MrJalole's profile picture. I have a dream n I believe will get more money but I don't know when!

Mr.Jalole

@MrJalole

I have a dream n I believe will get more money but I don't know when!

Sahihi👉🙏

Leo ndio nimefahamu kwamba, Makundi mengi katika nchi za Afrika yanayoitwa "waasi" ndio wazalendo, Lakini waliitwa majina hayo baada ya kudai haki na usawa kwenye nchi zao.

PolycarpMDM's tweet image. Leo ndio nimefahamu kwamba,

Makundi mengi katika nchi za Afrika yanayoitwa "waasi" ndio wazalendo, Lakini waliitwa majina hayo baada ya kudai haki na usawa kwenye nchi zao.


Mr.Jalole repostou

Sheria ya Tanzania....


Mr.Jalole repostou

Hawa ndio wale raia wa kigeni ambao walihamasisha maandamano. Ukute Tanzania iko nje ya nchi.

TanzYetu's tweet image. Hawa ndio wale raia wa kigeni ambao walihamasisha maandamano. Ukute Tanzania iko nje ya nchi.

NRNE imebadilisha vingi sana, muda bado ni atua ya awali kwa upeo wako mdogo utakuwa huoni, ntakurudia kukuonesha tena kwa kushika we si huoni #NewTanganyika is coming...

NRNE imebadilisha nini?! Acheni uduanzi tunahitaji mikakati ya pamoja. Tunahitaji SAUTI MOJA.



Mr.Jalole repostou

Soma mistari mitatu ya Mwisho.

Sativa255's tweet image. Soma mistari mitatu ya Mwisho.

Yamkini wanatuona wananchi ni wajinga kiasi wanachojua wao lakn kusema wale ndg zetu sio watanzania, ilibidi waje na majibu walipitia wapi kuja nchini?, na kama waliweza kupita wanajeshi wetu wa mipakani na Uhamiaji waachie kazi maana wameshindwa!😭😭


I Repeat, he was RIGHT📌 DISBAND SADC DISBAND ECOWAS DISBAND AU Majority of our Problems will be Solved



Mr.Jalole repostou

Fake friends are no different than shadows, they stick around during your brightest moments, but disappear during your darkest hours.


Mr.Jalole repostou

Mwanajeshi wa Marekani ambaye ni Mtanzania aongelea hali ya Tanzania, amesema haya mambo yamemuathiri sana kiakili kuona nini kinachofanyika, ameongea mpaka na viongozi wake kuhusu kinachoendelea Tanzania. #MO29


Huyu mwehu si kazima tusikoment mwambie aache ujinga wake!!


Ukitenda haki Amani huja pasipo kutumia nguvu

AMANI NI TUNDA LA HAKI,Yakobo 3:18. Kwa kuzingatia msitari huo AMANI NI ZAO LA HAKI.Haki huzalisha amani na sio vinginevyo. Katika lugha ya Uchumi HAKI NI INPUT, AMANI NI OUTPUT. Kwa lugha nyingine,pamba huzalisha nguo,nguo haizalishi pamba. Kabeke aelimishwe kupitia 0766636315

GwamakaMbughi's tweet image. AMANI NI TUNDA LA HAKI,Yakobo 3:18.
Kwa kuzingatia msitari huo AMANI NI ZAO LA HAKI.Haki huzalisha amani na sio vinginevyo. Katika lugha ya Uchumi HAKI NI INPUT, AMANI NI OUTPUT. 
Kwa lugha nyingine,pamba huzalisha nguo,nguo haizalishi pamba.
Kabeke aelimishwe kupitia  0766636315


Hii ni trick inayowezatumiwa na wadhalimu kupooza haki ya waandamanaji na kupotosha maana sahihi!

Este Tweet não está mais disponível.

Hatoshi, sitiki!!

Bado siku 33 Chagua CCM ✅️ Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu #tunasongambele

Bizydan's tweet image. Bado siku 33

Chagua CCM ✅️ 
Chagua Dkt Samia Suluhu Hassan ✅️ 
Oktoba tunatiki ✅️ #kazinautu 
#tunasongambele


Dalili mbaya sana!!

Hili ni kanisa GANI madhabahuni kumejaa ishara za UPINDE kila kona?

Sativa255's tweet image. Hili ni kanisa GANI madhabahuni kumejaa ishara za UPINDE kila kona?


Moja sababu ya kuachana na dini hizi pamoja na uhuni kama huu, yes ni uhuni...

Aiseeee 😳🤦🏾‍♀️



Sahihi!!

"Mahakama inaendesha kesi kwa njia ya mtandao, na inapokea ushahidi kwa njia ya mtandao, na hata majuzi tumeshuhudia hivyo kwenye kesi ya Lissu. Sasa polisi wanashindwa nini kunihoji kwa njia ya mtandao? Kusema kwamba hawawezi kuanza uchunguzi wa tuhuma nilizotoa mpaka nije ni…

Sativa255's tweet image. "Mahakama inaendesha kesi kwa njia ya mtandao, na inapokea ushahidi kwa njia ya mtandao, na hata majuzi tumeshuhudia
hivyo kwenye kesi ya Lissu. Sasa polisi wanashindwa nini kunihoji kwa njia ya mtandao? 

Kusema kwamba hawawezi kuanza uchunguzi
wa tuhuma nilizotoa mpaka nije ni…


Hapa kwanza naanza na adimini, umetukosea raia wema na wapenda amani na nchi, ktk option hakuna option sahihi, Chama chenye vigezo ni CHADEMA pekee, ao ikiwa wameipiga pini huo hautokuwa uchaguzi labda teuzi!, naam teuzi!

Ni kigezo gani kitakachoamua kura yako Oktoba 29?



Dah 😭😭😭 Mungu akupe pawa ya kutosha kuweza kuikabili hali hii ngumu unayopitia! Kwa dhati ya moyo nikupe pole sana

Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kisutu Dar es Salaam, Sophia Makange akisaidiwa kuingia kwenye Kanisa la KKKT Kijitonyama jijini Dar es Salaam kwenye ibada ya kuaga miili ya wapendwa wake watano waliopoteza maisha katika ajali ya gari. Katika ajali hiyo Sophia alimpoteza…



Yaan huyu Dada anaakili kumzidi Mondi...

Watu wanapigwa....



Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.