendesha kesi kwa njia ya mtandao, na inapokea ushahidi kwa njia ya mtandao, na hata majuzi tumeshuhudia hivyo kwenye kesi ya Lissu. Sasa polisi wanashindwa nini kunihoji kwa njia ya mtandao? Kusema kwamba hawawezi kuanza uchunguzi wa tuhuma nilizotoa mpaka nije ni…

Sativa255's tweet image. "Mahakama inaendesha kesi kwa njia ya mtandao, na inapokea ushahidi kwa njia ya mtandao, na hata majuzi tumeshuhudia
hivyo kwenye kesi ya Lissu. Sasa polisi wanashindwa nini kunihoji kwa njia ya mtandao? 

Kusema kwamba hawawezi kuanza uchunguzi
wa tuhuma nilizotoa mpaka nije ni…


Hapa kwanza naanza na adimini, umetukosea raia wema na wapenda amani na nchi, ktk option hakuna option sahihi, Chama chenye vigezo ni CHADEMA pekee, ao ikiwa wameipiga pini huo hautokuwa uchaguzi labda teuzi!, naam teuzi!

Ni kigezo gani kitakachoamua kura yako Oktoba 29?



Dah 😭😭😭 Mungu akupe pawa ya kutosha kuweza kuikabili hali hii ngumu unayopitia! Kwa dhati ya moyo nikupe pole sana

Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kisutu Dar es Salaam, Sophia Makange akisaidiwa kuingia kwenye Kanisa la KKKT Kijitonyama jijini Dar es Salaam kwenye ibada ya kuaga miili ya wapendwa wake watano waliopoteza maisha katika ajali ya gari. Katika ajali hiyo Sophia alimpoteza…



Yaan huyu Dada anaakili kumzidi Mondi...

Watu wanapigwa....



#TheSoundOfRealMan 🤝🤝💪💪👍

Vijana wa Tanzania msikubali watu wanaiba future yenu. Hawa hawaibi mali tu, wanaiba future ukiwasikiliza hawana mpango wowote wa kuwaondoa kwenye umasikini. Hawajui kwanini wanataka uongozi a Nchi. Wanataka uongozi ili waibe, hawana dira wala mipango. #NoReformsNoElection



Kwan huyu #Muliro si ndo alimuokota #Sativa kule mbugani eeh!! Ila huyu baba....

Muliro anasahau kwamba kulikua na camera na matukio yote yameokana kwenye Camera!! Watu wa Chadema hawajawahi kufanya fujo na hawako mahakani kufanya fujo. Uongo Kama huu kwenye mambo yaliyoonekana itakuaje kwenye mambo yasiyoonekana. Nina uhakika siko sio nyingi watu watajibu…



Tz watu twaishi kwa mashaka mno! #Watekaji wameichafua Amani yetu!!


#canelo $ #Crowford Nan ataishea laivu tustuane wana!!


Hivi sisiyem mnajua kuwa mnatukosea, mna miaka mingapi madarakani hamjakamilisha, na si kwamba hela hamna ni wizi tu🚮🚮🚮

"Ndani ya Mkoa wa Tabora, tunakwenda kujenga madaraja 133, katika barabara ambazo tumeziweka kwenye ilani [...] Lakini pia, tunakwenda kuweka taa za barabarani 2,300." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini

swahilitimes's tweet image. "Ndani ya Mkoa wa Tabora,  tunakwenda kujenga madaraja 133, katika barabara ambazo tumeziweka kwenye ilani [...] Lakini pia, tunakwenda kuweka taa za barabarani 2,300." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini


Dah! Babu wacha tukushughulikie kisawa sawa, usiseme hatuna adabu ikiwa kiti ulichokalia hakikustahi

VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa dhamira kuu ya chama hicho ni kubadili maisha ya wananchi kwa vitendo, ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya usafiri ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Amesema hayo leo, Septemba 12,…



Ni mizukaaa....!! 🔥🔥🔥🔥

Today...



Mr.Jalole รีโพสต์แล้ว

Imewachukua vyombo vya dola vya USA siku mbili kumkamata mtu aliemshambulia Charlie Kirk kwa risasi. Kwenye Nchi kubwa na yenye watu milioni 340. Tuna Nchi hapa mbunge alipigwa risasi mwaka 2017. Watu wanatekwa usiku na mchana. Mzee Kibao amechukuliwa kwenye basi mchana,…


Mr.Jalole รีโพสต์แล้ว

Kesi ya Lissu mlipeleleza? Haya.

Oktoba29's tweet image. Kesi ya Lissu mlipeleleza?

Haya.

Yes! Then I like him to lead whole Afirca if can unit

Do you support President Ibrahim Traore ?

zoomafrika1's tweet image. Do you support President Ibrahim Traore ?


Exactly!

Kazi ya taa za barabarani si ni kazi ya Diwani!!!! Ccm ni aibu kwa Nchi hii. Kiongozi anaetaka kuwa Rais anatakiwa ajadili uchumi wa Nchi, teknolojia. Tanzania miaka 100 ijayo, Madini yetu, kilimo kikubwa NK. Taa za barabarani !!!!



Kama sisiyem hii ndio sampuli ya viongozi mliona nao basi tusitegemee Tanzania endelevu!, hiumbe vya aina hii ni hatari kuliko waya wa Umeme uliwazi😪😪

VIDEO: “Kama una mpango wa kumnyima kura Dkt. Samia basi usiende hospitali, usitumie barabara zetu, usipande SGR na uwaambie TANESCO waje wanyofoe umeme maana hatuwezi kuishi kwa matunda ambayo Dkt. Samia ameyaleta halafu tukamsaliti kwenye kura”, - Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya…



Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.