Peter39561567's profile picture. Dar es Salaam city

Peter Toshi

@Peter39561567

Dar es Salaam city

Peter Toshi 已转帖

Mjomba mkali ww 😂😂😂


Peter Toshi 已转帖

😂😂😂😂 Sawa endeleeni kutudhalilisha kwenye mitandao ya kijamii


Peter Toshi 已转帖

Yaan hii wiki Goba tunaonewa


Peter Toshi 已转帖

Kuna wao halafu kuna sisi 🎶


Peter Toshi 已转帖

God is Good, Finally we are Open. Ahsanteni sana ndugu zangu kwa ushirikiano wenu kipindi chote tangu ninaanza mpaka hapa nilipo fikia, mnanafasi kubwa sana kwenye maendeleo yangu. Mbarikiwe Sana. ❤️

kalage_jr's tweet image. God is Good, Finally we are Open.

Ahsanteni sana ndugu zangu kwa ushirikiano wenu kipindi chote tangu ninaanza mpaka hapa nilipo fikia, mnanafasi kubwa sana kwenye maendeleo yangu. 

Mbarikiwe Sana. ❤️

Peter Toshi 已转帖

Chama Chao kimemrudisha


Peter Toshi 已转帖

😀


Peter Toshi 已转帖

Ccm wanawajua wa Tz vizur Sana,Na Mimi naungana nao wahakikishe wa Tz wanakuwa masikini Sana,Itawasaidia


Peter Toshi 已转帖

Wakimaliza kutia sign mkataba wa DP world, wanamtangaza Bashite, wanatuacha tuhangaike na huo mfupa kwa siku kadhaa. MaCCM majanja.


Vijana wako wapi jamani, kama tu nguvu za kiume Hawana wataweza kupambana na Taifa teule La Tanzania 😂😂😂😂

Wakimaliza kutia sign mkataba wa DP world, wanamtangaza Bashite, wanatuacha tuhangaike na huo mfupa kwa siku kadhaa. MaCCM majanja.



Mbona vijana wako sioni kabisa hili swala Kubwa maendeleo

UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UWEKEZAJI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM - IKULU, CHAMWINO



Peter Toshi 已转帖

Sana wakati wameanza kupigana hata hivyo vitu havipo


Wamuajiri tu haina namna

#HABARI David Nyawade kutoka nchini Kenya ameingia matatani baada ya kugundulika kuwa ameifanya kazi ya udaktari kwa zaidi ya miaka 16 huku akiwa hana taaluma ya fani hiyo nyeti ulimwenguni Daktari huyo anayetajwa kuwa feki katika wasifu wake inaonesha kuwa alisoma Chuo Kikuu…

eastafricatv's tweet image. #HABARI David Nyawade kutoka nchini Kenya ameingia matatani baada ya kugundulika kuwa ameifanya kazi ya udaktari kwa zaidi ya miaka 16 huku akiwa hana taaluma ya fani hiyo nyeti ulimwenguni

Daktari huyo anayetajwa kuwa feki katika wasifu wake inaonesha kuwa alisoma Chuo Kikuu…


Kuna inchi inapongezwa huko upatikanaji wa umeme

Peter39561567's tweet image. Kuna inchi inapongezwa huko upatikanaji wa umeme

Peter Toshi 已转帖

Kwani hizo fidia tunazo Lipa tumeanza ni Leo tunalipa mara kibao imekuwa desturi viongozi wa juu hawashtuki kabisa, lakini mm nini wasi wasi na viongozi wetu isije kuwa wanashinikiza serekali ilipe upande wa pili wanapewa mgao kuwa makini na viongozi wetu very scam


Peter Toshi 已转帖

Acha uongo Gari ya It hairusiwi kuwa inje ya barabala mita 30


Kwako @bajabiri

Inaripotiwa kuwa ng'ombe zaidi ya 600 za rais SSH zimeibiwa katika shamba la kunenepeshea Wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Rais Samia alinunua ng'ombe hao na kuwakabidhi vijana 60 wanaochukua mafunzo ya mifugo ili kuwanenepesha na kuwauza na kujikwamua kiuchumi. Una Neno?

MakeynovelsInc's tweet image. Inaripotiwa kuwa ng'ombe zaidi ya 600 za rais SSH zimeibiwa katika shamba la kunenepeshea Wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Rais Samia alinunua ng'ombe hao na kuwakabidhi vijana 60 wanaochukua mafunzo ya mifugo ili kuwanenepesha na kuwauza na kujikwamua kiuchumi.

Una Neno?


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.